Leo nimelia sana. Kweli Cha Mtu.... Sidhani kama nitaweza kula

Leo nimelia sana. Kweli Cha Mtu.... Sidhani kama nitaweza kula

Mwambie atafute kisu cha ngariba, kucha za jogoo mweusi, halafu atoe mrejesho humu sio DM hatutaki wengine kuonekana matapeli
 
Hekima ya kiwango cha juu hiyo
Incase you didn't know wadiz ,....ukiwa kwenye Mahusiano kuna vitu unatakiwa kuvitunza kwà hali na mali.

1. Kutunza afya Yako

Ukitunza afya Yako, utakua umetunza na ya mwenzako pia. Familia nzima itakua yenye afya na salama

2. Kutunza haki Yako

Ukitunza haki Yako, na ya mwingine utaitunza pia. Hautaweza kumnyima mwenza wako unyumba au kwenda kuitoa haki hiyo kwingine

3. Tunza siri

Tunza siri Yako , na ya mwenzako pia.

4. Tunza watu wako ( Mungu anaokuletea ) , na wa mwenzako pia.

Hii maana yake ni kuwa mkarimu


Note: Ukitaka kuharibu Mahusiano, jifanye mbinafsi. Wanaume na wanawake wengi sana wamewaua wenza wao kwà maksudi kwasababu ya ubinafsi...wanaenda nje kuchota magonjwa ( uti, hiv, gonorrhea, kaswende...you name it ) na kisha kuwaletea wenza wao ndani ya nyumba zao. Inaumiza sana!!
 
Jamaa yangu aka yake KIMBU. Huyu jamaa kauli mbiu yake siku zote ni kuwa "kama huna pesa usioe mke mzuri baadaye uje wavika watu ubaya"

Jamaa alikuwa na operation ya kuchakata sana wake za watu.allahmdulilah si haba kazini tunapata vijisenti vya kununua magari na kujenga. Kwa sasa anakula maisha tu.

Mimi ni kaka na Boss wake. Nimeshamwambia mara kadhaa aache kuchapa wake za watu. Anakuwa mbishi. Kachapa mke wa Jamaa wa Tanga. Jamaa wa Tanga ni mfanyabiashara wa Nazi. Ana mke mzuri sana kamtoa kwao huko. Jamaa kala.

Akaja pewa onyo kuwa aache kutembea na mke wa Mgosi. Na Mgosi siku anaongea na jamaa kwa simu tupo wote Masaki kiwanja flani Kaunta. Jamaa alimtukana sana Mgosi kuwa akamwambie mkewe si kumwambia yeye Kimbu. Yeye Kimbu haoni palipoandikwa kwa yule dada kuwa ni mke wa mtu asiliwe. Mgosi alilia kwenye simu. Kimbu akaniambia Mgosi fala sana. Analilia demu.

Jamaa alimla tena yule dada na tena. Anasema dada anajua mapenzi balaah. Ijumaa jamaa anasema aligundua kama week sasa mashine imenyong'onyea. Haisimami. Imekuwa bwege, imekuwa zezeta, imekuwa ndondocha. Inatema udenda tu.

Anasema alijaribu hata kugusisha kwenye K ya mkewe. Hamna kitu. Akaenda tafuta mwanamke anayejiuza akagusisha. Hamna kitu.

Akatafuta mwanachuo akagusisha hamna kitu. Akaicharge hamna kitu. Yaani inatoa tu udenda muda wote. Hospitali wamepima ule udenda ni kama saliva anavyotoa mtoto mdogo. Hauna ugonjwa wowote. Jamaa amelazwa kwa uchunguzi zaidi maana pia anasema akienda haja kubwa ni issue. Mpaka amechanika sehemu ya kutolea. Kipenyo kimeongezeka. Imefikia hatua hataki kula. Maana akiwaza tu suala la kwenda kukata gogo anaishiwa hamu. Akitoka chooni hata kutembea hawezi amechanika. Hapo katumia almost 2 hours. Anasema kajaribu kuwa awe anakunywa vitu laini tu. Bado shida ipo pale pale.

Jamaa anasema anateseka sana. Anatoa choo kikavu yaani muda huo huo unaweza kitumia kama kuni kikawasha moto. Hata anywe nini choo kinatoka cheusi kama kala mkaa na kikavu na kina harufu kama alikula mzoga wa Kunguru.

Ila bado haamini kama ni kazi ya Mgosi. Anasema labda ni constipation tu. Ila week ya pili leo hata kutembea anatembea ametanua miguu maana mashine inaumwa inatoa udenda tu na nyuma ndo kupo nyang'anyang'a hakufai.
Chai
 
Kuna jamaa aliwahi kumla mzazi mwenzangu ( ambae alikua mke wangu , lakini kwà tabia zake za kizinzi nikaamua kumuacha) ...jamaa nilivyomwambia aachane na mke wangu kwenye simu..alinitukana sana. Then nikamtafuta live...bado akaonekana kuwa mjeuri sana.

Sikumfanya kitu chochote , baada ya kugundua sio huyo tu kuwa wife alikua akitembea nae...bali alikua kawapanga wanamme zaidi ya watano...walikua wanamla kwà kupokezana.

Nikaona isiwe case,..nikamuachia kila kitu nikasepa. Si vyema kugombana na wanaume wenzako au kumfanyia ubaya Mwanaume mwenzako kwasababu ya mkeo. Utaishia kugombana na wanaume hovyo na mwisho watu watakuona wewe ndiye mwenye shida wakati tatizo ni tabia mbaya ya mkeo.


Note: Mwanamke akikusaliti katika issue ya kugawa mwili wake kwà Mwanaume mwingine...usithubu kuendelea nae. Kwani ataendelea na hiyo tabia.

Niliwahi kumfuma mzazi mwenzangu na wanamme zaidi ya mara 3...lakini hakukoma kuacha tabia hiyo.
Pole kwa kuoa malaya
 
Kuna jamaa aliwahi kumla mzazi mwenzangu ( ambae alikua mke wangu , lakini kwà tabia zake za kizinzi nikaamua kumuacha) ...jamaa nilivyomwambia aachane na mke wangu kwenye simu..alinitukana sana. Then nikamtafuta live...bado akaonekana kuwa mjeuri sana.

Sikumfanya kitu chochote , baada ya kugundua sio huyo tu kuwa wife alikua akitembea nae...bali alikua kawapanga wanamme zaidi ya watano...walikua wanamla kwà kupokezana.

Nikaona isiwe case,..nikamuachia kila kitu nikasepa. Si vyema kugombana na wanaume wenzako au kumfanyia ubaya Mwanaume mwenzako kwasababu ya mkeo. Utaishia kugombana na wanaume hovyo na mwisho watu watakuona wewe ndiye mwenye shida wakati tatizo ni tabia mbaya ya mkeo.


Note: Mwanamke akikusaliti katika iss

Ndio Ilivyo hivyo
ue ya kugawa mwili wake kwà Mwanaume mwingine...usithubu kuendelea nae. Kwani ataendelea na hiyo tabia.

Niliwahi kumfuma mzazi mwenzangu na wanamme zaidi ya mara 3...lakini hakukoma kuacha tabia hiyo.
😁😁😁😁
 
Kuna jamaa aliwahi kumla mzazi mwenzangu ( ambae alikua mke wangu , lakini kwà tabia zake za kizinzi nikaamua kumuacha) ...jamaa nilivyomwambia aachane na mke wangu kwenye simu..alinitukana sana. Then nikamtafuta live...bado akaonekana kuwa mjeuri sana.

Sikumfanya kitu chochote , baada ya kugundua sio huyo tu kuwa wife alikua akitembea nae...bali alikua kawapanga wanamme zaidi ya watano...walikua wanamla kwà kupokezana.

Nikaona isiwe case,..nikamuachia kila kitu nikasepa. Si vyema kugombana na wanaume wenzako au kumfanyia ubaya Mwanaume mwenzako kwasababu ya mkeo. Utaishia kugombana na wanaume hovyo na mwisho watu watakuona wewe ndiye mwenye shida wakati tatizo ni tabia mbaya ya mkeo.


Note: Mwanamke akikusaliti katika issue ya kugawa mwili wake kwà Mwanaume mwingine...usithubu kuendelea nae. Kwani ataendelea na hiyo tabia.

Niliwahi kumfuma mzazi mwenzangu na wanamme zaidi ya mara 3...lakini hakukoma kuacha tabia hiyo.
Ni kweli, heri kuachana naye tu.
 
Jamaa yangu aka yake KIMBU. Huyu jamaa kauli mbiu yake siku zote ni kuwa "kama huna pesa usioe mke mzuri baadaye uje wavika watu ubaya"

Jamaa alikuwa na operation ya kuchakata sana wake za watu.allahmdulilah si haba kazini tunapata vijisenti vya kununua magari na kujenga. Kwa sasa anakula maisha tu.

Mimi ni kaka na Boss wake. Nimeshamwambia mara kadhaa aache kuchapa wake za watu. Anakuwa mbishi. Kachapa mke wa Jamaa wa Tanga. Jamaa wa Tanga ni mfanyabiashara wa Nazi. Ana mke mzuri sana kamtoa kwao huko. Jamaa kala.

Akaja pewa onyo kuwa aache kutembea na mke wa Mgosi. Na Mgosi siku anaongea na jamaa kwa simu tupo wote Masaki kiwanja flani Kaunta. Jamaa alimtukana sana Mgosi kuwa akamwambie mkewe si kumwambia yeye Kimbu. Yeye Kimbu haoni palipoandikwa kwa yule dada kuwa ni mke wa mtu asiliwe. Mgosi alilia kwenye simu. Kimbu akaniambia Mgosi fala sana. Analilia demu.

Jamaa alimla tena yule dada na tena. Anasema dada anajua mapenzi balaah. Ijumaa jamaa anasema aligundua kama week sasa mashine imenyong'onyea. Haisimami. Imekuwa bwege, imekuwa zezeta, imekuwa ndondocha. Inatema udenda tu.

Anasema alijaribu hata kugusisha kwenye K ya mkewe. Hamna kitu. Akaenda tafuta mwanamke anayejiuza akagusisha. Hamna kitu.

Akatafuta mwanachuo akagusisha hamna kitu. Akaicharge hamna kitu. Yaani inatoa tu udenda muda wote. Hospitali wamepima ule udenda ni kama saliva anavyotoa mtoto mdogo. Hauna ugonjwa wowote. Jamaa amelazwa kwa uchunguzi zaidi maana pia anasema akienda haja kubwa ni issue. Mpaka amechanika sehemu ya kutolea. Kipenyo kimeongezeka. Imefikia hatua hataki kula. Maana akiwaza tu suala la kwenda kukata gogo anaishiwa hamu. Akitoka chooni hata kutembea hawezi amechanika. Hapo katumia almost 2 hours. Anasema kajaribu kuwa awe anakunywa vitu laini tu. Bado shida ipo pale pale.

Jamaa anasema anateseka sana. Anatoa choo kikavu yaani muda huo huo unaweza kitumia kama kuni kikawasha moto. Hata anywe nini choo kinatoka cheusi kama kala mkaa na kikavu na kina harufu kama alikula mzoga wa Kunguru.

Ila bado haamini kama ni kazi ya Mgosi. Anasema labda ni constipation tu. Ila week ya pili leo hata kutembea anatembea ametanua miguu maana mashine inaumwa inatoa udenda tu na nyuma ndo kupo nyang'anyang'a hakufai.
kwa bahati mbaya, kama ni kweli, ikiwaga hivyo mtu huwa haponi, manake umeshanasa kwenye mtego, ungekuwa haujanasa sawa ila ukishanasa manake wamekuzidi. mshauri aokoke tu pengine neema ya Mungu itamwangukia akapona, ama la ajiandae na maisha ya baada ya kifo, soon. wanaojua wamenielewa
 
Back
Top Bottom