mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Tumia akili dogo. Wanaishi bure wanakula bure. Unadhani angeamua kuifanya hiyo guest yake biashara ya Lodge angeingiza laki ngapi kwa siku?
Nikweli Mimi hua napinga mambo ya kugeneralize ...But Mambo ya hiki kabila nayasikia Tangu napata ufahamu wa Akili.Huyo mama ni tabia yake tu mbovu ila hawezi kureflect tabia za kabila zima. Tabia ya mtu hutokana na makuzi na vinasaba alivyorith kwa wazazi wake.
Just because you don't eat lion doesn't mean lion won't eat you....Nimeshangaa sana Na kubaki mdomo wazi;
1. Watanzania tunaroho za kikatili hadi tunafikia kuwatumikisha walemavu?!!
2. Serikali ZA mitaa, wilaya, mkoa Na hata mbunge wa eneo husika walikuwa wapi hadi biashara hii haramu ikaota mizizi na kustawi?!!!!
Tafadhali ndugu zangu viongozi na wananchi wapenda amani tusifumbie macho uovu wa aina hii na mwingine.
Naomba hao walio husika wachukuliwe hatua kali ZA kisheria ili iwe funzo Kwa wengine
Shangaa ya Musa...Ndo maana Kama Wewe umeamua kuishi maisha Fulani...Wewe ishi hayo maisha...Kama mtu mzima anaweza kuwatumikisha binaadamu wenzake bila huruma tena walemavu wa viungo...,,,huyo mtu anaweza kutenda dhambi yoyote bila uoga wala kujali. Wanaweza kujihusisha Na jambo lolote lile ilimradi wapate fedha!!! Hawa watu ni hatari sana ktk jamii
Hatoki huyuNilisikia mkuu wa wiraya kinondoni akimpa masaa 24 akaripoti kwake sasa sijui alishatekeleza hilo agizo?
Anajaribu kutetea kabila lakeKukaa bure unakujua wewe!!!
Kutwa kuzungushwa kuombaomba unasema wanakaa buree
Vitu tumezoeya kuviona kwenye documentary za India ila leo hii tumeona vimetokea Manzese.🤣🤣🤣
Kwao wanasifiwa mafanikio bila kujali umeyapataje.Sometimes baadhi ya wachaga walio wengi hawana utu na ni wajinga sana.
We si ndio unalalamika boyfriend wako anakufulisha nguo?Just because you don't eat lion doesn't mean lion won't eat you....
.
Kaanza miaka mingiHii style ya huyu Mama ishagundulika hata Nairobi
Labda anaiga ama kaanza miaka mingi
Ni wizi waoUshamba wa wachaga ni upi ndugu?
Waliotapeliwa ndo washambaNi wizi wao
Lile ni daraja ambalo mangi hafikiiKwenye wale waliokwapua mabilioni kutoka mkombozi bank na sandarusi kuna mangi pale??
Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
Suluhisho ni nini?Tatizo lipo kwa serikali yenyewe na wanafamilia.
Huyo mama kafanya makosa ila kumsulubu sio suluhisho
Haya ndio matokeo yake sasaMkuu tusiwalaumu wachaga kwa kutafuta pesa kwa nguvu zote ,
Tuwalaumu wale wazee wao wa kimila huko Moshi ,,,,, wanaowapiga makofi na kuwaadhibu wachaga wote wazembe , wanaoshindwa kuonyesha mafanikio yeyote waliyoyapata huko mjini wanakotafuta pesa,, tangu walipoondoka huko kijijini december msimu wa xmass ya mwaka uliopita.
Pamoja na kutumia walemavu kukusanya mapato"Sisi ni next level, serikali imejaribu kutupoteza imeshindwa. Siku hizi Tunamiliki viwanda pia tunafanya Consultancy kubwa kubwa".
Kama yupo wa kabila jingine mtaje akashughulikiweMjinga wa kwanza.
Kwani jambo kama hilo haliwezi kufanywa na mtu toka kabila lingine