Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,682
- 5,277
Aisee mpaka leo ukikumbuka unawaza ilikuwajeUliposema pisi mbovu umenikumbusha mbali sana maana hata mimi niliwahi kumiliki peugot moja ili kutoa wenge la upwiru. Ila nilipopata uzoefu wa kazi nilianza kulamba zile hotcake tu 😂 ni mapito Mungu anisamehe
Mimi ni kama wewe mwanzo kuna toyota Bb ilikaa kwenye line niapita nayo baadae nilikua nakataa sijawahi miliki kile chombo😁