Gentleman 446
Senior Member
- Mar 26, 2021
- 112
- 407
DuuhHuko kwa kuwala suma na wafanyausafi ni kujidhalisha, bora mtu ukae tu. Mi walinitongozaga kabisa nikawa nawakataa, na hakuna demu aliyewahi kunitongoza nikamkubali, wote niliwatolea nje, hata wanaoleta ishara za kushoboka shoboka nao nawapiga chini tu, raha ni demu umuwinde from zero mpaka akubali mwenyewe, hapo itakuwa ni magoli sana.
Sent from my motorola one macro using JamiiForums mobile app