NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Netanyau huwa hana masiala,watapigwa kipigo cha Mbwa Koko!!Abarikiwe
Huko Gaza Hamas wametisha sana tunasubiria majibu!
"A Man of the People"-Chinua AchebeThe treacherous tropes of Little Finger make the likes of Brutus and Judas loathe in Jealousy. He simply is a Gold-Standard of snitching and greed.
If you ask me, I'll say. Mama Samia na Tanzania yake are facing a hilarious predicament.
Watu wenye muonekano mzuri chungasana moyoni mwao wamejaa mengi sanaKIKWETE ni Mnafiki ova
Chief Nanga 😂😂
Do you know this for sure,or you are just PolitikingThe treacherous tropes of Little Finger make the likes of Brutus and Judas loathe in Jealousy. He simply is a Gold-Standard of snitching and greed.
If you ask me, I'll say. Mama Samia na Tanzania yake are facing a hilarious predicament.
Mhe. Kikwete amewaleta kwenye uwanja wa siasa vijana na wazee wengi wanaongara leo.
Lakini wasipokumbishwa kumtakia happybithday huyu father may be wanaweza kupotezea.
Sisi jukumu letu nikuwakumbusha kuandika hata KINAFIKI kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii kwamba mzee kazaliwa. Naona wanasiasa wengi wamepotezea kuzaliwa kwa huyu dingi .
Happybithday Baba Riz
Chaos is the ladderThe Little Finger a.k.a Lord Petyr Baelish
Umemalizia vizuri.HBD mwamba!!
Awamu yako ilinipatia mkopo wa elimu ya juu na ajira!
Nimeanza kujitambua wakati wa awamu yako!!
Najua tupo wengi sana humu!!
Ushauri
"Iachie nchi hata sisj TOKA kwenye familia zisizo na connection na system tushike hatam""
Could be both.Do you know this for sure,or you are just Politiking
Watanzania tunampenda sana tena sana Baba yetu Dkt Kikwete! Mungu ampe maisha marefu!Mhe. Kikwete amewaleta kwenye uwanja wa siasa vijana na wazee wengi wanaongara leo.
Lakini wasipokumbishwa kumtakia happybithday huyu father may be wanaweza kupotezea.
Sisi jukumu letu nikuwakumbusha kuandika hata KINAFIKI kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii kwamba mzee kazaliwa. Naona wanasiasa wengi wamepotezea kuzaliwa kwa huyu dingi .
Happybithday Baba Riz
Chaos is the ladder
Chaos is the ladder