Leo nilikuwa nipeleke barua ya posa ila nilivyofika chuo cha Ushirika Moshi nimeingia mitini

Leo nilikuwa nipeleke barua ya posa ila nilivyofika chuo cha Ushirika Moshi nimeingia mitini

mkuu,nilichomaanisha ni kwamba katika maisha kuna muda unaweza kuacha pema ukaenda kubaya ndio ile wahenga wameita “mkataa pema pabaya panamuita”
huo hapo juu ni mfano tu ambao umewahi kutokea kwenye maisha ya jamaa yangu, ni kama mleta mada alikuwa anaelekea pema kwenye ndoa lakini ametamani vitoto vya chuo mwishowe anaweza kujikuta imemcost,
Sawaa mkuu pamoja✊🏾
 
me huwa sipend sana kuwa negative ila huyu jamaa hata akimwoa mtoto wa watu atamtesa tu
Kama Ni kweli kabisa...alichosema at ceteris peribus... Hakua na nia ya dhati labda mchumba alilazimisha sana....huko aliko hakuna hata mrembo mmoja aliemzidi huyo mchumba wake uzuri?
 
Aisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo..

-Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama manthari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya chuo cha Ushirika Moshi salalee kuna watoto wakali balaa na kilicho nipeleka huko nikaghairi, naona kuna pisi zina viwango kiasi kwamba yule nae enda kujitambulisha kwao nighairi kwanza..
NI WAZURI WA SURA NA RANGI ILA ROHO ZAO NI NYEUSI HADI SHETANI MWENYEWE HAAMINI...
 
me huwa sipend sana kuwa negative ila huyu jamaa hata akimwoa mtoto wa watu atamtesa tu

Ni kweli kabisa mkuu, hakuna muoaji hapo binti wa watu angeteswa sana, kuna jamaa niliishi nae jirani alikuwa anamnyima mpaka chakula mkewe yani jamaa anaenda kazini nyumbani haachi chochote akirudi ameshiba mke hajala siku nzima, usiku huo ndio ananunua ka mchele robo na mboga za majani alafu yeye hali anawaachia mke na watoto
 
Ngoja tupate experience ya huko ulipo pisi kama zina compete na za moshi
Mi nipo Rwanda mkuu, pisi za huku huwezi kufananisha na hivyo vinyago vya Moshi MAZIWA makubwa MIGUU myembamba wanaenda mbele kama wanarudi nyuma

Kwa kifupi PISI za Moshi ni SHAPELESS
Kwahiyo huwezi kuziweka kwenye kundi la PISI KALI
 
ni kweli kabisa mkuu, hakuna muoaji hapo binti wa watu angeteswa sana, kuna jamaa niliishi nae jirani alikuwa anamnyima mpaka chakula mkewe yani jamaa anaenda kazini nyumbani haachi chochote akirudi ameshiba mke hajala siku nzima, usiku huo ndio ananunua ka mchele robo na mboga za majani alafu yeye hali anawaachia mke na watoto

Aisee kuna binadamu kavu sanaaa
 
kama Ni kweli kabisa...alichosema at ceteris peribus... Hakua na Nia ya dhati labda mchumba alilazimisha sana....huko aliko hakuna hata mrembo mmoja aliemzidi huyo mchumba wake uzuri? ...

Aisee nimeshangaa daaaah sio vizuri lakin, mwanamke akijua this side of the story atakuwa depressed sana aisee na DEPRESSION IS REAL...
 
Sintoiweka mkuu aina sifa ya pisi kali

Nitajie hiyo Mikoa mkuu? Au we pisi kali mpaka awe na tako kama la sanchi? Manake Moshi kama unataka matako kama watu wa Mbeya haiwezekani na miguu ya bia kule hakuna, kule kuna rangi na shepu kidogo
 
Mi nipo Rwanda mkuu, pisi za huku uwezi kufananisha na ivyo vinyago vya Moshi MAZIWA makubwa MIGUU meyembamba wanaenda mbele kama wanarudi nyuma

Kwa kifupi PISI za Moshi ni SHAPELESS
Kwaiyo uwezi kuziweka kwenye kundi la PISI KALI

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544][emoji1544] jamaangu umewasiliba wachaga mpaka noma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom