Licha ya kuambiwa chuo kuna watoto wakali. Lakini kuna Watu walimaliza chuo bila kupata demu yeyote

Licha ya kuambiwa chuo kuna watoto wakali. Lakini kuna Watu walimaliza chuo bila kupata demu yeyote

kuwa mwanachuo ilikuwa cv ya kutosha kwa mabinti wa kitaa, wale wenzetu wa chuoni walikuwa pisi kali ila tulikuwa tunawajua vizuri sana
Wengi wao wakawaida Tu wengine sura za baba hawana maajabu, sikuwahi kushoboka nao, tunasoma nao vimbetani, madarasani mpaka saa 6 za usiku lkn hatukuwahi kutia neno Wala kuwashobokea, labda wao ndio kushoboka Na njaa zao, maana kwao njaa haziishi
 
Wengi wao wakawaida Tu wengine sura za baba hawana maajabu, sikuwahi kushoboka nao, tunasoma nao vimbetani, madarasani mpaka saa 6 za usiku lkn hatukuwahi kutia neno Wala kuwashobokea, labda wao ndio kushoboka Na njaa zao, maana kwao njaa haziishi
ni kweli, pisi kali huwa ni 20% tu na hapo ni kozi za biashara na sheria zinazosifika kwa warembo, ila 80% wa kawaida ama sura za baba.

mazoea yalikuwepo kwa sana tu ila hakukuwa na mahusiano, wengi tuliwachukulia kama washkaji tu, yataka moyo kuingia penzini, walioingia kwenye mahusiano hawakutaka utani walikuwa wanaishi geto moja, class kwenda pamoja, muda mwingi wanastick pamoja.

Mapenzi ya nje ya chuo yapo flecible na hata mtu unaekuwa nae kidogo anakuheshimu umemzidi elimu.
 
Vyuo vyetu vya zamani havikuwa na wasichana wengi sana kama siku hizi; kwa mfano engineering yote ilikuwa na wasichana watatu tu.

Hata hivyo pamoja na uhaba huo huko engineering, kwa mwaka wa kwanza na wa pili nilikuwa na msichana wa kikikuyu mzuri sana aliyekuwa anasomea sheria chini ya exchange program baina ya vyuo vya afrika ya Mashariki, alipomaliza akaondoka na kuniacha naingia mwaka wa tatu ambamo nilipoozwa na msichana mmoja mzuri sana wa Burundi (vitalo) kati ya wale waliokuwa wanakuja Tanzania kwa exchange program baina ya lugha ya kifaransa (watanzania wanakwenda Burundi) na kiingereza (waburundi wanakuja Tanzania). Mwaka huo huo baada ya Vitalo kuondoka nikamnasa msichana mmoja kutoka Nigeria aliyekuwa pia amekuja kwa exchange program ya kiswahili. Mwanzoni tulibebana vizuri sana lakini baadaye akaanza kwenda masafa marefu marefu kwenye mahoteli ya kitalii nikamshindwa na kumuacha ndipo kuhamia kwa mhehe mmoja ambaye bahati mbaya alikuwa mwaka tatu wa education hivyo hatudumu muda mrefu akamaliza na kuondoka. Nilipokuwa mwaka wa nne nikabebana na msichana fulani wa kimarekani aliyekuwa amekuja kwenye exchange program fulani; huyu tulibebana kwa muda mrefu sana kwani exchange program yake ilipokwisha aliendelea kubakia Tanzania mpaka nilipomaliza chuo. Alikuwa akinishauri niondoke naye kuja Marekani lakini nikakataa. Baada ya kumaliza chuo nikajikuta ninaanza upya kabisa.

Yalikuwa matumizi mabaya ya muda na nguvu za kiume.
 
Nina mwanangu m'moja alikuwa na changamoto hii ya kupata demu chuo so mziki akauamishia kwa walinzi wa kike, wadada wanaofanya biashara ya kufua nguo, wafanya usafi, wapishi na wahudumu migahawa na kadhalika.
 
Vyuo vyetu vya zamani havikuwa na wasichana wengi sana kama siku hizi; kwa mfano engineering yote ilikuwa na wasichana watatu tu.

Hata hivyo pamoja na uhaba huo huko engineering, kwa mwaka wa kwanza na wa pili nilikuwa na msichana wa kikikuyu mzuri sana aliyekuwa anasomea sheria chini ya exchange program baina ya vyuo vya afrika ya Mashariki, alipomaliza akaondoka na kuniacha naingia mwaka wa tatu ambamo nilipoozwa na msichana mmoja mzuri sana wa Burundi (vitalo) kati ya wale waliokuwa wanakuja Tanzania kwa exchange program baina ya lugha ya kifaransa (watanzania wanakwenda Burundi) na kiingereza (waburundi wanakuja Tanzania). Mwaka huo huo baada ya Vitalo kuondoka nikamnasa msichana mmoja kutoka Nigeria aliyekuwa pia amekuja kwa exchange program ya kiswahili. Mwanzoni tulibebana sana lakini baadaye akaanza kwenda msafa marefu marefu marefu ya mahoteli ya kitalii nikamshindwa na kumuacha ndipo kuhamia kwa mhehe mmoja ambaye bahati mbaya alikuwa mwaka tatu wa education hivyo hatudumu muda mrefu akamaliza na kuondoka. Nilipokuwa mwaka wa nne nikabebana na msichana fulani wa kimarekani aliyekuwa amekuja kwenye exchange program fulani; huyu tulibebana kwa muda mrefu sana kwani exchange program yake ilipokwisha aliendelea kubakia Tanzania mpaka nilipomaliza chuo. Alikuwa akinishauri niondoke naye kuja Marekani lakini nikakataa. Baada ya kumaliza chuo nikajikuta ninaanza upya kabisa.

Yalikuwa matumizi mabaya ya muda na nguvu za kiume.

Wakongwe Kazini.
 
kuna dada nasoma nae mpoleee, anawahi darasani, anakaa mbele tu, hakosi vipindi

jana kwenye mahangaiko yangu namuona anaongozana na mubaba pande la mtu

aisee
[emoji23][emoji23]Ndivyo maisha yalivyo mkuu. Nje ya mada, enzi zangu za Sekondari, O and A level nilikiwa kichwa sana. O level sijawahi kuwa wa 3. Mimi na watoto wa kike nilikuwa nao mbali, sikuwa na muda, japo wengi wao walinishobokea sana

Mwaka jana nalikutana na mshkaji wangu niliesoma naye akiwa na demu mmoja hivi niliekuwa namletea maringo. Mshkaji na demu hawakuwa na akili za darasani. Nilikutana nao wakiwa kwenye ndinga plate D latest, wakaniungisha mananasi ya buku 2 kutoka kwenye ki-deli changu

Maisha hubadilika
 
Mi hata sijui nimepiga MU first year tupa ndoano nikakataliwa live siku hiyo nimetulia Sina mbele wala nyuma nashangaa napokea zawadi ya picha na zawadi zingine Toka Makumira kuangalia ni aliyekuwa group member Cha six tukiwa likizo nikakuta namba ya sim na baadhi ya sms
Anaishi Dar na Mi Dar kwenye mawasiliano wao wakawahi kufunga kabla yetu akaja Moro kakuta nangoja li paper la DS penzi likaanza tena akiwa sealed kutoka hapo hata sikuwa na ham na wa MU maana alichenguka sometimes anakuja hata kati ya semester ila wanawake wakipenda wa ajabu sana
Anyway kwenye break up to be honest mi ndie nilizingua so she get married and settle while am still fucking around all the best my best you were a truly friend you deserve all you have
Kwa hiyo mkuu, ulikuwa unakula mke wa mtu
 
Blaza ulishiriki kuharibu wake za wenzako[emoji23][emoji23][emoji23] yaan watu wanakuja kuoa MTU ambaye Alisha kaa kinyumba miaka mitatu.

Hakika umetukosea saana kaka
Na hii ndio sababu kuu ya mimi kuwa KATAA NDOA
 
Sio kweli mkuu...ina maana hukuwahi kabisa kufika chuo?
Mie nimefika chuo mara nyingi sana nilikuwaga naenda kuuza miwa enzi hizo
[emoji23][emoji23]Wacha bhana, chuo gani hicho kinachoruhusu watu kufanya biashara? Labda kama ulikuwa unaenda kuuza muwa wa nyama, na penyewe labda ukawauzie mashuga mami
 
Back
Top Bottom