GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 6,260
- 14,470
😂😂😂 Hata akina Einstein hawafanikiwa kugundua hiloHizi ndo gunduzi za wabongo!
Ukitetemeka nchale.Na ukijichezecha kama pun'go nakulenga nchale tu.Uchichikitike wala uchitikichike.Nikiinama nchale nikiinuka nchale
Lo nawe unaliaga kama sehemu ya tiba 🤔🤔??
Ndiyo tulielie tu kama majuha?Aaarh waaapiii!Lieni wenyewe.Watafiti wanasema mtu anapolia mwili unaachia oxytocin na opiods fulan zinaitwa endorphins,
Hizo kemikali zinasaidia kuondoa physical and emotional pain.
Ni kweli kulia kuna faida sana.
Hapana, hua silii kwa chochote...Lo nawe unaliaga kama sehemu ya tiba 🤔🤔??
Ulikua unalia umbea.Siku moja niko bar ,vikombe vingi sana.Naingia toi nakuta jamaa mmoja analia na mimi wacha niporomoshe kilio.Tukaanza kufarijiana yataisha tu,yote maisha .Tukafuta machozi vikombe vikaendelea.Mimi mpaka leo sijui alikuwa analilia nini na mimi sijui kilichokuwa kinaniliza ni nini?
Oiiii.
akalamba na chumvi IleUkala kamasi weee
Unakunywa nini?Mie bia sikunywi🤣🤣
Namna hio Inapendeza sanaHapana, hua silii kwa chochote...
Maji😊Unakunywa nini?
Hakikisha unakua mwenyew unalia Kwa Raha zako Kwa kujiachiaSasa sisi wenye sura mbaya za bei kali tukianza kulia,hamtakikimbia kijiji kweli?
Nitajipaje tathmini ya kiwango changu cha kulia?Ni vema wakawepo wathaminishaji wa uliaji wangu,kiwango cha sauti,mikunjo ya midomo na utetemekaji mwili wakati wa zoezi ili nijue kama nipo good au nafeli sehemu niongeze manjonjo.Hakikisha unakua mwenyew unalia Kwa Raha zako Kwa kujiachia
Sio unalia mara hodi unaacha kwanza unaenda kufungua..au mara unaitwa na mtoto unaacha...unatakiwa uende hata porini au chooni ndo sehemu nzuri au bafuni..Hakikisha unakua mwenyew unalia Kwa Raha zako Kwa kujiachia
Ukimaliza OSHA macho Kwa Maji ya baridi ya kwenye fridge itapendeza Zaidiafu na jicho liwe jekundu kisha livimbe,,amna tutawavumilia
Usijifiche.Lia tukuone live!Na tutapendekeza kama uliaji wako ni mzuri au ni boring tu.Sio unalia mara hodi unaacha kwanza unaenda kufungua..au mara unaitwa na mtoto unaacha...unatakiwa uende hata porini au chooni ndo sehemu nzuri au bafuni..
Hapo utakua haujitibu bala unaongeza mshtuko wa moyo..kwa mawazo ya fulani ananionaje domo langu..au nafananaje sura...Usijifiche.Lia tukuone live!Na tutapendekeza kama uliaji wako ni mzuri au ni boring tu.
kwahivyo umeona rasmi faida muhimu za kububujikwa na machozi, right?🐒Hatimaye Leo nimegundua kulia Ni therapy nzuri Sana nlipatwa Na kipindi kigumu kilichoniumiza Sana nkawa najitahidi kukabiliana nashindwa ....nikaingia room nikaangua kilio🤣🤣Kile kama cha mtoto nikalia Sana then nikanyamaza baada ya dakika chache nikakaa Sawa nikajisikia vizurii....mnapopatwa Na magum ukiona limekulemea lia tu msiache kulia ndugu zangu lieni tuu Ni tiba pia