LHRC: Tunalaani utekwaji wa Mwenyekiti wa Kamati ya Uzinduzi wa Umoja wa Kudai Katiba Mpya Tanzania (UKUKAMTA)

Na wewe ni Great Thinker? Huoni aibu kuandika uharo kama huu?
 
Facts 👍
 
Ndugu yangu weee....

Unategemea nini kwa watu wanaotegemea ruzuku na mishahara kutoka nje ya nchi ?!!!!!!
 
Mabilioni yakitoka huko nje kwa WAHISANI basi baadhi ya Wamakonde ,Wazaramo ,Wamatumbi ,Wachaga ,Wakurya Wasukuma na wengineo WANATAKA KUISUMBUA SERIKALI NA KUUONDOA UTULIVU.....

FEDHA ya kigeni hiyo........
 
Kwani kakamatwa au katekwa!? Kukamatwa na kutekwa ni vitu viwili tofauti kabisa!!
hapo ndipo ninapo washangaa LHRC, tena kuna wanasheria lkn kwa maksudi wanapotosha...badala ...ya..."kukamatwa" wanasema "katekwa", hatujui pia lengo haswa la LHRC ni lipi
 
Alikubali vipi kuwa makamu wa wahuni
Alijua amewekwa tu bosheni hakuna Mataga aliyeamini kuwa Jiwe atakufa ndio maana Bashiru alikataa asiapishwe eti kwa kigezo ni Mwanamke.
 
Jumong ameanza kuua kama kaka yake?Kumbe ile hijabu nyekundu she mean a business!🚶🚶🚶
 
Huku katiba mpya.,kule zanzibarrrrrrr HURU[emoji16][emoji16].
NCHI MTAJENGA SAA NGAPI?
 
Alaumiwe mama kwa hili, maana alishashauriwa sana awatupe watu wa mwendazake na hakutaka kusikia, the blame is on HER!!!

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app

Watu wa Mwendazake ndio akina nani ikiwa Serikali hii awamu ya sita ikiwemo Rais wetu Mamá Samia, Makamu wake Dr Mpango, PM Majaliwa na watendaji wengi waliomo ni sura ile ile ya awamu iliyopita!???

Au Mamá Samia na Dr Mpango ni zao la upinzani!????

Acheni kutuvurugia nchi enyi wapuuzi wa ufipa
 
Nyumbu hawawezi kujua hilo
 
Ajabu sana, haya mambo yatakuwa yanafanywa bila yeye kujua, kwa muonekano wake Rais hafanani na hayo matendo, anatakiwa atoe tamko kali awaamshe usingizi wale wanaodhani bado tuko awamu ya tano.
Huyu jamaa anayesemekana kutekwa ni mmoja ya wafuasi wa Lipumba walioleta vurugu siku za nyuma wakati CUF inagawanyika. Alituhumiwa kushiriki kumteka mfuasi wa Maalim Seif (RIP). Hili jambo ni la kuangalia kwa macho matatu. Inawezekana kuna namna.
 
Pole sana.... kumbe haujui vizuri nchi inavyoendeshwa na cabals...

Endelea kupayuka mtandaoni ati ooh samia tuna matumaini na wewe! Hahahaa

Haya sawa
 
Majitu ya mtandaoni haya mkuu hayajitambui...
 
Reactions: tyc
Namheshimu sana mama hawezi kufanya ujinga huo,wafuasi wa mwendazake wanamchafua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…