Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Screenshot_20220806-212653.png
. Nimesha connect na ipo sasa in surf , vip ni server namba ngapi ipo goood nikikonekt now ili nile asali na mm , hints natumia TIGO internet inaisha kesho saa 5 asubui
 
View attachment 2316501. Nimesha connect na ipo sasa in surf , vip ni server namba ngapi ipo goood nikikonekt now ili nile asali na mm , hints natumia TIGO internet inaisha kesho saa 5 asubui
Screenshot_2022.08.05_20.04.37.282.png

Wewe unatumia Droidvpn yenyewe badala ya mod ya Thor Hacker(check screnshot) ambayo inakuwezesha kutumia premium server for free.
Chagua server zenye chata ya THOR tu ndio zipo kasi
 
Hii notificcation ya kiwa server is full ina maama gani ??maana mm naruka tuu kwa ku click servers then inna andika is full
 
Naona Vinyembe vya Rungu max na Sumaku vinafanya mambo................
tupe namna nasi tukimbize
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu mbona kwangu inakata kata shida itakua nini?!
 
Mimi kwangu kuna mda inaniandikia hivi afu inagoma kabisa mpaka nizime sim niwashe tena ttzo ni nini
Screenshot_20220807-004527.jpg
 
Watu wamepiga vifurushi vya Tigo mpaka wameshtuka wameamua kufunga sasa hv.

Tukapiga vya Airtel kimyakimya.

Tukahamia TTCL watu tumekula ma GB ya kutosha now wameshtuka wamefunga uchochoro.

Sasa hv tupo na Halotel tunaserereka na Ma GB Yao, mpaka kieleweke Yani.

Voda naona wanakaza kimtindo Ila kitaeleweka Tu.
 
MPENI HATA DADA ZENU AWALE ALIE WEKA HII KITU HAPA. JUKWAAANI MAANA IPO GOOOOOOOOOODDD NIPO NA ENJOY NOW BUNDLE LA KAWAIDA LIMEKATA INTERNET IPO FAST KWELIIIII
 
Mimi kwangu kuna mda inaniandikia hivi afu inagoma kabisa mpaka nizime sim niwashe tena ttzo ni niniView attachment 2316608
Kila VPN ina changamoto zake boss!!
Ila Usizime simu we igia tu setting ya simu alafu chagua hiyo app utapewa option ya "Uninstall na Force stop" we chagua hiyo force stop then fungua app uendelee na mkamuo
 
Watu wamepiga vifurushi vya Tigo mpaka wameshtuka wameamua kufunga sasa hv.

Tukapiga vya Airtel kimyakimya.

Tukahamia TTCL watu tumekula ma GB ya kutosha now wameshtuka wamefunga uchochoro.

Sasa hv tupo na Halotel tunaserereka na Ma GB Yao, mpaka kieleweke Yani.

Voda naona wanakaza kimtindo Ila kitaeleweka Tu.
Bila ya kushare na wenzio haina maana ungekaa kimya tu
 
Nimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia

Airtel leo mnaenda kupata tshs 2000 ya mwisho kwenye bando lakini bado nitakuwa hewani sana FOR FREE UNYONGE SASA BASI NYIE PANDISHENI TU HATA IWE 5000 KWA MB 50 ,WAZIRI MWENYEWE AKILALAMIKIWA ANAWASUTA WATU
Okay
 
View attachment 2316539
Wewe unatumia Droidvpn yenyewe badala ya mod ya Thor Hacker(check screnshot) ambayo inakuwezesha kutumia premium server for free.
Chagua server zenye chata ya THOR tu ndio zipo kasi
Sasa hiyo app ya mod inapatikana google play au kuna link ya kuidownload. Namna unavyoelekeza ni as if mtu anajua kila kitu jambo ambalo si sawa.
 
Sasa hiyo app ya mod inapatikana google play au kuna link ya kuidownload. Namna unavyoelekeza ni as if mtu anajua kila kitu jambo ambalo si sawa.
Pakueni hii
Mbona nimeshaiweka hiyo link post za nyuma
 
Back
Top Bottom