APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
Daaaah sona habari na nyiee...
Nimetapeliwa 15000,hii ela siningekunywa zangu beer hata 5.
Nimetapeliwa 15000,hii ela siningekunywa zangu beer hata 5.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni uvutaji wa bangi Ni hatari unaharibu ubongo Hadi unatamani vitu RahisiDaaaah sona habari na nyiee...
Nimetapeliwa 15000,hii ela siningekunywa zangu beer hata 5.
View attachment 2472149
Mkuu wajinga hawaishi Wala usishangaeid kubwa namna hii aibu kaka aibu
Kwani haujawahi kutapeliwaid kubwa namna hii aibu kaka aibu
Bangi na vuta na mama yako ulishawahi kumuuliza mama ako baba yako ni nani??Acheni uvutaji wa bangi Ni hatari unaharibu ubongo Hadi unatamani vitu Rahisi
Pole Mkuu
Kwani haujawahi kutapeliwaKupenda msereleko
Ova
Huyu namrogaMkuu wajinga hawaishi Wala usishangae
Aibu ya nini?? Kwani pesa natafuta na wewe??id kubwa namna hii aibu kaka aibu
Ila mkuu lazima mmoja afe ndo wengine wajifunze😂😂😂😂ukiona biashara imekuwa dezo sana upande wako mnunuzi fikiria mara mbili..
Na uchungu na ela yanguMleta mada mbna Unakuwa mkali