Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Kila VPN ina changamoto zake boss!!
Ila Usizime simu we igia tu setting ya simu alafu chagua hiyo app utapewa option ya "Uninstall na Force stop" we chagua hiyo force stop then fungua app uendelee na mkamuo
Shukarani mkuu nime ku pm kuna vpn nimekutumia uko cheki kama unaweza ifanyia muafaka tuishi nayo
 
Mkuu hio Thor server kwangu haipo naomba kufahamishwa naipataje


Kama inavyoonekana hapo
 
Imeconnect iko fresh ila inakata dakika 2 haziishi mpaka uclear cache uunge tena.
 
Watu wamepiga vifurushi vya Tigo mpaka wameshtuka wameamua kufunga sasa hv.

Tukapiga vya Airtel kimyakimya.

Tukahamia TTCL watu tumekula ma GB ya kutosha now wameshtuka wamefunga uchochoro.

Sasa hv tupo na Halotel tunaserereka na Ma GB Yao, mpaka kieleweke Yani.

Voda naona wanakaza kimtindo Ila kitaeleweka Tu.
Mkuu hapo kwenye halotel unatumia vpn gani, naomba maelekezo nami nilambe asali kidogo
 
Shuk
View attachment 2312052View attachment 2312054
1. Pakua Thor Droidvpn na kuinstall kwenye handset yako
2. INGIA HAPA ujiregister then fanya confirmation kwenye e-mail yako ili uwe active
3.Sasa fungua ile apk uliyoinstall then Nenda setting na kuset ifuatavyo:-
R-UDP 53
L-UDP 0
UDP CONNECTION MODE-1
T-COUNT 2222
R-COUNT 03
4.Ukimaliza Go back na kulogin kwa kujaza user na pass ulizo create then click save
5.Chagua server za Thor Hacker then connect
6.Serereka for free
NB mtandao ni jukumu lako kutafuta unaokimbiza
Shukran
 
Mkuu hiyo uliyoweka ni Droidvpn ya kawaida siyo MOD ya THOR HACKER hata hivyo nayo inaconnect kwa Free server tu.
Cha kufanya Uninstall hiyo Vpn alafu download na kuinstall hii jamiiforums-THOR alafu ukifikia hiyo step ya 4 bofya hapo chini palipoandikwa "Random Server" chagua Serve za THOR tu ndio zina speed ya Premium tofauti na free server then Connect.
Kama itagoma ingia setting ya simu uclear cache na data za hiyo VPN alafu force stop uanze upya proccess lazima iconnect
Mkuu sorry, nimefata link uliyoweka nika download vpn, then kwenye ku install kwenye simu inaniambia file not supported itakua tatizo nini hapo mkuu, msaada wako please
 
Shuk

Shukran
nikifungua setting mbona siyo hivyo vitu
Screenshot_20220807-170142.png
 
View attachment 2316501. Nimesha connect na ipo sasa in surf , vip ni server namba ngapi ipo goood nikikonekt now ili nile asali na mm , hints natumia TIGO internet inaisha kesho saa 5 asubui
Mkuu Lexus SUV nipe muongozo kuhusu hii, yaan nimeshapakuwa App Sasa nifanye nini Hadi ifanye kazi.. itakuwa poa sana maana sielewi lolote hii kitu nimebaki kuingilia tu App Sina pa kuanzia
 
Mkuu mimi inanambia engine local socket bind failed... Natatuaje hii changamoto?
Force stop then fungua App uconnect
Kama bado jaribu kuset hivi:-
R-UDP 76
L-UDP 0
UDP CONNECTION MODE-1
T-COUNT 3 au 03
R-COUNT 1000
Ikifanya kazi leta mrejesho hapa coz sina Android natumia PC hapa
 
Back
Top Bottom