TANZIA Leopold Kweyamba Lwajabe amekutwa amefariki Mkuranga baada ya kupotea wiki iliyopita

Why him? What was the problem with the man?
 

R.I.P Eng LL.
Isman, Kilos, Mufind, Songe, Ihemb, Mbing nk na TZ nzima tutakukumbuka.
 
We are in the middle of the most shameless regime in Africa.
It will take the spilling of blood to do away with this blood thirst regime.
 
H
Awamu hii kama una mishe zako zinazokuingizia kipato ni vyema ukatulia, Mambo ya kujiingiza katika siasa mwisho wake ndio kama huu...

Kama huwezi kuisifia ni vyema ukaacha kujihusisha na siasa...

Apumzike kwa amani.
Hakuwa maana siasa kabisa.
 
Mara mkuranga umekutwa mwili, mara alirudishwa kwa kinyerezi akadai alichanganyikiwa! so which is which? au umechanganyikiwa wewe mleta habari? Ukiwa mwongo usiwe msahaulifu
Mara ya kwanza alirudishwa,ya pili kauliwa mkuranga.
 
Mkuu una uhakika gani watawala ndiyo wahusika,afu Tanzania siyo shithole.

Tanzania is a prison this time around!

Kama wewe huoni tatizo heri yako ndugu yangu!

Kama kuna utawala tumeuweka madarakani utulinde na kusimamia kila kitu,then mambo mabaya yanatokea consistently ndani ya nchi,then ni state sponsored,aidha directly which is true au by their sheer neglect kutimiza mandate tuliyowapa!

Tanzania at the moment declared under totalitarian dictatorship,hii huwezi kubisha!

Sometimes uwe honest!
 
Mwili umepatikana tangia Jumamosi asubuhi .
 
Hakuna aliye salama, halafu hii kasumba ya watu kutekwa wakirudi hawataki jamii ijue kilichoendelea ndo mbaya maana watekaji wanaendelea kuwa salama bila kujulikana! Huyu karudishwa kakataa kuwataja matokeo wamemuibukia tena na kumuua, hakuna wa kutusemea maana hata rais mwenyewe hajawahi kuguswa n utekaji, utasikia hata vyombo vya dola vikisema huyu kajiteka na baadae kajiua, huu ni ushetani tuukemee
 
Habari mbaya sana hizi..kutokea katika zama hizi..
Hivi tunaelekea wapi kama taifa...?
Hivi hawa wanaodhani kuwa wamesimama leo; wanadhani kuwa watasimama milele..??
Anyway; mimi sitajifanya jiwe...
Itafikia mahali watanzania wengi hawataogopa kifo kama mimi..
Tutawasubiri; waje watuue wote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…