Jemima Jackson
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 748
- 934
Hapo bi mkubwa unatakiwa upambane na adui sahihi sio upinzania, tumewapa nchi mkaacha kutatua kero zetu mkapiga madili sasa hajui hata adui ni nani,mnafikiri ni chadema? Adui wenu ni watanzania kuwa masiki kwenye nchi tajiri pambana na dui sahihi sio chadema wala LissuSasa sisi chadema, usisahau, hapo mimi ni kiongozi wa chadema. Natafuta cha kuwaambia wananchi wanipe kura.
Huyu mama wa kizanzibari anakaba mpaka penati, hata virungu hataki kutupiga tupate pakufokea. Aaaah .
Ukweli ndiyo huo.Hapo bi mkubwa unatakiwa upambane na adui sahihi sio upinzania, tumewapa nchi mkaacha kutatua kero zetu mkapiga madili sasa hajui hata adui ni nani,mnafikiri ni chadema? Adui wenu ni watanzania kuwa masiki kwenye nchi tajiri pambana na dui sahihi sio chadema wala Lissu
Rakini kweri, Ingawa riritukandamiza milisasi, rikammfunga na mwenyekiti,tutatumia jina rake, mitanzania mijinga itatuamini tu.
Wewe bi mkubwa nani?Hapo bi mkubwa unatakiwa upambane na adui sahihi sio upinzania, tumewapa nchi mkaacha kutatua kero zetu mkapiga madili sasa hajui hata adui ni nani,mnafikiri ni chadema? Adui wenu ni watanzania kuwa masiki kwenye nchi tajiri pambana na dui sahihi sio chadema wala Lissu
Leo bi mkubwa umepiga high grade cha Swaziland?Wewe bi mkubwa nani?
Mimi tundu lussu nagombea ulaisi, unajuwa chadema mimi ndio mkatoriki, wengine hawa kkkt hawakubariki.
Kumbuka sasa ni 2025 tunataka kura za Watanganyika, tuwaambie nini?Hakuna mtu ambaye amekamilika kwa asilimia Mia Moja ,mazuri yapo mengi na Mapungufu yapo Kama ilivyo kwa kila mwanadamu ,Tunampongeza kwa yale mazuri anayoyafanya tunayaona na tunapongeza juhudi zake lakini kwa yale ambayo tunayaona hayaendi vizuri tunamshauri ayafanyie marekebisho.
Wakishazaana mama zao wanawapeleka kwa Mtume Mwamposa kuwaombea MiujizaDoh. Wengi sana, wanazaana kama panya. Halafu mavaa kobazi si yanaoa wengi wengi tu.
Dah hata misupu ya pweza si wariireta wao.
Na miarkisusi yote yao.
Tuliowapa dhamana ndio wanajua utaratibu walioutumia kutangaza Tenda,hata hivyo Elimu ya kutosha imetolewa kwa jamii kuhusu huu mkataba na labda wangeleta proposal kabla hawajaingia hata makubaliano ingekua vizuri zaidi.Hapo kwenye msisitizo, kwa haya yasioenda vizuri ni pamoja na hili la namna; mkataba wa DPW ulivyoingiwa. Je tenda ilitangazwa?
sawaMshike dola nyie hivi ww unavyoona mnaweza hata mkatoa speech ya saa moja bila matusi... chama kizima mpo Kama walevi
Kwenye Gesi ya Mtwara wajawazito walitumbuliwa mimba kwenye maandamano , kwa madai kwamba wanatuchelewesha , leo kiko wapi ?Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.
Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?
1) Nchi imeuzwa.
Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?
2) Bandari zimeuzwa.
Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?
3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.
Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.
Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.
Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Nchi haijauzwa... Kila kitu kipo sawa. Uchumi wa kila mwananchi umeimarika!Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.
Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?
1) Nchi imeuzwa.
Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?
2) Bandari zimeuzwa.
Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?
3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.
Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.
Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.
Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.
Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?
1) Nchi imeuzwa.
Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?
2) Bandari zimeuzwa.
Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?
3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.
Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.
Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.
Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Wanatufanyaga sisi mazuzu kama wao.Kwenye Gesi ya Mtwara wajawazito walitumbuliwa mimba kwenye maandamano , kwa madai kwamba wanatuchelewesha , leo kiko wapi ?
Ndio uwe huu uongo mpya ?