Licha ya kuambiwa chuo kuna watoto wakali. Lakini kuna Watu walimaliza chuo bila kupata demu yeyote

Licha ya kuambiwa chuo kuna watoto wakali. Lakini kuna Watu walimaliza chuo bila kupata demu yeyote

ni kweli, pisi kali huwa ni 20% tu na hapo ni kozi za biashara na sheria zinazosifika kwa warembo, ila 80% wa kawaida ama sura za baba.

mazoea yalikuwepo kwa sana tu ila hakukuwa na mahusiano, wengi tuliwachukulia kama washkaji tu, yataka moyo kuingia penzini, walioingia kwenye mahusiano hawakutaka utani walikuwa wanaishi geto moja, class kwenda pamoja, muda mwingi wanastick pamoja.

Mapenzi ya nje ya chuo yapo flecible na hata mtu unaekuwa nae kidogo anakuheshimu umemzidi elimu.
Sawa kabisa
 
Vyuo vyetu vya zamani havikuwa na wasichana wengi sana kama siku hizi; kwa mfano engineering yote ilikuwa na wasichana watatu tu.

Hata hivyo pamoja na uhaba huo huko engineering, kwa mwaka wa kwanza na wa pili nilikuwa na msichana wa kikikuyu mzuri sana aliyekuwa anasomea sheria chini ya exchange program baina ya vyuo vya afrika ya Mashariki, alipomaliza akaondoka na kuniacha naingia mwaka wa tatu ambamo nilipoozwa na msichana mmoja mzuri sana wa Burundi (vitalo) kati ya wale waliokuwa wanakuja Tanzania kwa exchange program baina ya lugha ya kifaransa (watanzania wanakwenda Burundi) na kiingereza (waburundi wanakuja Tanzania). Mwaka huo huo baada ya Vitalo kuondoka nikamnasa msichana mmoja kutoka Nigeria aliyekuwa pia amekuja kwa exchange program ya kiswahili. Mwanzoni tulibebana vizuri sana lakini baadaye akaanza kwenda masafa marefu marefu kwenye mahoteli ya kitalii nikamshindwa na kumuacha ndipo kuhamia kwa mhehe mmoja ambaye bahati mbaya alikuwa mwaka tatu wa education hivyo hatudumu muda mrefu akamaliza na kuondoka. Nilipokuwa mwaka wa nne nikabebana na msichana fulani wa kimarekani aliyekuwa amekuja kwenye exchange program fulani; huyu tulibebana kwa muda mrefu sana kwani exchange program yake ilipokwisha aliendelea kubakia Tanzania mpaka nilipomaliza chuo. Alikuwa akinishauri niondoke naye kuja Marekani lakini nikakataa. Baada ya kumaliza chuo nikajikuta ninaanza upya kabisa.

Yalikuwa matumizi mabaya ya muda na nguvu za kiume.
Tunasema umeupiga mwingi mkuu
 
Daah, maisha haya, mie kuna Demu kipindi niko Chuo alinikataa,. Mtaani walinitupilia mbali nilikuwaga Rafu sana, nimemaliza Chuo mwaka 2020, Mtaani nimekaa wiki Moja tu.

Saizi nimuajiriwa serikalini, HOD wa Idara Flani katika Taasisi kubwa Mkoani Dodoma. Saizi huyo wa chuo ni Single Mother na anauza Genge na mwingin ni Single mother mkoa flani. Saizi nilishapata mke na nina Familia na mtoto mmoja.

Wasichana wakifika chuoni sijui huwa wanajiona akina nani. Baada ya Chuo akili huwa inawarudi.
Hao single mothers kama wanakushonokea wapige miti kisha uwapige chini, mademu wanao kataa kataa kila mwanaume sijui wana matatizo gani.
 
Haya mkuu
Ni njema pia

Ila jast in case

Usijaribu kwenda saa 8
Sisi wengine tulikuwa wapenda sifa hatupitwi na kontena jipya.

Kilichoniponza ni kumwagia ndani sasa majukumu ni kama yote watoto wa3 wote ni wa university kutoka kwa mama tofauti.

Vijana someni mkiwa masomoni acheni mchezo na masomo..!
Oa mmoja wapo, kama Imani inaruhusu basi oa wote.
 
kuwa mwanachuo ilikuwa cv ya kutosha kwa mabinti wa kitaa, wale wenzetu wa chuoni walikuwa pisi kali ila tulikuwa tunawajua vizuri sana
Kula mwanachuo labda uwe unasoma fani inayoheshimika chuo hicho kuliko fani ya huyo demu.
 
Daah, maisha haya, mie kuna Demu kipindi niko Chuo alinikataa,. Mtaani walinitupilia mbali nilikuwaga Rafu sana, nimemaliza Chuo mwaka 2020, Mtaani nimekaa wiki Moja tu.

Saizi nimuajiriwa serikalini, HOD wa Idara Flani katika Taasisi kubwa Mkoani Dodoma. Saizi huyo wa chuo ni Single Mother na anauza Genge na mwingin ni Single mother mkoa flani. Saizi nilishapata mke na nina Familia na mtoto mmoja.

Wasichana wakifika chuoni sijui huwa wanajiona akina nani. Baada ya Chuo akili huwa inawarudi.
Dogo acha Ufala

Ushatuona MABWEGE mabroo wako.
 
Kwema Wakuu!

Wakati tunakua moja ya mambo yaliyotupa hamasa ya kusoma mpaka kufika chuo ni stori za kuwa chuo kuna watoto wazuri alafu kuna Uhuru.

Ni kweli. Tuliofika chuo kikuu hasa vyuo vyenye wanafunzi wengi tulijionea maua ya Dunia. Kulikuwa na warembo wa kila namna.

Mimi ndoto yangu kubwa ilikuwa nitafute kidemu cha kimataifa, basa kichina maana huko ndio sikuwahi kúpita. Mpango wangu ungekamilika kwa kujiunga na darasa la kusoma lugha ya kichina huko ndiko nilijua ningepata connection na vitoto vya kichina. Utoto na ujana unamambo sana. Ngoja niachie hapa. Hii stori nitaileta siku nyingine.

Wakati wengine tukijivinjari na kufaidi fahari na maua ya Dunia. Kuna wenzetu walikuwa wakiteseka, na kuteswa na mapenzi. Mpaka wanamaliza mwaka wa mwisho wakiwa hawaamini nini kinaendelea kwenye maisha yao ya chuo. Walikuwa bilabila. Hawakupata Mwanamke yeyote.

Hujui maumivu ya kurusha jiwe kwenye kundi la Ndege wengi kama nyuki alafu usiambulie chochote. Hujui hayo maumivu.

Mbaya zaidi GPA nazo hazisomi, licha ya kutokuwa na demu lakini bado walishindwa kufikisha GPA ya 3.5 ambayo ni ya kawaida kabisa.

(Kunawatu watasema Taikon unasifa😄😄).

Najua kuna ile kujidanganya kimoyomoyo kuwa wakipata kazi sijui pesa watalipiza kisasi au watafikia. My Friend, Haya maisha sivyo hivyo yalivyo. Wapo wenye pesa na wanakazi na bado mademu wanawakataa😀.

Tatizo lenu vijana mnapenda kuwa serious sana na Maisha. Mnajifanya mnamalengo ya millenium. Saikolojia ya warembo haihitaji sampuli ya Watu hiyo.

Mademu wanapenda Sanaa na burudani. Ukiweza hayo hata uwe na mia mfukoni utawafaidi. Alafu yule mwenye milioni akabaki anapiga miayo huku akilaani.

Nimemaliza. Mwenye hasira aje tupigane.
Ukweli mtupu 1995,Nilimaliza CBE,kuna demu alikuwa ananisindikiza hapa Dodoma kwa Uncle tunakura msosi Safi, mjomba alikuwa demu wangu na namnyandua,Kumbe makini mie mshika pembe tuu ni story kula kwetu!
 
Ukweli ni kwamba chuoni tulistuka wanafunzi wa kike wanatembea na walimu, watumishi wa serikali, wafanya biashara, swagga boys wa mitaani, n.k. Pia ikitoka Wanafunzi wa kiume tukiwa na Hao wenzetu tulikuwa hatuheshimiani, tulikuwa tunachapiana sana, demu anaonekana cha wote.

Hii ikafanya na sisi tuwe tunatembea na mabinti wa nje ya chuo wanaouza maduka, wapishi, mabinti wa mitaani mpaka mabeki Tatu. Mimi dem wangu wa kwanza chuoni alikuwaga wa mtaani ila waliotutangulia wakanisanua huyo cha wote nikamuacha , nikaja kuwa na mtoto wa mama ntilie, nikahamia kwa anaefua, nikahamia kwa Anaeuza duka la simu, nikaja kwa beki Tatu alieletwa sehem nayoishi namvusha geto kikomandoo,

Nadhani mada ilibidi iwe kwa wanaume wanaomaliza chuo bila kuwa na dem kabisa.
Rubbish
 
Ukweli mtupu 1995,Nilimaliza CBE,kuna demu alikuwa ananisindikiza hapa Dodoma kwa Uncle tunakura msosi Safi, mjomba alikuwa demu wangu na namnyandua,Kumbe makini mie mshika pembe tuu ni story kula kwetu!
Andika tena upya hujaeleweka mjomba nani anamnyandua nani ulikua unanyandiliwa na mjomba?
 
Nina mwanangu m'moja alikuwa na changamoto hii ya kupata demu chuo so mziki akauamishia kwa walinzi wa kike, wadada wanaofanya biashara ya kufua nguo, wafanya usafi, wapishi na wahudumu migahawa na kadhalika.
Huko kwa kuwala suma na wafanyausafi ni kujidhalisha, bora mtu ukae tu. Mi walinitongozaga kabisa nikawa nawakataa, na hakuna demu aliyewahi kunitongoza nikamkubali, wote niliwatolea nje, hata wanaoleta ishara za kushoboka shoboka nao nawapiga chini tu, raha ni demu umuwinde from zero mpaka akubali mwenyewe, hapo itakuwa ni magoli sana.
 
Andika tena upya hujaeleweka mjomba nani anamnyandua nani ulikua unanyandiliwa na mjomba?
Hakuna demu wangu mkuu niliishia kukata story nae bila kumla kimasihara.Na weekend tunaenda kwa mjomba wangu kubadilisha mlo,mjomba kwa akili yake alikuwa demu wangu wa chuo,Kumbe hamna lolote!Hapo je?!
 
Ukweli 100%...kunakipindi nilikuwa kuwadi mkubwa sana wa rafiki yangu tajiri sana lakini kila akitaka kuopoa mlupo anapigwa chini akinituma mimi chapu sana anaipiga papuchi....mpaka leo hii kaoa mke niliemuungia mimi tukikutana huwa anacheka sana..
 
Back
Top Bottom