Karot
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 1,159
- 1,313
Umeisha wewe uliejipeleka kizembe kwa kupenda mteremko.Jamaa limeniaminisha sana,ila jina lake nimelijua na babu kaniambia nimtumie majina yake mawili,limeishq
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeisha wewe uliejipeleka kizembe kwa kupenda mteremko.Jamaa limeniaminisha sana,ila jina lake nimelijua na babu kaniambia nimtumie majina yake mawili,limeishq
Mimi bwana huwa nawapatia jamaa wa kupiga simu wanajifanya wako katika mitandao ya cm mualamala umekosewaMwingine uyu hapa alijifanya baba mwenye nyumba wakat hata kupanga sijapanga nikamuunganishia nione mwisho wake..ahhhhhhView attachment 2472180
Hao jamaa nishakutana nao nikawaambia ebu nitumie walau GB moja Tu Kwanza niwaamini halafu natuma pesa wala usihofu,sound nyingi.Daaaah sona habari na nyiee...
Nimetapeliwa 15000,hii ela siningekunywa zangu beer hata 5.
View attachment 2472149
Kama anarogeka freshJamaa ame act kibwege sana. Yaani utapeli huo ni kama umetoka Muheza jana au Sitimbi. Mtoto wa Town unaamini upuuzi kama huo? Anyway APPROXIMATELY una tsh ngapi nimwoneshe sisi watu wa Pemba tunafanyaje... Atakutafuta namba uliyotumia kumtumia pesa si ipo hewani? Atakutafuta huku analia nakwambia. Nitumie tu namba yake na pia nitumie tsh 25,000 tu nimtumie Mtaalamu hapo Bagamoyo.
Kashavurugwaa uyoo, Hayupo sawa kichwani.Mleta mada mbna Unakuwa mkali
🤣🤣🤣Ni aibu me walinitapeli elf 5 tena katikati ya mweziDaaaah sona habari na nyiee...
Nimetapeliwa 15000,hii ela siningekunywa zangu beer hata 5.
View attachment 2472149
Mbona hata baadhi ya wakubwa nasikia wanavutaga mboni hawajawa mapopoma kama mleta mada?Acheni uvutaji wa bangi Ni hatari unaharibu ubongo Hadi unatamani vitu Rahisi
Pole Mkuu
Nilitukanwa mpaka nikakosa usingiziMatapeli wanajua kutukana hakuna mfano[emoji1787]