Lengo la Lissu ni kuua ndege wawili kwa wakati mmoja. Wenye akili tumemuelewa, ila wasio na akili hawajamuelewa

Lisu akichukua tu fomu ya kupambana na namba 1 wake, mama Abdul anamuongeza namba 1 wake hela ahonge wasimamizi wa uchaguzi mkuu wa chama, ili Lisu achinjiwe baharini na namba 1 aendelee kubaki kuubeba kukibeba chama cha mama Abdul kibaki madarakani.
Usibezwe
 
Sasa huyo mama, Lissu wasipoitwa kuhojiwa na TAKUKURU, tutajuaje ikiwa ni uongo au Kweli?
Inamaana itakuwa uongo kama alivyozoea kuwadanganyika wadanganyika kuhusu ufisadi wa Lowasa miaka 10 iliyopita.
 
Lisu kama kweli ana nia ya kuleta mabadiliko ya kweli nchini, basi aanzishe chama chake.

Lakini akitegemea huko alipowekwa ndo wamsapoti kumuangusha namba 1 wao ili aingie yeye kubadilisha chama, nakuhakikishia kuwa ataendelea kubwabwaja huku wenye chama wakimcheka pembeni na kumuona mwendawazimu.
 
sio kweli...
ispokua ...

Jambo la kwanza kibaraka anatamaa na uchu wa madaraka wa kupindukia wa kua chairman wa Chadema Taifa, tena bila utaratibu. Patriots ndani ya Chadema wameshtukia hilo na wamejipanga kumzuia kwa namna zote πŸ’

Jambo la pili anawakilisha fikra na mipango ya mabwenyenye wa ng'ambo kama puppet, ndio maana anajaribu kutengeneza mercenaries wa kutosha, wa kuvuruga umoja ndani ya Chama chake kushinikiza chairman wa sasa ang'atuliwe kwa kupandikiza chuki, Lakini pia kutikisa umoja wa kitaifa kwa shinikizo la mabeberu yanayomfadhili, vitu ambavyo amepuuzwa vibaya sana na waTz mpaka sasa πŸ’

mengine ni story na porojo za bora liende πŸ’
 
Uliyoandika naona mengi yana ukweli, maana mpaka chawa wake mmawia siku hizi anamkwepa. Hampi promo kama zamani.
 
LISU NI WA KUMUONEA HURUMA TUH,ZILE RISASI ZOTE KUISHIA MWILINI MWAKE SIYO JAMBO LA MASIHARA
LISSU NI MWANASIASA AMBAYE HOJA ZAKE MPAKA SASA HAZIJAJIBIWA. WATU WAMESHINDWA SHAMBULIA HOJA ZAKE WANAMSHAMBULIA YEYE. NA NI MTU MMOJA CCM KAMA 20 MPAKA SASA WAMEJITOKEZA SIYO KUJIBU HOJA BALI KUMSHAMBULIA
 
Je.
1. Sami ni mzanzibar au si mzanzibar?
2. Hajawaondoa Wamasai (Watanganyika) Loliondo au amewaondoa?
3. Je hajauza bandari za Bara tu kwa wajomba zake au ameuza?
 
LISSU NI MWANASIASA AMBAYE HOJA ZAKE MPAKA SASA HAZIJAJIBIWA. WATU WAMESHINDWA SHAMBULIA HOJA ZAKE WANAMSHAMBULIA YEYE. NA NI MTU MMOJA CCM KAMA 20 MPAKA SASA WAMEJITOKEZA SIYO KUJIBU HOJA BALI KUMSHAMBULIA
Hoja!! Dunia ya leo watu wanataka hoja au mikakati ya kuwatoa katika umasikini na kuwapeleka katika utajiri.

Watu wanataka wasikie ilani ya chama inasemaje kuhusu mustakabali wa maisha yao na taifa lao. Sio kusimama na kuanza kubwabwaja hadi watu wanaanza kuwa wanaikimbia mikutano yake.

Kuna mtu aliekuwa na hoja zenye mashiko kama mchungaji Mtikila, mbona aliondoka bila kukanyaga ikulu mpaka leo?

Angalia mkutano wa huyo unaemwita mwenye hoja (Lisu) na mkutano wa huyo anaetangaza sera za chama chake na kuweka mikakati ya kuwasaidia wananchi (Makonda) uone ni nani aliepata watu wa kwenda kumsikiliza.
 

Attachments

  • IMG-20230520-WA0008.jpg
    109.8 KB · Views: 1
  • images (2).jpeg
    44.9 KB · Views: 1
Naona dc umeamua kutetea ugali wako
Jitahidi bila ya kujitoa ufahamu unaweza kutumbuliwa
na kweli ujakosea watanzania
Wa sasa sio wa zama hizo
Wasasa hivi ukiwa ambia anaupiga mwingi

Wanakushangaa sasa hivi kila mbuzi
Anakula urefu wa kamba yake
Viongozi wamekua majeuri
Ukiwa ambia jambo fulani halijakaa sawa wanakuambia amieni burundi
Na upande wa kura kukosa za kutosha
Watanzania wa sasa wanajua kama Tanzania hakuna uchaguzi kuna uteuzi

Halafu uoni hata aibu kusema ata adhibiwa kwenye kura

Tanzania kuna mtu anapiga kura
Kabla ya hicho mnachokiita uchaguzi
Teari mshawa andaa watu wenu
Wakuwatangaza washindi
Hata kabla ya hicho mnachokiita uchaguzi

Tundu lissu uwezo wake sawa sawa nyinyi wakuu wa wilaya wote nchi nzima
Bado hamfikii uwezo wa ufahamu
Wa tundu lissu
Angalia mwenyewe mlitaka kumu ua mkafa nyinyi
Na ndio maana akiongea kidogo tu
Mna pagawa nchi nzima mna changanyikiwa
Machawa mnatumwa kila kwenye mitandao kujitahidi kumchafua
Lakini mnachafuka nyinyi
Ww zungumzia machawa wenzio
Tundu lissu bahari nyingine hio
Mm naelewa hata mwenyewe
Unajua tundu lissu bahari kubwa
Isipokua bila ya kusema hivyo utaikosa 7000 ya lumumba
 
Threads nyingi kupoteza kadhaa ya rushwa anayomtuhumu baba ndubwi
 
Lissu atatuvusha na hakuna njia nyingine isipokuwa hiyo hiyo yenye miiba na taabu na uzuri kwa alokwisha yapitia hakuna kinachoweza mtisha "LILAANIWE LILE DUDU LILILOTAKA KUUONDOA UHAI WA LISSU AMBALO SASA HIVI LINAKULA MAKONZI HUKO KUZIMU"
 
Kupata kichekesho hiki piga 15663 kisha bonyenza OKπŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…