Leo nimemfukuza mpangaji wangu kwa tatizo lake la kuleta wanawake tofauti nyumbani kwangu na kusababisha usumbufu kwa wapangaji wengine

Leo nimemfukuza mpangaji wangu kwa tatizo lake la kuleta wanawake tofauti nyumbani kwangu na kusababisha usumbufu kwa wapangaji wengine

Mtoa taarifa lazima ni mwanamke na atakuwa yeye hafikishwi ndo maana anaona wivu
Mind your business mzee achana na hao wapangaji wakuda
 
Nina units saba kwenye eneo moja vijumba vimekaribiana kiasi sasa huyu mpangaji mmoja yeye ni kuleta wanawake usiku wa manane na kufanya mapenzi kwa fujo na makelele mengi.

Mpangaji wangu mmoja kati yao akanitumia malalamiko na ushahidi wa audio voice jinsi ndugu huyo anavyofanya na hao wanawake usiku wa manane mpaka imekuwa kero kwa wapangaji wengine sasa nimetafakari toka asubuhi nikaona nimuondoe.

sasa leo nimempigia simu ndugu huyu na kumwambia ujinga wake na kwa msisitizo nimemrudishia kodi yake iliyobaki kesho nisimuone naona ametaka yaishe ila naona si busara kumwacha akae maana atawaharibu na hawa wengine nyumba zangu sijawajengea wahuni.

Somo langu kwa Vijana mnaojitafuta kwenye maisha acheni ujinga wa kuhangaika na wanawake wanaharibu nguvu zenu bure ndio maana wengi mpo dar na hamna kiwanja wala nyumba kwasababu ya kuendekeza starehe ambazo zinakera hadi wengine yasiyowahusu.

Nazima simu.
Wenye nyumba kama nyie wanoko sana , mwenyewe pia hapa nimepewa notice et kisa naleta wanawake natomba saut zinatoka nje , kwahy jamaa kanitimua et namwalibia maadili nyumban kwake ............ila hamna shida
 
Tatizo hili utakutana nalo zaidi kwa wamiliki wa nyumba za kurithi haswa mikoa ya pwani na wengi wao ni wenyeji wa mikoa ya kusini Mtwara na LIndi. Unakuta anaishi around kwenye hio nyumba ya wapangaji na kula yake inategemea hizo kodi.

Mtu mwenye uwezo wa kumiliki kijiji cha apartments huwezi kukuta ana michongo ya kufuatilia wapangaji.
 
Tatizo hili utakutana nalo zaidi kwa wamiliki wa nyumba za kurithi haswa mikoa ya pwani na wengi wao ni wenyeji wa Kusini.
Nshawai kukaa nyumba moja ya mchaga wa Rombo pale mwananyamala koma koma na yeye alikua anaishi pale pale, Mzee alikua nuksi kwelI kweli, Masharti kibao + kufuatiliana sana, ikabidi nikimbie
 
Nshawai kukaa nyumba moja ya mchaga wa Rombo pale mwananyamala koma koma na yeye alikua anaishi pale pale, Mzee alikua nuksi kwelI kweli, Masharti kibao + kufuatiliana sana, ikabidi nikimbie
kukaa nyumba moja na mwenye nyumba ni first degree mistake. Jua tu umeshauza uhuru wako from the very beggining.
 
Nina units saba kwenye eneo moja vijumba vimekaribiana kiasi sasa huyu mpangaji mmoja yeye ni kuleta wanawake usiku wa manane na kufanya mapenzi kwa fujo na makelele mengi.

Mpangaji wangu mmoja kati yao akanitumia malalamiko na ushahidi wa audio voice jinsi ndugu huyo anavyofanya na hao wanawake usiku wa manane mpaka imekuwa kero kwa wapangaji wengine sasa nimetafakari toka asubuhi nikaona nimuondoe.

sasa leo nimempigia simu ndugu huyu na kumwambia ujinga wake na kwa msisitizo nimemrudishia kodi yake iliyobaki kesho nisimuone naona ametaka yaishe ila naona si busara kumwacha akae maana atawaharibu na hawa wengine nyumba zangu sijawajengea wahuni.

Somo langu kwa Vijana mnaojitafuta kwenye maisha acheni ujinga wa kuhangaika na wanawake wanaharibu nguvu zenu bure ndio maana wengi mpo dar na hamna kiwanja wala nyumba kwasababu ya kuendekeza starehe ambazo zinakera hadi wengine yasiyowahusu.

Nazima simu.
Wawekee gypsum board nzuri caiman unapunguza hayo mambo
 
Umemfukuza mtu Tayari unakuja JF kujitapa Au,watu wengine bwana
 
Angaweka vioo madirisha yake akiwa anagonoka awashe redio kidgo na kufunga vioo afanye fujo isio umiza meache aponde mfupa ingali meno bado ipo vijana wengi asilimia kubwa tupo ivo
 
Huu uzi wako umelenga zaidi katika kutoa ushauri kwa vijana hasa wa dar 😄, Tukuambie tu kitu baba mwenye nyumba sisi vijana wengine kubadirisha wanawake kila wakati ndio kitu kinachotuingizia pesa 🙏.
Baba mwenye nyumba aache ushauri 😁😁😁
 
Kuna madogo kwa siku anaweza ingiza geto zaidi ya watatu, hii mbaya sana haileti picha nzuri
Haileti picha nzuri kwa nani? Kwahiyo unakaa unahesabu mtu kaleta wanawake wangapi, huna kazi ya kufanya?
 
Nina units saba kwenye eneo moja vijumba vimekaribiana kiasi sasa huyu mpangaji mmoja yeye ni kuleta wanawake usiku wa manane na kufanya mapenzi kwa fujo na makelele mengi.

Mpangaji wangu mmoja kati yao akanitumia malalamiko na ushahidi wa audio voice jinsi ndugu huyo anavyofanya na hao wanawake usiku wa manane mpaka imekuwa kero kwa wapangaji wengine sasa nimetafakari toka asubuhi nikaona nimuondoe.

sasa leo nimempigia simu ndugu huyu na kumwambia ujinga wake na kwa msisitizo nimemrudishia kodi yake iliyobaki kesho nisimuone naona ametaka yaishe ila naona si busara kumwacha akae maana atawaharibu na hawa wengine nyumba zangu sijawajengea wahuni.

Somo langu kwa Vijana mnaojitafuta kwenye maisha acheni ujinga wa kuhangaika na wanawake wanaharibu nguvu zenu bure ndio maana wengi mpo dar na hamna kiwanja wala nyumba kwasababu ya kuendekeza starehe ambazo zinakera hadi wengine yasiyowahusu.

Nazima simu.
Angekuwa ameoa na anafanya na mkewe usiku wa manane...maamuzi yako yangekuwa tofauti?
 
Nina units saba kwenye eneo moja vijumba vimekaribiana kiasi sasa huyu mpangaji mmoja yeye ni kuleta wanawake usiku wa manane na kufanya mapenzi kwa fujo na makelele mengi.

Mpangaji wangu mmoja kati yao akanitumia malalamiko na ushahidi wa audio voice jinsi ndugu huyo anavyofanya na hao wanawake usiku wa manane mpaka imekuwa kero kwa wapangaji wengine sasa nimetafakari toka asubuhi nikaona nimuondoe.

sasa leo nimempigia simu ndugu huyu na kumwambia ujinga wake na kwa msisitizo nimemrudishia kodi yake iliyobaki kesho nisimuone naona ametaka yaishe ila naona si busara kumwacha akae maana atawaharibu na hawa wengine nyumba zangu sijawajengea wahuni.

Somo langu kwa Vijana mnaojitafuta kwenye maisha acheni ujinga wa kuhangaika na wanawake wanaharibu nguvu zenu bure ndio maana wengi mpo dar na hamna kiwanja wala nyumba kwasababu ya kuendekeza starehe ambazo zinakera hadi wengine yasiyowahusu.

Nazima simu.
Wewe Limbukeni acha uzwazwa wako hapa,kama ni kweli unayoyasema basi ni wazi kwamba wewe ni nyuki wa mashineni na huna madhara
 
Wahuni siwataki nyumbani kwangu kama hutaki kuoa baki single au ishi na mwanamke mmoja kwa uadilifu. Wahuni
Ulimpangushaje Sasa kama masharti yako mpaka awe ameo ..hao wengine wote wameoaaa..... Mzee acha zako wivuuuu tuuu ...amekugongea Mke wewe unaleta hasira ...
 
Back
Top Bottom