Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Mkuu ahsante sana kwa moyo wako mwema, umenisaidia sana tangu mwanzo hadi hapa nilipofikia, ubarikiwe maradufu, natambua msaada wako kwangu.
Mungu akutangulie usisahau kusaidia na wengine, sio lazima mpaka mtu umjuwe.
Wewe tumepeana moyo tu hapa mtandaoni lakini wapo tulioshikana mkono Leo wametobowa wameaota maoembe, ila Mungu ni mwema na Mimi si haba siko vibaya.
 
Allah kakubariki kwenda Amerikiya siyo Jeddah, Mecca au Riyadh.
 
Takbir! Allah amekujalia kuingia Amerikiya. Baada ya hapo ni ahera na bikra 72. Mecca, Jeddah, na Riyadh Allah hataki uende.
 
Barikiwa sana nilikuwa na imani utapata Maana Mungu yupo pamoja na wewe karibu siku moja moja Canada.
 
Mkuu ulipitia hatua zipi maana mimi mpaka nimechoka, VISA ni ngumu kuliko mashart ya kuiona pepo
Mkuu angalia post zangu zinafuatana Kaka, wazo, colleges application , admission, visa application, sevis fee, interview, visa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…