APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
- Thread starter
-
- #21
Huyu mbwa nikimjua na mchomeka vijitiMatapeli wanaoongoza kutapeli ni hawa wa vifurushi na wale ambao wanasema wana uwezo wa kufanya ukajua mawasiliano ya mpenzi wako sms,calls n.k
Wanawapiga sn watu hizi 30,000, 20,000 n.k.Halafu hawataji hela kubwa
Watu wanakufa kila siku kwenye aina hii ya wizi ila hawakomi yani wajinga hawaishi mjini sijasema we ni mjinga lakinišššššIla mkuu lazima mmoja afe ndo wengine wajifunze
Jamaa limeniaminisha sana,ila jina lake nimelijua na babu kaniambia nimtumie majina yake mawili,limeishqMajamaa Wana maneno matamu sana
Utapeli hauwezi kupunguwa mjiniWatu wanakufa kila siku kwenye aina hii ya wizi ila hawakomi
Kwani haujawahi kutapeliwa??
Chizi Maarifa ngoja aje akusaidie hyuu mwambaJamaa limeniaminisha sana,ila jina lake nimelijua na babu kaniambia nimtumie majina yake mawili,limeishq
Siku yako inakuja kwanza utatepeliwa mapenziš¤«Nafikiria..... lini nilitapeliwa kwa kupenda vitu vya bei chee halafu nikalalamika
Ukipenda rahisi kubali matokeo
Kama ni serlite 8 hizoDaaaah sona habari na nyiee...
Nimetapeliwa 15000,hii ela siningekunywa zangu beer hata 5.
View attachment 2472149
Jamaa limeniambia gb 60 za bure kweli limenishikaUsiseme nimetapeliwa sema nimepewa funzo
Siku yako inakuja kwanza utatepeliwa mapenziš¤«
Utakuja huku kutoa mrejeshoShiƱdwaaa
Tupo kazini tukikupiga hela usiseme tumekutapeli sema tumekupa elimu dunia... Kutuita matapeli unatuchafuaJamaa limeniambia gb 60 za bure kweli limenishika
Bangi haina huo Ujinga wa Mleta mada wa Kutaka kukanyaga ganda la ndiziAcheni uvutaji wa bangi Ni hatari unaharibu ubongo Hadi unatamani vitu Rahisi
Pole Mkuu
Siku nikimpata mmoja wao itakuwa funzoTupo kazini tukikupiga hela usiseme tumekutapeli sema tumekupa elimu dunia... Kutuita matapeli unatuchafua
Unafurahia mini kutapeliwa??Safi sana