Leo nimelia sana. Kweli Cha Mtu.... Sidhani kama nitaweza kula

Leo nimelia sana. Kweli Cha Mtu.... Sidhani kama nitaweza kula

Kuna jamaa aliwahi kumla mzazi mwenzangu ( ambae alikua mke wangu , lakini kwà tabia zake za kizinzi nikaamua kumuacha) ...jamaa nilivyomwambia aachane na mke wangu kwenye simu..alinitukana sana. Then nikamtafuta live...bado akaonekana kuwa mjeuri sana.

Sikumfanya kitu chochote , baada ya kugundua sio huyo tu kuwa wife alikua akitembea nae...bali alikua kawapanga wanamme zaidi ya watano...walikua wanamla kwà kupokezana.

Nikaona isiwe case,..nikamuachia kila kitu nikasepa. Si vyema kugombana na wanaume wenzako au kumfanyia ubaya Mwanaume mwenzako kwasababu ya mkeo. Utaishia kugombana na wanaume hovyo na mwisho watu watakuona wewe ndiye mwenye shida wakati tatizo ni tabia mbaya ya mkeo.


Note: Mwanamke akikusaliti katika issue ya kugawa mwili wake kwà Mwanaume mwingine...usithubu kuendelea nae. Kwani ataendelea na hiyo tabia.

Niliwahi kumfuma mzazi mwenzangu na wanamme zaidi ya mara 3...lakini hakukoma kuacha tabia hiyo.
Pole aiseeh 🤔ulioa chama la wana doh🤣Mke wa mtu ana wanaume wa5 pemben wanamkula kwa zamu?au alikuwa na pepo la ngono🤔🤔
 
Elimu inatokana na kuwa na hofu ya Mungu ( ndio hutusaidia kuishinda mitihani ya dunia ) ; Ndio maana kabla ya mitihani ya final..kuanzia vidudu, primary , sekondari ,vyuoni...lazima sala zipigwe sana.


Maarifa yanatokana na kumcha Mungu ( ndio hutusaidia kuyashinda majaribu ya dunia hii )

Kwahiyo , ni vyema tuwe na hofu ya Mungu na pia tumche Mungu ili safari yetu iwe ya Kheri.

Note: Kuna watu wanahofu ya Mungu, na Mungu anawatambua kuwa ni watu wake ...lakini huyo huyo Mungu anasema...." Watu wangu Wana angamia kwà Kukosa maarifa "

Bila shaka utakua umenielewa sasa.
Haiko bayana sana sio somo jepesi hata kwako japo msingi nimeelewa kuzingatia Mungu katika yote mabaya na mazuri
 
Jamaa yangu aka yake KIMBU.. Huyu jamaa kauli mbiu yake siku zote ni kuwa "kama huna pesa usioe mke mzuri baadaye uje wavika watu ubaya"

Jamaa alikuwa na operation ya kuchakata sana wake za watu.allahmdulilah si haba kazini tunapata vijicent vya kununua magari na kujenga. Kwa sasa anakula maisha tu.

Mimi ni kaka na Boss wake. Nimeshamwambia mara kadhaa aache kuchapa wake za watu. Anakuwa mbishi. Kachapa mke wa Jamaa wa Tanga. Jamaa wa Tanga ni mfanyabiashara wa Nazi. Ana mke mzuri sana kamtoa kwao huko. Jamaa kala.

Akaja pewa onyo kuwa aache kutembea na mke wa Mgosi. Na Mgosi siku anaongea na jamaa kwa simu tupo wote Masaki kiwanja flani Kaunta. Jamaa alimtukana sana Mgosi kuwa akamwambie mkewe si kumwambia yeye Kimbu. Yeye Kimbu haoni palipoandikwa kwa yule dada kuwa ni mke wa mtu asiliwe. Mgosi alilia kwenye simu. Kimbu akaniambia Mgosi fala sana... Analilia demu.

Jamaa alimla tena yule dada na tena. Anasema dada anajua mapenzi balaah. Ijumaa jamaa anasema aligundua kama week sasa mashine imenyong'onyea. Haisimami. Imekuwa bwege, imekuwa zezeta, imekuwa ndondocha... Inatema udenda tu.

Anasema alijaribu hata kugusisha kwenye K ya mkewe. Hamna kitu. Akaenda tafuta mwanamke anayejiuza akagusisha. Hamna kitu.

Akatafuta mwanachuo akagusisha hamna kitu. Akaicharge hamna kitu. Yaani inatoa tu udenda muda wote. Hosp wamepima ule udenda ni kama saliva anavyotoa mtoto mdogo. Hauna ugonjwa wowote. Jamaa amelazwa kwa uchunguzi zaidi maana pia anasema akienda haja kubwa.... Ni issue. Mpaka amechanika sehemu ya kutolea. Kipenyo kimeongezeka. Imefikia hatua hataki kula. Maana akiwaza tu suala la kwenda kukata gogo anaishiwa hamu.

Anakata gogo lenye radius kubwa sana so kuitoa ni issue mpaka analia mwenyewe chooni. Akitoka chooni hata kutembea hawezi amechanika. Hapo katumia almost 2 hours. Anasema kajaribu kuwa awe anakunywa vitu laini tu. Bado shida ipo pale pale. Anakata gogo upana wa bomba la goli la mpira. Au mkono wa mtu mzima. Na linanuka ile mbaya.... Yaani jeusi harufull. Haifai hata kidogo. Room mkewa kamwambia akatumie choo cha nje.

Jamaa anasema anateseka sana. Anatoa choo kikavu yaani muda huo huo unaweza kitumia kama kuni kikawasha moto. Hata anywe nini choo kinatoka cheusi kama kala mkaa na kikavu na kina harufu kama alikula mzoga wa Kunguru.

Ila bado haamini kama ni kazi ya Mgosi. Anasema labda ni constipation tu. Ila week ya pili leo hata kutembea anatembea ametanua miguu maana mashine inaumwa inatoa udenda tu na nyuma ndo kupo nyang'anyang'a hakufai.
Hamna lolote jamaa atakuwa tu na kisukari kali na presha ama dalili za mwanzo za parkinson's

Robert Heriel Mtibeli
 
Very nice advice thank you very much ntaishi na hii hadi naondoka duniani
Unaweza ukaua usipokua muangalifu.

Katika hii dunia, wenye haki ni watoto , wanawake na wazee.

Hata kama ukiwa sahihi,... usithubutu kufanya tukio na hao watu,...watakushinda tu na utaishia Kubaya.

Kwahiyo ni lazima uwe humble & obedient ili maisha yaende.
 
Jamaa yangu aka yake KIMBU.. Huyu jamaa kauli mbiu yake siku zote ni kuwa "kama huna pesa usioe mke mzuri baadaye uje wavika watu ubaya"

Jamaa alikuwa na operation ya kuchakata sana wake za watu.allahmdulilah si haba kazini tunapata vijicent vya kununua magari na kujenga. Kwa sasa anakula maisha tu.

Mimi ni kaka na Boss wake. Nimeshamwambia mara kadhaa aache kuchapa wake za watu. Anakuwa mbishi. Kachapa mke wa Jamaa wa Tanga. Jamaa wa Tanga ni mfanyabiashara wa Nazi. Ana mke mzuri sana kamtoa kwao huko. Jamaa kala.

Akaja pewa onyo kuwa aache kutembea na mke wa Mgosi. Na Mgosi siku anaongea na jamaa kwa simu tupo wote Masaki kiwanja flani Kaunta. Jamaa alimtukana sana Mgosi kuwa akamwambie mkewe si kumwambia yeye Kimbu. Yeye Kimbu haoni palipoandikwa kwa yule dada kuwa ni mke wa mtu asiliwe. Mgosi alilia kwenye simu. Kimbu akaniambia Mgosi fala sana... Analilia demu.

Jamaa alimla tena yule dada na tena. Anasema dada anajua mapenzi balaah. Ijumaa jamaa anasema aligundua kama week sasa mashine imenyong'onyea. Haisimami. Imekuwa bwege, imekuwa zezeta, imekuwa ndondocha... Inatema udenda tu.

Anasema alijaribu hata kugusisha kwenye K ya mkewe. Hamna kitu. Akaenda tafuta mwanamke anayejiuza akagusisha. Hamna kitu.

Akatafuta mwanachuo akagusisha hamna kitu. Akaicharge hamna kitu. Yaani inatoa tu udenda muda wote. Hosp wamepima ule udenda ni kama saliva anavyotoa mtoto mdogo. Hauna ugonjwa wowote. Jamaa amelazwa kwa uchunguzi zaidi maana pia anasema akienda haja kubwa.... Ni issue. Mpaka amechanika sehemu ya kutolea. Kipenyo kimeongezeka. Imefikia hatua hataki kula. Maana akiwaza tu suala la kwenda kukata gogo anaishiwa hamu.

Anakata gogo lenye radius kubwa sana so kuitoa ni issue mpaka analia mwenyewe chooni. Akitoka chooni hata kutembea hawezi amechanika. Hapo katumia almost 2 hours. Anasema kajaribu kuwa awe anakunywa vitu laini tu. Bado shida ipo pale pale. Anakata gogo upana wa bomba la goli la mpira. Au mkono wa mtu mzima. Na linanuka ile mbaya.... Yaani jeusi harufull. Haifai hata kidogo. Room mkewa kamwambia akatumie choo cha nje.

Jamaa anasema anateseka sana. Anatoa choo kikavu yaani muda huo huo unaweza kitumia kama kuni kikawasha moto. Hata anywe nini choo kinatoka cheusi kama kala mkaa na kikavu na kina harufu kama alikula mzoga wa Kunguru.

Ila bado haamini kama ni kazi ya Mgosi. Anasema labda ni constipation tu. Ila week ya pili leo hata kutembea anatembea ametanua miguu maana mashine inaumwa inatoa udenda tu na nyuma ndo kupo nyang'anyang'a hakufai.
afu unaenda kwa mganga anakwambia dawa yake ni mpk umtafute mgosi akupige mshedede kama robo saa hv ndo utapona,hapo ndo utajua wewe ni zezeta

unakula mali sio yako na bado unaleta jeuri kama si kutafutwa kufiwra kitu gani!
 
Kuna jamaa aliwahi kumla mzazi mwenzangu ( ambae alikua mke wangu , lakini kwà tabia zake za kizinzi nikaamua kumuacha) ...jamaa nilivyomwambia aachane na mke wangu kwenye simu..alinitukana sana. Then nikamtafuta live...bado akaonekana kuwa mjeuri sana.

Sikumfanya kitu chochote , baada ya kugundua sio huyo tu kuwa wife alikua akitembea nae...bali alikua kawapanga wanamme zaidi ya watano...walikua wanamla kwà kupokezana.

Nikaona isiwe case,..nikamuachia kila kitu nikasepa. Si vyema kugombana na wanaume wenzako au kumfanyia ubaya Mwanaume mwenzako kwasababu ya mkeo. Utaishia kugombana na wanaume hovyo na mwisho watu watakuona wewe ndiye mwenye shida wakati tatizo ni tabia mbaya ya mkeo.


Note: Mwanamke akikusaliti katika issue ya kugawa mwili wake kwà Mwanaume mwingine...usithubu kuendelea nae. Kwani ataendelea na hiyo tabia.

Niliwahi kumfuma mzazi mwenzangu na wanamme zaidi ya mara 3...lakini hakukoma kuacha tabia hiyo.
Hongera kwa uvumilivu, ni wanaume wachache sana wanaweza kuvumilia kuona mkewe ana mahusiano na wanaume wengine na asitembeze kichapo? Yaani umemfumania na usianzishe vurugu! Wewe ni wa pekee
 
Very nice advice thank you very much ntaishi na hii hadi naondoka duniani
Mwanamke akikushinda tabia, achana nae na kaa mbali nae kabisa. Usilazimishe...la sivyo utawahi kufa siku si zako.

Atakuua kwà mikono yake ( spiritually ) .... utakufa taratibu ndani kwà ndani....na mwisho wa siku hakuna mtu atakayekuonea huruma...kwasababu kila mtu aliona na kujua kuwa huyo mwanamke hakufai lakini ukaendelea kumng'ang'ania eti kisa mna watoto/ mtoto.
 
Hongera kwa uvumilivu, ni wanaume wachache sana wanaweza kuvumilia kuona mkewe ana mahusiano na wanaume wengine na asitembeze kichapo? Yaani umemfumania na usianzishe vurugu! Wewe ni wa pekee
Wengine tuna nguvu both spiritually & physically. Unaweza kumgusa kofi Moja tu mtoto wa watu ( kidogo tu ) ,...afu ukashangaa shavu lake likaanza kuoza ndani kwà ndani.

Kumbe wewe siye ndiye uliyempiga kofi lile , bali ni Mizimu ya ukoo au Mungu. You see!

Then ukajikuta unaishia jela.

Note: Mtoto anapigwa, Mwanamke hapigwi
 
Mwanamke akikushinda tabia, achana nae na kaa mbali nae kabisa. Usilazimishe...la sivyo utawahi kufa siku si zako.

Atakuua kwà mikono yake ( spiritually ) .... utakufa taratibu ndani kwà ndani....na mwisho wa siku hakuna mtu atakayekuonea huruma...kwasababu kila mtu aliona na kujua kuwa huyo mwanamke hakufai lakini ukaendelea kumng'ang'ania eti kisa mna watoto/ mtoto.
Well said, Mi niko kwenye ufalme na Dunia ya Kataa ndoa Kataa kuoa nimekula kiapo, nawapa mimba nawajengea uwezo kiuchumi walee watoto basi sitaki upuuzi
 
Mwanamke akikushinda tabia, achana nae na kaa mbali nae kabisa. Usilazimishe...la sivyo utawahi kufa siku si zako.

Atakuua kwà mikono yake ( spiritually ) .... utakufa taratibu ndani kwà ndani....na mwisho wa siku hakuna mtu atakayekuonea huruma...kwasababu kila mtu aliona na kujua kuwa huyo mwanamke hakufai lakini ukaendelea kumng'ang'ania eti kisa mna watoto/ mtoto.
Ilikuchukua muda gani na muongozo wa nani kumudu hili la kuishi na ukomavu huu? How many times you probably went through chaos to achieve this milestone with emotional stability?
 
Kuna jamaa aliwahi kumla mzazi mwenzangu ( ambae alikua mke wangu , lakini kwà tabia zake za kizinzi nikaamua kumuacha) ...jamaa nilivyomwambia aachane na mke wangu kwenye simu..alinitukana sana. Then nikamtafuta live...bado akaonekana kuwa mjeuri sana.

Sikumfanya kitu chochote , baada ya kugundua sio huyo tu kuwa wife alikua akitembea nae...bali alikua kawapanga wanamme zaidi ya watano...walikua wanamla kwà kupokezana.

Nikaona isiwe case,..nikamuachia kila kitu nikasepa. Si vyema kugombana na wanaume wenzako au kumfanyia ubaya Mwanaume mwenzako kwasababu ya mkeo. Utaishia kugombana na wanaume hovyo na mwisho watu watakuona wewe ndiye mwenye shida wakati tatizo ni tabia mbaya ya mkeo.


Note: Mwanamke akikusaliti katika issue ya kugawa mwili wake kwà Mwanaume mwingine...usithubu kuendelea nae. Kwani ataendelea na hiyo tabia.

Niliwahi kumfuma mzazi mwenzangu na wanamme zaidi ya mara 3...lakini hakukoma kuacha tabia hiyo.
 Point
 
Kwani mshikaji Hakuwa Anajua Kama mgosi Ni Mtu wa Tanga
Nasemaje Watu wa Tanga sio Mchezo Mkuu
 
Ilikuchukua muda gani na muongozo wa nani kumudu hili la kuishi na ukomavu huu? How many times you probably went through chaos to achieve this milestone with emotional stability?
Baada ya kuachana na huyo mwanamke ,...nilikaa zaidi ya miaka 3 ( without relationship, without sex , without masterbation )

Nilikua nikipenda kusoma vitabu mbalimbali, like THORAH, TALMUD, QURAN , BIBLE ...lots of book ( lakini sana, nilipenda kusoma Bible & KATIBA )

I did alot of meditation

Nilifuatilja mafundisho ya viongozi mbali mbali wa dini like TB Joshua ...

Mwisho nikawa based kumsikiliza Holy Spirit ( Hapa ndipo nilipogundua mengi sana )

Note; Nilipoachana na issue za sex...niligundua vitu viwili vya ajabu sana.

1. Nilikua more attracted to women ( nilikua napata machance mengi sana ya kupiga mzigo , nikawa nakwepa )

2. Ilikua ikifika 3 au 4 months...kibubu cha testacles kilikua kinajaa ( nikawa nasikia kabisa sperms zinatembea kwenye vigoroli ) ...hali hiyo ilikua inadumu for 2 days...then utashangaa usiku umelala zinatoka zenyewe kwà kasi sana...na zinakua MBEGU nyingi sana.
View attachment 2614835
 
Hata kama ni chai bila vitu mbuwaaa inanoga tuuu...
Wanaume mjifunze hapo kuna somo
 
Back
Top Bottom