Leo FaizaFoxy najivika rasmi joho la upinzani tena CHADEMA

Leo FaizaFoxy najivika rasmi joho la upinzani tena CHADEMA

Sasa sisi chadema, usisahau, hapo mimi ni kiongozi wa chadema. Natafuta cha kuwaambia wananchi wanipe kura.

Huyu mama wa kizanzibari anakaba mpaka penati, hata virungu hataki kutupiga tupate pakufokea. Aaaah .
Hapo bi mkubwa unatakiwa upambane na adui sahihi sio upinzania, tumewapa nchi mkaacha kutatua kero zetu mkapiga madili sasa hajui hata adui ni nani,mnafikiri ni chadema? Adui wenu ni watanzania kuwa masiki kwenye nchi tajiri pambana na dui sahihi sio chadema wala Lissu
 
Hapo bi mkubwa unatakiwa upambane na adui sahihi sio upinzania, tumewapa nchi mkaacha kutatua kero zetu mkapiga madili sasa hajui hata adui ni nani,mnafikiri ni chadema? Adui wenu ni watanzania kuwa masiki kwenye nchi tajiri pambana na dui sahihi sio chadema wala Lissu
Ukweli ndiyo huo.
 
Utawaambia hio yote ni kazi ya JPM. Wakupe chance ya kuboresha zaidi
Rakini kweri, Ingawa riritukandamiza milisasi, rikammfunga na mwenyekiti,tutatumia jina rake, mitanzania mijinga itatuamini tu.
 
Hakuna risasi aliyokukandamiza munamusingizia hadi wa leo hakuna ushahidi.
Rakini kweri, Ingawa riritukandamiza milisasi, rikammfunga na mwenyekiti,tutatumia jina rake, mitanzania mijinga itatuamini tu.
 
Hapo bi mkubwa unatakiwa upambane na adui sahihi sio upinzania, tumewapa nchi mkaacha kutatua kero zetu mkapiga madili sasa hajui hata adui ni nani,mnafikiri ni chadema? Adui wenu ni watanzania kuwa masiki kwenye nchi tajiri pambana na dui sahihi sio chadema wala Lissu
Wewe bi mkubwa nani?

Mimi tundu lussu nagombea ulaisi, unajuwa chadema mimi ndio mkatoriki, wengine hawa kkkt hawakubariki.
 


Unaelewa nini kutokana na mashauri haya kama ukiyatazama kwa jicho la kisiasa?

Sina muda nipo bize. Karamagi arinunua mikreni sasa haifanyi kazi, rabda tuirete bandari ya Muleba.
 
Hakuna mtu ambaye amekamilika kwa asilimia Mia Moja ,mazuri yapo mengi na Mapungufu yapo Kama ilivyo kwa kila mwanadamu ,Tunampongeza kwa yale mazuri anayoyafanya tunayaona na tunapongeza juhudi zake lakini kwa yale ambayo tunayaona hayaendi vizuri tunamshauri ayafanyie marekebisho.
Kumbuka sasa ni 2025 tunataka kura za Watanganyika, tuwaambie nini?
 
Doh. Wengi sana, wanazaana kama panya. Halafu mavaa kobazi si yanaoa wengi wengi tu.

Dah hata misupu ya pweza si wariireta wao.

Na miarkisusi yote yao.
Wakishazaana mama zao wanawapeleka kwa Mtume Mwamposa kuwaombea Miujiza

Hii alikiri alhad Salum!
 
Hapo kwenye msisitizo, kwa haya yasioenda vizuri ni pamoja na hili la namna; mkataba wa DPW ulivyoingiwa. Je tenda ilitangazwa?
Tuliowapa dhamana ndio wanajua utaratibu walioutumia kutangaza Tenda,hata hivyo Elimu ya kutosha imetolewa kwa jamii kuhusu huu mkataba na labda wangeleta proposal kabla hawajaingia hata makubaliano ingekua vizuri zaidi.
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Kwenye Gesi ya Mtwara wajawazito walitumbuliwa mimba kwenye maandamano , kwa madai kwamba wanatuchelewesha , leo kiko wapi ?

Ndio uwe huu uongo mpya ?
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?
Nchi haijauzwa... Kila kitu kipo sawa. Uchumi wa kila mwananchi umeimarika!
Viongozi wanachapa kazi haijawahi kutokea!
Hakuna ubadhirifu
 
Leo najivika rasmi joho la upinzani, tena, naanza kujifikiria kama chadema.

Tuchukulie imetimia 2025 Kama mwanachadema ambae nagombea ubunge au hata Urais, nafikiri sera zangu zitakuwa nini?

1) Nchi imeuzwa.

Wapiga kura wakitazama wanaona nchi ipo mipaka ile ile tena Bashe huko CCM BBT imeanza kuzaa matunda na imeshaongeza vituo mikoa yote! Dah, itakuwaje?

2) Bandari zimeuzwa.

Wapigakura wakitazama, wanaona DP World wamefunga mitambo mipya, zaidi ya nusu ya bajeti ya Tanzania inatokea bandarini. Dah, ntasemaje hapo?

3) Huyu mama msimchaguwe ana akili za "matope" - kwa sauti ya Tundu Lissu.

Wapiga kura wakitazama kila mahali mambo mazuri, mishahara inaongezwa, madarasa mapya kibao, walimu kibao, maji kedekede, umeme ndiyo usiseme , bwawa la nyerere kinatema tu umeme.

Dah, wakitazma Usafiri, SGR ndiyo inapamba moto, mtua anaishi Morogoro anafanya kazi Dar na anawahi kwenda na kurudi kazini.

Nisaidieni jamani, ntawaambia nini wananchi? Wanipe kura zao?


Ndo maana huolewi
 
Nchi haijauzwa... Kila kitu kipo sawa. Uchumi wa kila mwananchi umeimarika!
Viongozi wanachapa kazi haijawahi kutokea!
Hakuna ubadhirifu
Sasa tutapataje kura hapo? Tuwatukane mpaka kieleweke.

Au wewe CCM?
 
Back
Top Bottom