Licha ya kuambiwa chuo kuna watoto wakali. Lakini kuna Watu walimaliza chuo bila kupata demu yeyote

Licha ya kuambiwa chuo kuna watoto wakali. Lakini kuna Watu walimaliza chuo bila kupata demu yeyote

Huko kwa kuwala suma na wafanyausafi ni kujidhalisha, bora mtu ukae tu. Mi walinitongozaga kabisa nikawa nawakataa, na hakuna demu aliyewahi kunitongoza nikamkubali, wote niliwatolea nje, hata wanaoleta ishara za kushoboka shoboka nao nawapiga chini tu, raha ni demu umuwinde from zero mpaka akubali mwenyewe, hapo itakuwa ni magoli sana.
Duuh

Sent from my motorola one macro using JamiiForums mobile app
 
Mimi ntamaliza bila kupata hivi nyie huwaga mnapataje ?

Nina F ya mapenzi walai 🙂
 
Wengine tulipata na kuishi kama mke na mume, tukapeana ahadi za kuoana kedekede. Kiko wapi leo!!
Nakazia.


Asante kwa kutuwakilisha kundi kubwa la tuliooa chuo kwa muda.... Ile manzi niliikanyagia sana *****.

F*la atakayekuja kuoa yule atafaidi sana mana alikuwa anapenda sana kuzagamuana na anajua [emoji23][emoji23]
 
Mi hata sijui nimepiga MU first year tupa ndoano nikakataliwa live siku hiyo nimetulia Sina mbele wala nyuma nashangaa napokea zawadi ya picha na zawadi zingine Toka Makumira kuangalia ni aliyekuwa group member Cha six tukiwa likizo nikakuta namba ya sim na baadhi ya sms
Anaishi Dar na Mi Dar kwenye mawasiliano wao wakawahi kufunga kabla yetu akaja Moro kakuta nangoja li paper la DS penzi likaanza tena akiwa sealed kutoka hapo hata sikuwa na ham na wa MU maana alichenguka sometimes anakuja hata kati ya semester ila wanawake wakipenda wa ajabu sana
Anyway kwenye break up to be honest mi ndie nilizingua so she get married and settle while am still fucking around all the best my best you were a truly friend you deserve all you have
Hukuzingua bali hukuwa na faranga kumtunza Mtoto wa Watu, there's no free lunch all over the world.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
 
3 years mwezi wa 4 namalizia semester ya mwisho kukamalisha miaka 3 Chuoni bilabila Kuna muda unakataliwa na mademu mpaka unakubali Nyeto kuwa mtetezi wako mambo yasiwe mengi nishajikubali zikipanda naingia Temeke,Uhasibu,Tandika, River Side.
 
Back
Top Bottom