Leo ni Siku ya kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W.)

(Isaya 13:21), majini yametajwa kuwepo.

Sasa mbali na kuamini, neno la Mungu limeweka wazi uwepo wa majini.

Islam ndo kabisa mnajumuika nayo msikitini kuswali.

Karibu.
Hayo majini ya kwenye isaya ni dini gani?.wakristo wenzenu?
 
Ndiyo maana sijali na sibebeshwi mzigo wa kufuata desturi zao. Natumia vizuri akili zangu. Niko tofauti na wale wanao iga lugha, majina, mavazi, chukula nk. Siyo mtumwa kama wewe.
Mzungu weusi wewe! Mtumwa mkubwa wewe ushoga HAUKUBALIKI Tanzania
 
Your browser is not able to display this video.

Utake usitake, kamuulize MUNGU.😅
 
Mimi ni muislam wa kuzaliwa na kufa.sijawahi kuona majini yakila na kwenda chooni ndo maana nashangaa.wakati majini hayaonekani
Sasa majini hayaonekani, na Mungu pia haionekani.

Pia huamini juu ya uwepo wa Mungu sababu haonekani?

Pia wewe ni muislam usiyejua kuwa msikitini Huwa mnajumuika na majini mnayoyaita masafi, mastaarabu katika Ibada?
 
Swali kwa nini hakuna mtume mwafrika???swali mnasema Kuna pepo mbona watu wanaogopa kufa??Nilitegemea watu wafurahie kufa ili kuwahi peponi asanteni
 
Hakika, hatukubali ushoga na yote yanayoletwa ili kuua desturi zetu. Hatutaki kuwalazimisha watu waongee malugha ambayo hayaeleweki huku wamevaa magauni/makanzu.
Hutaki ushoga wakati mnaamrishana kila siku? Wewe mzungu mweusi upo serious kweli?
 

Duuh!
 
Sasa kama sitaki hiyo adhabu ya kusifu 24/7 inakuaje ,huko kuna freewill au watu wanakua programmed kufata yaliyoandaliwa tu
 
Sasa kama sitaki hiyo adhabu ya kusifu 24/7 inakuaje ,huko kima freewill au watu wanakua programmed kufata yaliyoandaliwa tu
Wabishi na viburi hawaingii Mbinguni, Kwa wabishi ni kuzimu, na shetani pia hapendi kubishiwa, utatinduliwa ipasavyo.

Njoo Kwa Yesu Kuna Uzima.
 

Hayo ni mawazo yako? ya mwamposi? au ya bibulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…