Leonida Swai, mama aliyekusanya walemavu 38 kwenye ‘guest house’ yake Tandale

Nakwambia mkuu wananchi wa DSM kila mtu yuko busy na mambo yake. Huyo lazima alikuwa anakula na viongozi wa serikali ya mtaa
 
Tena hatari mno
 
Hata wale ombaomba waopelekwa Kenya kutokea Tz,wakala wa hiyo biashara ni haohao akina Swai,huyu yeye anaitwa Mushi.


Seems "December Conference" huwa inaambatana na kufahamishana fursa kama hizi
Watapinga na hii
 
Haya yanaitwa mapato ya AIBU
 
Kwamba unatetea!?

Au Unahisi aliwaokota barabarani kutoka huko alikowatoa!?
 
Nikweli Mimi hua napinga mambo ya kugeneralize ...But Mambo ya hiki kabila nayasikia Tangu napata ufahamu wa Akili.

Ila niwe muwazi sijakutana na mtu wa Hilo kabila akanifanyia Ubaya hata mmoja.
.
Mama mwenye nyumba wangu mstaafu wa bandari alikuwa na apartment tano, mashamba bagamoyo, na miradi mingine.
Ila muda wote tunakaa pale kumbe kafanya illegal connection ya maji na umeme. Tunamlipa yeye hadi siku walipomgundua. Tukajiuliza mama huyu ana shida gani?
Au utapeli upo kwenye DNA ya hili kabila?
 
....Sitaki kuamini kwamba Kuna Wa kutoka hata Nyumbani Tanga Hapo!![emoji848][emoji848]
 
Ni mambo kama haya yanakukumbusha.... Huenda sisi ndio tuliobakia baada ya kuwauza ndugu zetu utumwani...
 
Kusema ukweli SIJUI wachaga huko Moshi hua wanawaleaje Hawa watoto Wao?

Mbona wengi Ni waenda kanisa katoliki wazuri...
Kupenda pesa Sio kosa..HAKUNA asiependa
Ila Kutafuta pesa kwa njia ambazo haijalishi anaeumia Ni Nani, iwe dhulma,wizi, kuuwa..na mfanowe..

Kwanini wapo hivi?..
Zile story za mangi mashona viatu anakuja kuwa tajiri kwa kudunduliza pesa..Kumbe usiku ni MAJAMBAZI WAKUBWA.
 
IRINGA WANAWEKA NDUGU/WAZAZI MISUKULE HATA MIAKA 40......TATIZO LIMEKUWA KUWASAIDIA WALEMAVU?????MBONA HUYO WAZIRI UMMY NAYE KATEULIWA TU LAKINI HANA SIFA?
 
Wakati nakua nilikuwa namuheshimu sana mchaga na nilikuwa nawaona hard workers kweli. Ila kwa kadri umri unavyosonga na nilivyoishi nao na kufanya nao kazi nimejifunza mengi sana.
 
ujasiria mali ni kipaji, juhudi, maarifa na kujituma. huyo sio wa kumshitaki anatakiwa aendelezwe ni mbunifu wa kuendelezwa hicho kipaji kisipotee. ungewapa watu hio guest wangesema hakuna biashara na wangefunga.
Daah JF kila siku inapoteza ubora wake kwa watu kama nyinyi,huoni alichokifanya hakina tofauti na "human trafficking",ambapo kila UN wanalipigia kelele.Eti huu nao unaitwa ubunifu duu.
 
Daah JF kila siku inapoteza ubora wake kwa watu kama nyinyi,huoni alichokifanya hakina tofauti na "human trafficking",ambapo kila UN wanalipigia kelele.Eti huu nao unaitwa ubunifu duu.
Unaweza kukuta wewe ni mla rushwa mzuri tuu huko kazini au kwenye shughuli zako, na unawadhulumu watu wengi haki yao ya kupata huduma bure... Unaweza kukuta wewe nyumbani kwako house girl unamlipa elfu 30 kwa mwezi na pesa yenyewe unampa kidogo kidogo, tena huku ukimgonga bila ridhaa yake, huu nao ni ukatili pia, unaweza kukuta shambani kwako kazi ya elfu 50 kibarua unampa elfu 20 kwa sababu tuu ana shida, huu ni ukatili pia. In short hata wewe unaweza kukuta ni mkatili wa kutupwa ila hapa umeshikia bango ya wenzio.

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Nilikuwa natamani sana kuipata ID ya DC wa Kinondoni nashukuru sasa nimeipata kwani ninayoyaona hapa aliyasimulia hivi hivi Magic FM majuzi.
 
Na ndio maana kuna sheria,ukikosea unaadhibiwa kwa mujibu washeria kutokana na uzito wa kosa lenyewe.

So kwa kuwa kuna watu wanakula rushwa au wanawanyanyasa mahouse girl,haibalishi kwamba ALICHOKIFANYA NI KOSA KWANI HAKINA TOFAUTI NA "HUMAN TRAFFICKING" na anatakiwa apewe adhabu.

Sijamshikia bango mtu ila alichofanya kakosea na kinatakiwa kikemewe au labda wewe ni MNUFAIKA WA HIVYO VITENDO?
 
Kazi nzuri ya fasihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…