Gentleman 446
Senior Member
- Mar 26, 2021
- 112
- 407
DuuhHuko kwa kuwala suma na wafanyausafi ni kujidhalisha, bora mtu ukae tu. Mi walinitongozaga kabisa nikawa nawakataa, na hakuna demu aliyewahi kunitongoza nikamkubali, wote niliwatolea nje, hata wanaoleta ishara za kushoboka shoboka nao nawapiga chini tu, raha ni demu umuwinde from zero mpaka akubali mwenyewe, hapo itakuwa ni magoli sana.
Umesema mjomba alikuwa nini?mjomba kwa akili yake alikuwa demu wangu wa chuo
Mkuu hujaelewa nini?Alikuwa namla demu huyo,Kumbe hamna lolote ni love story tuu!Umesema mjomba alikuwa nini?
Alikua anamla demu wako au anakula wewe?Alikuwa namla demu huyo,
Nakazia.Wengine tulipata na kuishi kama mke na mume, tukapeana ahadi za kuoana kedekede. Kiko wapi leo!!
Kichwa Kichafu unasemwa huku
Hukuzingua bali hukuwa na faranga kumtunza Mtoto wa Watu, there's no free lunch all over the world.Mi hata sijui nimepiga MU first year tupa ndoano nikakataliwa live siku hiyo nimetulia Sina mbele wala nyuma nashangaa napokea zawadi ya picha na zawadi zingine Toka Makumira kuangalia ni aliyekuwa group member Cha six tukiwa likizo nikakuta namba ya sim na baadhi ya sms
Anaishi Dar na Mi Dar kwenye mawasiliano wao wakawahi kufunga kabla yetu akaja Moro kakuta nangoja li paper la DS penzi likaanza tena akiwa sealed kutoka hapo hata sikuwa na ham na wa MU maana alichenguka sometimes anakuja hata kati ya semester ila wanawake wakipenda wa ajabu sana
Anyway kwenye break up to be honest mi ndie nilizingua so she get married and settle while am still fucking around all the best my best you were a truly friend you deserve all you have
Ndo kinini hicho mkuu?! ππMkuu utakuwa na "Kipururu"
Mkuu lugha gongana kiswahili kigumu.Alikua anamla demu wako au anakula wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23]WALIMU WA VYUO, HAWAOI WANAWAKE WALIO FIKA VYUO.
CHUNGUZA!
Yaan mind your languageMkuu lugha gongana kiswahili kigumu.
Nmecheka sanaπ π πDogo acha Ufala
Ushatuona MABWEGE mabroo wako.