Leo nimelia sana. Kweli Cha Mtu.... Sidhani kama nitaweza kula

Leo nimelia sana. Kweli Cha Mtu.... Sidhani kama nitaweza kula

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Jamaa yangu aka yake KIMBU. Huyu jamaa kauli mbiu yake siku zote ni kuwa "kama huna pesa usioe mke mzuri baadaye uje wavika watu ubaya"

Jamaa alikuwa na operation ya kuchakata sana wake za watu.allahmdulilah si haba kazini tunapata vijisenti vya kununua magari na kujenga. Kwa sasa anakula maisha tu.

Mimi ni kaka na Boss wake. Nimeshamwambia mara kadhaa aache kuchapa wake za watu. Anakuwa mbishi. Kachapa mke wa Jamaa wa Tanga. Jamaa wa Tanga ni mfanyabiashara wa Nazi. Ana mke mzuri sana kamtoa kwao huko. Jamaa kala.

Akaja pewa onyo kuwa aache kutembea na mke wa Mgosi. Na Mgosi siku anaongea na jamaa kwa simu tupo wote Masaki kiwanja flani Kaunta. Jamaa alimtukana sana Mgosi kuwa akamwambie mkewe si kumwambia yeye Kimbu. Yeye Kimbu haoni palipoandikwa kwa yule dada kuwa ni mke wa mtu asiliwe. Mgosi alilia kwenye simu. Kimbu akaniambia Mgosi fala sana. Analilia demu.

Jamaa alimla tena yule dada na tena. Anasema dada anajua mapenzi balaah. Ijumaa jamaa anasema aligundua kama week sasa mashine imenyong'onyea. Haisimami. Imekuwa bwege, imekuwa zezeta, imekuwa ndondocha. Inatema udenda tu.

Anasema alijaribu hata kugusisha kwenye K ya mkewe. Hamna kitu. Akaenda tafuta mwanamke anayejiuza akagusisha. Hamna kitu.

Akatafuta mwanachuo akagusisha hamna kitu. Akaicharge hamna kitu. Yaani inatoa tu udenda muda wote. Hospitali wamepima ule udenda ni kama saliva anavyotoa mtoto mdogo. Hauna ugonjwa wowote. Jamaa amelazwa kwa uchunguzi zaidi maana pia anasema akienda haja kubwa ni issue. Mpaka amechanika sehemu ya kutolea. Kipenyo kimeongezeka. Imefikia hatua hataki kula. Maana akiwaza tu suala la kwenda kukata gogo anaishiwa hamu. Akitoka chooni hata kutembea hawezi amechanika. Hapo katumia almost 2 hours. Anasema kajaribu kuwa awe anakunywa vitu laini tu. Bado shida ipo pale pale.

Jamaa anasema anateseka sana. Anatoa choo kikavu yaani muda huo huo unaweza kitumia kama kuni kikawasha moto. Hata anywe nini choo kinatoka cheusi kama kala mkaa na kikavu na kina harufu kama alikula mzoga wa Kunguru.

Ila bado haamini kama ni kazi ya Mgosi. Anasema labda ni constipation tu. Ila week ya pili leo hata kutembea anatembea ametanua miguu maana mashine inaumwa inatoa udenda tu na nyuma ndo kupo nyang'anyang'a hakufai.
 
Jamaa yangu aka yake KIMBU.. Huyu jamaa kauli mbiu yake siku zote ni kuwa "kama huna pesa usioe mke mzuri baadaye uje wavika watu ubaya"

Jamaa alikuwa na operation ya kuchakata sana wake za watu.allahmdulilah si haba kazini tunapata vijicent vya kununua magari na kujenga. Kwa sasa anakula maisha tu.

Mimi ni kaka na Boss wake. Nimeshamwambia mara kadhaa aache kuchapa wake za watu. Anakuwa mbishi. Kachapa mke wa Jamaa wa Tanga. Jamaa wa Tanga ni mfanyabiashara wa Nazi. Ana mke mzuri sana kamtoa kwao huko. Jamaa kala.

Akaja pewa onyo kuwa aache kutembea na mke wa Mgosi. Na Mgosi siku anaongea na jamaa kwa simu tupo wote Masaki kiwanja flani Kaunta. Jamaa alimtukana sana Mgosi kuwa akamwambie mkewe si kumwambia yeye Kimbu. Yeye Kimbu haoni palipoandikwa kwa yule dada kuwa ni mke wa mtu asiliwe. Mgosi alilia kwenye simu. Kimbu akaniambia Mgosi fala sana... Analilia demu.

Jamaa alimla tena yule dada na tena. Anasema dada anajua mapenzi balaah. Ijumaa jamaa anasema aligundua kama week sasa mashine imenyong'onyea. Haisimami. Imekuwa bwege, imekuwa zezeta, imekuwa ndondocha... Inatema udenda tu.

Anasema alijaribu hata kugusisha kwenye K ya mkewe. Hamna kitu. Akaenda tafuta mwanamke anayejiuza akagusisha. Hamna kitu.

Akatafuta mwanachuo akagusisha hamna kitu. Akaicharge hamna kitu. Yaani inatoa tu udenda muda wote. Hosp wamepima ule udenda ni kama saliva anavyotoa mtoto mdogo. Hauna ugonjwa wowote. Jamaa amelazwa kwa uchunguzi zaidi maana pia anasema akienda haja kubwa.... Ni issue. Mpaka amechanika sehemu ya kutolea. Kipenyo kimeongezeka. Imefikia hatua hataki kula. Maana akiwaza tu suala la kwenda kukata gogo anaishiwa hamu.

Anakata gogo lenye radius kubwa sana so kuitoa ni issue mpaka analia mwenyewe chooni. Akitoka chooni hata kutembea hawezi amechanika. Hapo katumia almost 2 hours. Anasema kajaribu kuwa awe anakunywa vitu laini tu. Bado shida ipo pale pale. Anakata gogo upana wa bomba la goli la mpira. Au mkono wa mtu mzima. Na linanuka ile mbaya.... Yaani jeusi harufull. Haifai hata kidogo.

Jamaa anasema anateseka sana. Anatoa choo kikavu yaani muda huo huo unaweza kitumia kama kuni kikawasha moto. Hata anywe nini choo kinatoka cheusi kama kala mkaa. Ila bado haamini kama ni kazi ya Mgosi. Anasema labda ni constipation tu. Ila week ya pili leo hata kutembea anatembea ametanua miguu maana mashine inaumwa inatoa udenda tu na nyuma ndo kupo nyang'anyang'a hakufai.
Hapa kuna mtu ananadaliwa kupigwa

USSR
 
"jamaa alimtukana sana Mgosi kuwa akamwambie mkewe si kumwambia yeye Kimbu"
 

Attachments

  • 12.jpg
    12.jpg
    20.9 KB · Views: 18
Jamaa yangu aka yake KIMBU.. Huyu jamaa kauli mbiu yake siku zote ni kuwa "kama huna pesa usioe mke mzuri baadaye uje wavika watu ubaya"

Jamaa alikuwa na operation ya kuchakata sana wake za watu.allahmdulilah si haba kazini tunapata vijicent vya kununua magari na kujenga. Kwa sasa anakula maisha tu.

Mimi ni kaka na Boss wake. Nimeshamwambia mara kadhaa aache kuchapa wake za watu. Anakuwa mbishi. Kachapa mke wa Jamaa wa Tanga. Jamaa wa Tanga ni mfanyabiashara wa Nazi. Ana mke mzuri sana kamtoa kwao huko. Jamaa kala.

Akaja pewa onyo kuwa aache kutembea na mke wa Mgosi. Na Mgosi siku anaongea na jamaa kwa simu tupo wote Masaki kiwanja flani Kaunta. Jamaa alimtukana sana Mgosi kuwa akamwambie mkewe si kumwambia yeye Kimbu. Yeye Kimbu haoni palipoandikwa kwa yule dada kuwa ni mke wa mtu asiliwe. Mgosi alilia kwenye simu. Kimbu akaniambia Mgosi fala sana... Analilia demu.

Jamaa alimla tena yule dada na tena. Anasema dada anajua mapenzi balaah. Ijumaa jamaa anasema aligundua kama week sasa mashine imenyong'onyea. Haisimami. Imekuwa bwege, imekuwa zezeta, imekuwa ndondocha... Inatema udenda tu.

Anasema alijaribu hata kugusisha kwenye K ya mkewe. Hamna kitu. Akaenda tafuta mwanamke anayejiuza akagusisha. Hamna kitu.

Akatafuta mwanachuo akagusisha hamna kitu. Akaicharge hamna kitu. Yaani inatoa tu udenda muda wote. Hosp wamepima ule udenda ni kama saliva anavyotoa mtoto mdogo. Hauna ugonjwa wowote. Jamaa amelazwa kwa uchunguzi zaidi maana pia anasema akienda haja kubwa.... Ni issue. Mpaka amechanika sehemu ya kutolea. Kipenyo kimeongezeka. Imefikia hatua hataki kula. Maana akiwaza tu suala la kwenda kukata gogo anaishiwa hamu.

Anakata gogo lenye radius kubwa sana so kuitoa ni issue mpaka analia mwenyewe chooni. Akitoka chooni hata kutembea hawezi amechanika. Hapo katumia almost 2 hours. Anasema kajaribu kuwa awe anakunywa vitu laini tu. Bado shida ipo pale pale. Anakata gogo upana wa bomba la goli la mpira. Au mkono wa mtu mzima. Na linanuka ile mbaya.... Yaani jeusi harufull. Haifai hata kidogo. Room mkewa kamwambia akatumie choo cha nje.

Jamaa anasema anateseka sana. Anatoa choo kikavu yaani muda huo huo unaweza kitumia kama kuni kikawasha moto. Hata anywe nini choo kinatoka cheusi kama kala mkaa na kikavu na kina harufu kama alikula mzoga wa Kunguru.

Ila bado haamini kama ni kazi ya Mgosi. Anasema labda ni constipation tu. Ila week ya pili leo hata kutembea anatembea ametanua miguu maana mashine inaumwa inatoa udenda tu na nyuma ndo kupo nyang'anyang'a hakufai.
Ye si alijiona mjanja kumla mke wa mtu na kumtukana mwenye mke! Apambane na hali yake sasa!
 
Sasa wewe kwanini ushindwe kula na puru lichanikalo si lako, au wewe ndie kimbu??
 
Jamaa yangu aka yake KIMBU.. Huyu jamaa kauli mbiu yake siku zote ni kuwa "kama huna pesa usioe mke mzuri baadaye uje wavika watu ubaya"

Jamaa alikuwa na operation ya kuchakata sana wake za watu.allahmdulilah si haba kazini tunapata vijicent vya kununua magari na kujenga. Kwa sasa anakula maisha tu.

Mimi ni kaka na Boss wake. Nimeshamwambia mara kadhaa aache kuchapa wake za watu. Anakuwa mbishi. Kachapa mke wa Jamaa wa Tanga. Jamaa wa Tanga ni mfanyabiashara wa Nazi. Ana mke mzuri sana kamtoa kwao huko. Jamaa kala.

Akaja pewa onyo kuwa aache kutembea na mke wa Mgosi. Na Mgosi siku anaongea na jamaa kwa simu tupo wote Masaki kiwanja flani Kaunta. Jamaa alimtukana sana Mgosi kuwa akamwambie mkewe si kumwambia yeye Kimbu. Yeye Kimbu haoni palipoandikwa kwa yule dada kuwa ni mke wa mtu asiliwe. Mgosi alilia kwenye simu. Kimbu akaniambia Mgosi fala sana... Analilia demu.

Jamaa alimla tena yule dada na tena. Anasema dada anajua mapenzi balaah. Ijumaa jamaa anasema aligundua kama week sasa mashine imenyong'onyea. Haisimami. Imekuwa bwege, imekuwa zezeta, imekuwa ndondocha... Inatema udenda tu.

Anasema alijaribu hata kugusisha kwenye K ya mkewe. Hamna kitu. Akaenda tafuta mwanamke anayejiuza akagusisha. Hamna kitu.

Akatafuta mwanachuo akagusisha hamna kitu. Akaicharge hamna kitu. Yaani inatoa tu udenda muda wote. Hosp wamepima ule udenda ni kama saliva anavyotoa mtoto mdogo. Hauna ugonjwa wowote. Jamaa amelazwa kwa uchunguzi zaidi maana pia anasema akienda haja kubwa.... Ni issue. Mpaka amechanika sehemu ya kutolea. Kipenyo kimeongezeka. Imefikia hatua hataki kula. Maana akiwaza tu suala la kwenda kukata gogo anaishiwa hamu.

Anakata gogo lenye radius kubwa sana so kuitoa ni issue mpaka analia mwenyewe chooni. Akitoka chooni hata kutembea hawezi amechanika. Hapo katumia almost 2 hours. Anasema kajaribu kuwa awe anakunywa vitu laini tu. Bado shida ipo pale pale. Anakata gogo upana wa bomba la goli la mpira. Au mkono wa mtu mzima. Na linanuka ile mbaya.... Yaani jeusi harufull. Haifai hata kidogo. Room mkewa kamwambia akatumie choo cha nje.

Jamaa anasema anateseka sana. Anatoa choo kikavu yaani muda huo huo unaweza kitumia kama kuni kikawasha moto. Hata anywe nini choo kinatoka cheusi kama kala mkaa na kikavu na kina harufu kama alikula mzoga wa Kunguru.

Ila bado haamini kama ni kazi ya Mgosi. Anasema labda ni constipation tu. Ila week ya pili leo hata kutembea anatembea ametanua miguu maana mashine inaumwa inatoa udenda tu na nyuma ndo kupo nyang'anyang'a hakufai.
Mwambie kama anahela anitafute pm nimsolvie hiyo ishu ya kitoto
 
Kuna jamaa aliwahi kumla mzazi mwenzangu ( ambae alikua mke wangu , lakini kwà tabia zake za kizinzi nikaamua kumuacha) ...jamaa nilivyomwambia aachane na mke wangu kwenye simu..alinitukana sana. Then nikamtafuta live...bado akaonekana kuwa mjeuri sana.

Sikumfanya kitu chochote , baada ya kugundua sio huyo tu kuwa wife alikua akitembea nae...bali alikua kawapanga wanamme zaidi ya watano...walikua wanamla kwà kupokezana.

Nikaona isiwe case,..nikamuachia kila kitu nikasepa. Si vyema kugombana na wanaume wenzako au kumfanyia ubaya Mwanaume mwenzako kwasababu ya mkeo. Utaishia kugombana na wanaume hovyo na mwisho watu watakuona wewe ndiye mwenye shida wakati tatizo ni tabia mbaya ya mkeo.


Note: Mwanamke akikusaliti katika issue ya kugawa mwili wake kwà Mwanaume mwingine...usithubu kuendelea nae. Kwani ataendelea na hiyo tabia.

Niliwahi kumfuma mzazi mwenzangu na wanamme zaidi ya mara 3...lakini hakukoma kuacha tabia hiyo.
 
Kuna jamaa aliwahi kumla mzazi mwenzangu ( ambae alikua mke wangu , lakini kwà tabia zake za kizinzi nikaamua kumuacha) ...jamaa nilivyomwambia aachane na mke wangu kwenye simu..alinitukana sana. Then nikamtafuta live...bado akaonekana kuwa mjeuri sana.

Sikumfanya kitu chochote , baada ya kugundua sio huyo tu kuwa wife alikua akitembea nae...bali alikua kawapanga wanamme zaidi ya watano...walikua wanamla kwà kupokezana.

Nikaona isiwe case,..nikamuachia kila kitu nikasepa. Si vyema kugombana na wanaume wenzako au kumfanyia ubaya Mwanaume mwenzako kwasababu ya mkeo. Utaishia kugombana na wanaume hovyo na mwisho watu watakuona wewe ndiye mwenye shida wakati tatizo ni tabia mbaya ya mkeo.
Inahitaji moyo na elimu kubwa sana sana kufikia hatua ulionayo ya maamuzi kama hayo.
 
Inahitaji moyo na elimu kubwa sana sana kufikia hatua ulionayo ya maamuzi kama hayo.
Maamuzi hayahitaji Elimu, yanahitaji Maarifa.

Ukubali kuangamia ili umfurahishe yeye, familia na Jamii , au uwe na msimamo thabiti wa kuutetea Uanamme wako ( Heshima ya UTU wako) kwà kumkana yeye na kufuata maandiko matakatifu ambayo yalikuwepo tangu enzi, yapo na yataendelea kuwepo milele yote.

Note: Imeandikwa , mwanamke ataachwa na Mume wake isipokua kwà uzinzi tu.
 
Maamuzi hayahitaji Elimu, yanahitaji Maarifa.

Ukubali kuangamia ili umfurahishe yeye, familia na Jamii , au uwe na msimamo thabiti wa kuutetea Uanamme wako ( Heshima ya UTU wako) kwà kumkana yeye na kufuata maandiko matakatifu ambayo yalikuwepo tangu enzi, yapo na yataendelea kuwepo milele yote.

Note: Imeandikwa , mwanamke ataachwa na Mume wake isipokua kwà uzinzi tu.
Daah yataka moyo sana sana kuishi kwa vitendo huo ukomavu ni Jambo jema sana Ila wengi hawana fikra na mioyo yenye kuishi huo ukomavu
 
Maamuzi hayahitaji Elimu, yanahitaji Maarifa.

Ukubali kuangamia ili umfurahishe yeye, familia na Jamii , au uwe na msimamo thabiti wa kuutetea Uanamme wako ( Heshima ya UTU wako) kwà kumkana yeye na kufuata maandiko matakatifu ambayo yalikuwepo tangu enzi, yapo na yataendelea kuwepo milele yote.

Note: Imeandikwa , mwanamke ataachwa na Mume wake isipokua kwà uzinzi tu.
Maarifa ni nini na Elimu ni nini? Weka tofauti katika muktadha uliopo tafadhari
 
Daah yataka moyo sana sana kuishi kwa vitendo huo ukomavu ni Jambo jema sana Ila wengi hawana fikra na mioyo yenye kuishi huo ukomavu
Unaweza ukaua usipokua muangalifu.

Katika hii dunia, wenye haki ni watoto , wanawake na wazee.

Hata kama ukiwa sahihi,... usithubutu kufanya tukio na hao watu,...watakushinda tu na utaishia Kubaya.

Kwahiyo ni lazima uwe humble & obedient ili maisha yaende.
 
Maarifa ni nini na Elimu ni nini? Weka tofauti katika muktadha uliopo tafadhari
Elimu inatokana na kuwa na hofu ya Mungu ( ndio hutusaidia kuishinda mitihani ya dunia ) ; Ndio maana kabla ya mitihani ya final..kuanzia vidudu, primary , sekondari ,vyuoni...lazima sala zipigwe sana.


Maarifa yanatokana na kumcha Mungu ( ndio hutusaidia kuyashinda majaribu ya dunia hii )

Kwahiyo , ni vyema tuwe na hofu ya Mungu na pia tumche Mungu ili safari yetu iwe ya Kheri.

Note: Kuna watu wanahofu ya Mungu, na Mungu anawatambua kuwa ni watu wake ...lakini huyo huyo Mungu anasema...." Watu wangu Wana angamia kwà Kukosa maarifa "

Bila shaka utakua umenielewa sasa.
 
Back
Top Bottom