Leo kinafanyika kikao cha baraza la Mawaziri; unadhani wakuu wa taasisi watabaki salama au kuna pangua pangua inakuja?

Kusanyiko la useless combinations
 
Hakuna jipya hapo,sana sana wameelekezwa namna ya kula kwa urefu wa kamba zao,pasipo kuleta TAHARUKI kwa wadanganyika
 
Ni rahisi kubadili badili baraza la mawaziri kadri utakavyo, RCs, DCs na political cadres zingine lkn siyo wakuu wa taasisi na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…