Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Wasipoisha ndio safi coz kale karoho kanachosemaga UPENDO KWA WOTE kitaendelea kuniamasisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Wasipoisha ndio safi coz kale karoho kanachosemaga UPENDO KWA WOTE kitaendelea kuniamasisha.
Sawaa mkuu pamoja✊🏾mkuu,nilichomaanisha ni kwamba katika maisha kuna muda unaweza kuacha pema ukaenda kubaya ndio ile wahenga wameita “mkataa pema pabaya panamuita”
huo hapo juu ni mfano tu ambao umewahi kutokea kwenye maisha ya jamaa yangu, ni kama mleta mada alikuwa anaelekea pema kwenye ndoa lakini ametamani vitoto vya chuo mwishowe anaweza kujikuta imemcost,
Masimtank Wakinyaki wanasoma uzi wamekunja sura
Katika mikoa ambayo aina pisi kali Tanzania ni Moshi
MOSHI HAKUNA PISI KALI NA WALA HAKUJAWAI KUWA NA PISI KALI
Mkuuu.. sisi wanyaki tukunje sura za Nini.. Kama mchaga Sijui mpare kakosa mume?Masimtank Wakinyaki wanasoma uzi wamekunja sura
imagine mtu anapeleka barua ya posa alafu anaghaili kisa kaona vitoto vya chuo, huyu mkuu anasikitisha sana
Kama Ni kweli kabisa...alichosema at ceteris peribus... Hakua na nia ya dhati labda mchumba alilazimisha sana....huko aliko hakuna hata mrembo mmoja aliemzidi huyo mchumba wake uzuri?me huwa sipend sana kuwa negative ila huyu jamaa hata akimwoa mtoto wa watu atamtesa tu
NI WAZURI WA SURA NA RANGI ILA ROHO ZAO NI NYEUSI HADI SHETANI MWENYEWE HAAMINI...Aisee! Asikuambie mtu Moshi kuna warembo..
-Leo nilikuwa Moshi kwa tukio la kihistoria la kupeleka barua na kujitambulisha kwa wazee wa binti, ila wakati nikitembea mitaani nikitazama manthari ya jiji la Moshi nikajikuta nimetokea maeneo ya chuo cha Ushirika Moshi salalee kuna watoto wakali balaa na kilicho nipeleka huko nikaghairi, naona kuna pisi zina viwango kiasi kwamba yule nae enda kujitambulisha kwao nighairi kwanza..
Anaropoka tu, ni victim wa pic za moshi, zimemkataa au zimemtenda.Hujafikaga moshi wewe, kausha
Hapana ujaluoni kwenu pisi ni kali balaaPisi kali Moshi?
U not serious!
me huwa sipend sana kuwa negative ila huyu jamaa hata akimwoa mtoto wa watu atamtesa tu
Mi nipo Rwanda mkuu, pisi za huku huwezi kufananisha na hivyo vinyago vya Moshi MAZIWA makubwa MIGUU myembamba wanaenda mbele kama wanarudi nyumaNgoja tupate experience ya huko ulipo pisi kama zina compete na za moshi
Sintoiweka mkuu aina sifa ya pisi kaliMkuu mikoa mitano yenye pisi kali Tanzania moshi hutaiweka ?
ni kweli kabisa mkuu, hakuna muoaji hapo binti wa watu angeteswa sana, kuna jamaa niliishi nae jirani alikuwa anamnyima mpaka chakula mkewe yani jamaa anaenda kazini nyumbani haachi chochote akirudi ameshiba mke hajala siku nzima, usiku huo ndio ananunua ka mchele robo na mboga za majani alafu yeye hali anawaachia mke na watoto
Moshi hakuna pisi kabisaaaaHujafikaga moshi wewe, kausha
kama Ni kweli kabisa...alichosema at ceteris peribus... Hakua na Nia ya dhati labda mchumba alilazimisha sana....huko aliko hakuna hata mrembo mmoja aliemzidi huyo mchumba wake uzuri? ...
Sintoiweka mkuu aina sifa ya pisi kali
Mi nipo Rwanda mkuu, pisi za huku uwezi kufananisha na ivyo vinyago vya Moshi MAZIWA makubwa MIGUU meyembamba wanaenda mbele kama wanarudi nyuma
Kwa kifupi PISI za Moshi ni SHAPELESS
Kwaiyo uwezi kuziweka kwenye kundi la PISI KALI