Leo nimelia sana. Kweli Cha Mtu.... Sidhani kama nitaweza kula

Leo nimelia sana. Kweli Cha Mtu.... Sidhani kama nitaweza kula

Kuna jamaa aliwahi kumla mzazi mwenzangu ( ambae alikua mke wangu , lakini kwà tabia zake za kizinzi nikaamua kumuacha) ...jamaa nilivyomwambia aachane na mke wangu kwenye simu..alinitukana sana. Then nikamtafuta live...bado akaonekana kuwa mjeuri sana.

Sikumfanya kitu chochote , baada ya kugundua sio huyo tu kuwa wife alikua akitembea nae...bali alikua kawapanga wanamme zaidi ya watano...walikua wanamla kwà kupokezana.

Nikaona isiwe case,..nikamuachia kila kitu nikasepa. Si vyema kugombana na wanaume wenzako au kumfanyia ubaya Mwanaume mwenzako kwasababu ya mkeo. Utaishia kugombana na wanaume hovyo na mwisho watu watakuona wewe ndiye mwenye shida wakati tatizo ni tabia mbaya ya mkeo.


Note: Mwanamke akikusaliti katika issue ya kugawa mwili wake kwà Mwanaume mwingine...usithubu kuendelea nae. Kwani ataendelea na hiyo tabia.
ungemkata kidole uone kama angerudia
 
Baada ya kuachana na huyo mwanamke ,...nilikaa zaidi ya miaka 3 ( without relationship, without sex , without masterbation )

Nilikua nikipenda kusoma vitabu mbalimbali, like THORAH, TALMUD, QURAN , BIBLE ...lots of book ( lakini sana, nilipenda kusoma Bible & KATIBA )

I did alot of meditation

Nilifuatilja mafundisho ya viongozi mbali mbali wa dini like TB Joshua ...

Mwisho nikawa based kumsikiliza Holy Spirit ( Hapa ndipo nilipogundua mengi sana )

Note; Nilipoachana na issue za sex...niligundua vitu viwili vya ajabu sana.

1. Nilikua more attracted to women ( nilikua napata machance mengi sana ya kupiga mzigo , nikawa nakwepa )

2. Ilikua ikifika 3 au 4 months...kibubu cha testacles kilikua kinajaa ( nikawa nasikia kabisa sperms zinatembea kwenye vigoroli ) ...hali hiyo ilikua inadumu for 2 days...then utashangaa usiku umelala zinatoka zenyewe kwà kasi sana...na zinakua MBEGU nyingi sana.
Duuh kumudu bila kupiga shoo 3+ years ni nouma sana, experience among best teachers in real world. Mi nakamua mizigo but I tell women I don't need you don't love me bcoz I basically need women and never love them but women must love me. I communicate this from the very beginning
 
Mimi ndio mgosi, mwambie hafi ila cha moto atakipata tu. Week mbili bado ndogo sana, namuongezea kama miezi miwili aache kucheza na wake zetu.
 
Wengine tuna nguvu both spiritually & physically. Unaweza kumgusa kofi Moja tu mtoto wa watu ( kidogo tu ) ,...afu ukashangaa shavu lake likaanza kuoza ndani kwà ndani.

Kumbe wewe siye ndiye uliyempiga kofi lile , bali ni Mizimu ya ukoo au Mungu. You see!

Then ukajikuta unaishia jela.

Note: Mtoto anapigwa, Mwanamke hapigwi
Nilimaanisha kipigo kwa hao wanaume wanaokuchapia mkeo!
 
Saizi yake kabisa walahi
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Nilimaanisha kipigo kwa hao wanaume wanaokuchapia mkeo!
Haina haja ya kugombana na wanaume wenzako. Kama mwanamke ni mzinzi....ukigombana na wanaume wenzako sana sana utaishia kujichafua tu wewe mwenyewe kama Kichwa cha familia.

Watu watakudharau, na kila mtu atakucheka na kukunyooshea kidole kila upitapo.

Mwanamke kama amekushinda tabia, mpe nafasi , mpishe, muache aende zake.
 
Haina haja ya kugombana na wanaume wenzako. Kama mwanamke ni mzinzi....ukigombana na wanaume wenzako sana sana utaishia kujichafua tu wewe mwenyewe kama Kichwa cha familia.

Watu watakudharau, na kila mtu atakucheka na kukunyooshea kidole kila upitapo.

Mwanamke kama amekushinda tabia, mpe nafasi , mpishe, muache aende zake.
Hekima ya kiwango cha juu hiyo
 
Haya nipe namba ya mganga wa mgosi..chAp..😅😅
 
Duuh kumudu bila kupiga shoo 3+ years ni nouma sana, experience among best teachers in real world. Mi nakamua mizigo but I tell women I don't need you don't love me bcoz I basically need women and never love them but women must love me. I communicate this from the very beginning
Je ukiwaambia hivyo, je wanakupenda sana?
Na unawaambia kabla ya kumla ?
 
Back
Top Bottom