Leo Mzee Kikwete ametimiza miaka 73; wanasiasa wa CCM na Upinzani nawakumbusha kumtakia maisha marefu

Juma lokole kwenye sura mpya
Kuwa na nidhamu kiongozi!

Huyo unayemtaja ni SHOGA!..., MFIRWAJI!, KAUKATAA UWANAMUME NA DARJA LA JUU KABISA HAPA DUNIANI ALILOLITOA MWENYEZI MUNGU KWA VIUMBE VYAKE.

SASA WEWE UNAMTAJA VIPI HUYO MJAA LAANA NA MFUASI WA SHETANI KWENYE UZI MAALUM UNAOMHUSU MTU MWENYE HADHI KUBWA NA NYADHIFA YA HALI YA JUU NCHINI?! KUMBUKA HUYO NI BABU WA WATU, BABA, MKWE NA KIIGIZO CHEMA KWA BAADHI YA WATU. PUNGUZAGA BANGI!... UNGEKAA KIMYA UNGEPUNGUKIWA NINI?!

KAMA UNA HOJA AU SHUTUMA ZAKO ZILETE KISOMI ZICHAMBULIWE NA KUJADILIWA KISOMI.
 
Chawa usiye na haya 😂😂😂

Nna namba ya mwanae, pia ni rafiki yangu sana! Unataka nikupe P.M ukampelekee uchawa wako ili iwe rahisi taarifa kumfikia mzee angalau utafutiwe kibarua hata GSM home ukauze furnitures ili uwe busy utupunguzie kelele humu?! 🤔
 
Nilikaa na ridhwan siku moja ni kiongoz kabisa kuzidi kiasi lakin jina lake halifai kwa matendo yake uislamu na hawez jitenge na kushindwa kwa awamu ya 4
Mbona hueleweki... we unaweza ukasoma na ukajielewa ulichoandika?!
 
Umeandika maelekezo marefu yasiyo na msingi, nimemtaja kiongozi yoyote hapo kwenye maelezo yangu..?

Umeona jina kikwete hapo.. ?
 
Umeandika maelekezo marefu yasiyo na msingi, nimemtaja kiongozi yoyote hapo kwenye maelezo yangu..?

Umeona jina kikwete hapo.. ?
Kama kikwete hahusiki hapo huyo "JUMA LOKOLE" kaingiaje kwenye hii mada?!

Wacha ujujaji we MPUMBAVU!... ongea na baba yako na umlaumu kwann hakupambana mkaishia watoto wake mmetawanyika kama mavi ya mbuzi kichakani mpaka mnakosa ya maana mnaishia kuandika upuuzi mitandaoni kuhusu baba wa wenzenu waliolijua lengo na dhumuni la kuletwa duniani wakapambana mpaka kusimama kimaisha na kutengeneza misingi mizuri kwa watoto wao?!

Umuulize hayo maswali Baba yako.
 
Pumzika la milele ampatie Bwana, in advance.

As it is we all are prospective corpses.
 
Alah ampe umri mrefi mrefu na afya tele na amjallie hekima na kuendelea kuwatumikia Walimwengu. Aaamiin.

Ma shaa Allah, Kikwete ni "Born Leader".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…