Leo nimemfukuza mpangaji wangu kwa tatizo lake la kuleta wanawake tofauti nyumbani kwangu na kusababisha usumbufu kwa wapangaji wengine

J
Jenga kwako mkuu..utaish kwa amani sana
 
Usiku wa manane chochote utakachofanya chini ya decibel 20 kitasikika kwa sauti ya juu.. ni usumbufu kusikia sauti za wapenzi wakifanya mapenzi tena kwa sauti ya juu
Yani sauti juu kama wanacheza pono?
 
Umenuonea. Kwani, hilo lilikuwamo kwenye mkataba wenu? Maisha mpangaji wako yanakuhusu nini? Wewe mzaramo nini? Akila vizuri kosa. Akila vibaya kosa. Kuna watu hawakupaswa kuwa na hata nyumba kama wewe mwanangu. Hiyo nyumba umejenga kwa fedha halali au umerithi?
 
Naunga mkono hoja zamani tulikuwa tunaomba moto sasa ni mwendo wa kupelekeana moto ,unayo hoja usikilizwe.
 
Mfano huyo mpangaji angekuchukua wewe kungononeka na yeye ungemfukuza? Mkuu,, una dharau sana, hapa si Zanzibar kwa wapiga punyeto, mwache mpangaji ale raha zake kwani si anakulipa pango la chumba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…