Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Life Experience: Jambo gani liliwahi kukutia aibu katika maisha?

Pole sana, hata Mimi nisingekubali kuendelea kukaa pale.
Niliwahi kushikwa tumbo la kuharisha ukweni
Ilikuwa hivi:
Kuna binti nkikuwaga namnyandua enzi hizo na alikuwaga ananisaidia mambo mengi sana miaka hiyo maana nilikuwa na maisha magumu kiaina
Sasa mahusiano yetu yakafikia binti kutaka akanitambulishe kwao ilikuwa wilaya tofauti.
Siku ikafika mwanaume huyo mpaka ukweni nafika naandaliwa msosi tukaanza kula
Kosa kubwa walilofanya kunipa maji ya kunywa yaliyowekwa water guard (enzi hizo ilikuwa dawa maarufu ya kuweka kwenye maji ya kunywa) sasa hiyo kitu huwa sipatani nayo nilipokunywa tu hayo maji nikasikia tumbo linaunguruma kama nimemeza chura wa bwawani!
Kilichofuata ni maumivu makali ya tumbo yakiambatana na kichefuchefu cha makalio(kubanwa kunya)
Nilijizuia nikashindwa kabisa ikabidi nimuombe binti anielekeze chooni ikabidi kustop kula nikanawa mikono haraka bahati nzuri sebureni tulikuwa tumeachwa watatu tu ndo tunakula nilikuwa mimi, binti na kidogo chao cha kiume hivyo tulitoka na binti ili anipeleke chooni ilikuwa choo cha uani.
Ile tunatoka nje ya nyumba kufika kule uani ambako ndiko kuna choo na vyumba vingine vya wapangaji tukakuta mama mkwe amekaa na wanawake wengine kama wanne nahisi ni wapangaji halafu walikuwepo na mabinti wengine mashemeji kama watatu yaani mbaya zaidi wamekaa pale pale karibu na mlango wa kuingia chooni wanasukana hapo na kupiga umbea waliponiona walijikausha nikapita kuingia chooni huku binti akibaki nao hapo nje ile nafunga mlango wa chooni tu nilisikia vicheko vya kisirisiri kwa nje nikajipa moyo kwamba ntavumilia tu hii aibu maana ishatokea
Mbaya zaidi ile nachuchumaa tu chooni niliharisha kinoma kiasi kwamba yalikuwa kama yanamwagika maji huku zinasikika sauti za mripuko kama radi nilijaribu kujibana nizuie hizo sauti za kujamba lakini zikawa kama ndo naongeza wakati huo huko nje nasikia vicheko vya wazi wazi kabisa iliniuma sana nilitamani nitokee juu ya paa nipotee kabisa eneo lile lakn haikuwezekana.
Nilimaliza kujisaidia naanza kujisafisha kulikuwa na maji kidogo kwenye ndoo yakaisha nikajaribu kufungulia bomba maji hayatoki nahisi yalikuwa yamekatika halafu hapo sijamwaga maji kwenye sinki la choo kinyesi kimejaa na kutapakaa kwenye sinki ikabidi nijitoe aibu nivae tu nitoke nikamuite binti pembeni nimwambie maji chooni hakuna ikiwezekana anisaidie kwenda kumwaga maji kabla hawajastukia lakn cha ajabu ile natoka tu nawakuta wale wadada wamekaa ila mamkwe na mchumba wangu sikuwakuta nahisi walikuwa ndani ikabidi nizame ndani huku nyuma bado nasikia vicheko watu wanacheka mpaka wanaanguka chini!
Nafika ndani namkuta yule dogo bado anakula nikamuuliza dadake yuko wapi akasema ameenda dukani mama mkwe naye sikumuona nahisi alijifungia chumbani kwa aibu!
Nikarudi pale uani ili nijitoe ufahamu niwaombe wanisaidie maji lakn kabla sijafanya hivyo namuona binti mmoja kati ya wale mashemeji zangu anatokea mule chooni na ndoo mkononi akapitiliza ndani akachota maji na kurudi chooni akaanza kusafisha chooni!
Ile kitendo ilinifanya nijiskie aibu ambayo sijawahi kuona!!!!
Kufupisha story nilijikuta nje ya geti ambako nilimuona mchumba wangu anarudi na kibahasha cha dawa mkononi akanipa eti alienda duka la dawa kuninunulia vidonge vya kuzuia kuharisha nilivimeza pale pale mlangoni nikaondoka sikutaka tena kurudi ndani maana sio kwa aibu ile.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilitokea nimekuja Dar kwa ndugu yangu aliepanga chumba maeneo ya uswahilini Temeke, nyumba ilikua na vijana na mama mwenye watoto wa kike pale, sasa ilitokea siku moja usiku nimeenda kuoga mida ya usiku nikaona sio mbaya nitoe na haja kubwa kabisa, kumbe nimemaliza kujisaidia na maji nimemwaga yalikua machache, asubuhi si ndo akaja mwenye zamu kufagia choo akaukatana nayo, kila akimwagia maji mzigo hausogei mbele ikabidi aulize tu ni nani alikuwa wa mwisho si ndo nikatajwa mimi.. daaahh ilikua fedhea kwa watoto wa kike wale maana mama alikazia neno 'Alafu yule kaka ni mwembamba ila ana mavi magumuuuuu' sikumsalimia mpaka namaliza likizo naondoka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahaha juzi kati nlienda kununua mboga kwa Hawa mama wa genge nlichokua mboga nyanya vitunguuu na mazaga mengine madogo dogo baada ya kumaliza nliamua kuviacha hapo sababu nilikuja na mazungumzo mafupi na msela angu...
Baada ya mazungumzo nilirudi nichukue vitu vyqngu kwa haraka nilichukua tu mboga nkaacha nyanya baada ya hatua chache nlikumbuka nkarudi nkachukua nyanya..
Kumbe bana muda nabeba nlishikaniza vifuko viwili sabu kuna washkaj tunakaa hostel moja walikua wanahemea pia baada ya kuacha nyanya pale waliweka karibu na nyanya nilizochukua,pengine ningeshtuka ata uzito kuwa kuongezeka ila isingewezakana sabu mkono mmoja nkutwa naongea na simu hivyo nilitumia mkono mmoja kubeba vile kifuko vya nyanya plus maharage yangu bana..safar ikaanza kurudi gheto..ikumbukwe ilikua usiku na mimi akili ilkua tu kwenye simu na kushikilia mboga yangu na nyanya kwa nguvu...
Hatua ka 10-15 kutoka kweny kibanda moja wa wale masela akaniita,
Flaaaniii eh!,et umebeba vifuko vingapi vya nyanya? Mimi nikajibu kimoja sabu kumbkumb nzokua nakumbuka nlishika kifuko kimoja.hahahah nlipiga hatua ka mbili nkamulika nashangaa naona lundo la nyanya ikiwa mi zangu zilikua nne tu kucheki vizur naona nina vifuko viwili...
Hahahah nkapiga plan nkisema nirudishe ntaonekanaje ikiwa niliulizwa nkasema ni kimoja nionekane mwizi wa nyanya??nikaamua kusonga mbele.
Baada ya hatua kadhaa tena mbele sjafika mbali yule maza wa genge akaniita tena safari hii akinitaka nirudi,nkapiga hesabu kali kisenge nkawaza naenda aibika,nlichofanya muda narudi nkatega kivuli cha nyumba giza umeme umewaka...nkarusha fungu moja hahahah nafika kwa maza nyanya za washikaji ndo ninazo af mi zangu ndo sina kumbe katka kurusha nilirusha zangu afu nkabaki na nyanya za washikaji nliiaibika japo nlipunguza aibu kimtindo alinipa nyingine sabu nlimwambia mi zangu nliacha hapa ndo maana nlivyofka nikabeba tuu so sjui lolote
 
Niliwahi kushikwa tumbo la kuharisha ukweni
Ilikuwa hivi:
Kuna binti nkikuwaga namnyandua enzi hizo na alikuwaga ananisaidia mambo mengi sana miaka hiyo maana nilikuwa na maisha magumu kiaina
Sasa mahusiano yetu yakafikia binti kutaka akanitambulishe kwao ilikuwa wilaya tofauti.
Siku ikafika mwanaume huyo mpaka ukweni nafika naandaliwa msosi tukaanza kula
Kosa kubwa walilofanya kunipa maji ya kunywa yaliyowekwa water guard (enzi hizo ilikuwa dawa maarufu ya kuweka kwenye maji ya kunywa) sasa hiyo kitu huwa sipatani nayo nilipokunywa tu hayo maji nikasikia tumbo linaunguruma kama nimemeza chura wa bwawani!
Kilichofuata ni maumivu makali ya tumbo yakiambatana na kichefuchefu cha makalio(kubanwa kunya)
Nilijizuia nikashindwa kabisa ikabidi nimuombe binti anielekeze chooni ikabidi kustop kula nikanawa mikono haraka bahati nzuri sebureni tulikuwa tumeachwa watatu tu ndo tunakula nilikuwa mimi, binti na kidogo chao cha kiume hivyo tulitoka na binti ili anipeleke chooni ilikuwa choo cha uani.
Ile tunatoka nje ya nyumba kufika kule uani ambako ndiko kuna choo na vyumba vingine vya wapangaji tukakuta mama mkwe amekaa na wanawake wengine kama wanne nahisi ni wapangaji halafu walikuwepo na mabinti wengine mashemeji kama watatu yaani mbaya zaidi wamekaa pale pale karibu na mlango wa kuingia chooni wanasukana hapo na kupiga umbea waliponiona walijikausha nikapita kuingia chooni huku binti akibaki nao hapo nje ile nafunga mlango wa chooni tu nilisikia vicheko vya kisirisiri kwa nje nikajipa moyo kwamba ntavumilia tu hii aibu maana ishatokea
Mbaya zaidi ile nachuchumaa tu chooni niliharisha kinoma kiasi kwamba yalikuwa kama yanamwagika maji huku zinasikika sauti za mripuko kama radi nilijaribu kujibana nizuie hizo sauti za kujamba lakini zikawa kama ndo naongeza wakati huo huko nje nasikia vicheko vya wazi wazi kabisa iliniuma sana nilitamani nitokee juu ya paa nipotee kabisa eneo lile lakn haikuwezekana.
Nilimaliza kujisaidia naanza kujisafisha kulikuwa na maji kidogo kwenye ndoo yakaisha nikajaribu kufungulia bomba maji hayatoki nahisi yalikuwa yamekatika halafu hapo sijamwaga maji kwenye sinki la choo kinyesi kimejaa na kutapakaa kwenye sinki ikabidi nijitoe aibu nivae tu nitoke nikamuite binti pembeni nimwambie maji chooni hakuna ikiwezekana anisaidie kwenda kumwaga maji kabla hawajastukia lakn cha ajabu ile natoka tu nawakuta wale wadada wamekaa ila mamkwe na mchumba wangu sikuwakuta nahisi walikuwa ndani ikabidi nizame ndani huku nyuma bado nasikia vicheko watu wanacheka mpaka wanaanguka chini!
Nafika ndani namkuta yule dogo bado anakula nikamuuliza dadake yuko wapi akasema ameenda dukani mama mkwe naye sikumuona nahisi alijifungia chumbani kwa aibu!
Nikarudi pale uani ili nijitoe ufahamu niwaombe wanisaidie maji lakn kabla sijafanya hivyo namuona binti mmoja kati ya wale mashemeji zangu anatokea mule chooni na ndoo mkononi akapitiliza ndani akachota maji na kurudi chooni akaanza kusafisha chooni!
Ile kitendo ilinifanya nijiskie aibu ambayo sijawahi kuona!!!!
Kufupisha story nilijikuta nje ya geti ambako nilimuona mchumba wangu anarudi na kibahasha cha dawa mkononi akanipa eti alienda duka la dawa kuninunulia vidonge vya kuzuia kuharisha nilivimeza pale pale mlangoni nikaondoka sikutaka tena kurudi ndani maana sio kwa aibu ile.
Hii ni Kali kuliko zoteee[emoji23][emoji23][emoji23] ,pole sana kamanda ,nimecheka sanaaa
 
Hahaha juzi kati nlienda kununua mboga kwa Hawa mama wa genge nlichokua mboga nyanya vitunguuu na mazaga mengine madogo dogo baada ya kumaliza nliamua kuviacha hapo sababu nilikuja na mazungumzo mafupi na msela angu...
Baada ya mazungumzo nilirudi nichukue vitu vyqngu kwa haraka nilichukua tu mboga nkaacha nyanya baada ya hatua chache nlikumbuka nkarudi nkachukua nyanya..
Kumbe bana muda nabeba nlishikaniza vifuko viwili sabu kuna washkaj tunakaa hostel moja walikua wanahemea pia baada ya kuacha nyanya pale waliweka karibu na nyanya nilizochukua,pengine ningeshtuka ata uzito kuwa kuongezeka ila isingewezakana sabu mkono mmoja nkutwa naongea na simu hivyo nilitumia mkono mmoja kubeba vile kifuko vya nyanya plus maharage yangu bana..safar ikaanza kurudi gheto..ikumbukwe ilikua usiku na mimi akili ilkua tu kwenye simu na kushikilia mboga yangu na nyanya kwa nguvu...
Hatua ka 10-15 kutoka kweny kibanda moja wa wale masela akaniita,
Flaaaniii eh!,et umebeba vifuko vingapi vya nyanya? Mimi nikajibu kimoja sabu kumbkumb nzokua nakumbuka nlishika kifuko kimoja.hahahah nlipiga hatua ka mbili nkamulika nashangaa naona lundo la nyanya ikiwa mi zangu zilikua nne tu kucheki vizur naona nina vifuko viwili...
Hahahah nkapiga plan nkisema nirudishe ntaonekanaje ikiwa niliulizwa nkasema ni kimoja nionekane mwizi wa nyanya??nikaamua kusonga mbele.
Baada ya hatua kadhaa tena mbele sjafika mbali yule maza wa genge akaniita tena safari hii akinitaka nirudi,nkapiga hesabu kali kisenge nkawaza naenda aibika,nlichofanya muda narudi nkatega kivuli cha nyumba giza umeme umewaka...nkarusha fungu moja hahahah nafika kwa maza nyanya za washikaji ndo ninazo af mi zangu ndo sina kumbe katka kurusha nilirusha zangu afu nkabaki na nyanya za washikaji nliiaibika japo nlipunguza aibu kimtindo alinipa nyingine sabu nlimwambia mi zangu nliacha hapa ndo maana nlivyofka nikabeba tuu so sjui lolote

Unasoma SAUT Unakaa masha au nyamalango
 
[emoji23] [emoji23] Pole mkuu.

Mwenzio nilikuwa naendesha kikao. Tumbo limebana hatari. Nikaamua nitoe kaushuzi ka kimyakimya kurekebisha hali.

Lahaulah! Ilitoka harufu ambayo sijawahi kuinusa maisha yangu yote na ofisi nzima hakuna aliyevumilia kukaa hata mimi mwenyewe.

Aisee, nilitamani nisirudi tena kwenye kikao. Lakini mimi ndo kiongozi pale kazini. Nilirudi tu.

Aibu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah kuna siku gari ya mshua ilikodiwa kwenda Njombe... Ilibeba wanakwaya wanaenda kwenye harusi ya mwenzao. Sasa kufika kule wakawa kanisani wanasherehekea...mimi nipk ndani ya gari nimelala daaaaaaaaaaah!!!! NILIJAAMBAAA KWANGUVU KAMA MARA 3 AFU KWA UHURU NIKIJUA NIPO PEKEANGU NDANI.... baada ya dakika mbili hivi nikashituka kuangalia hivi kuna mmama kakaa pembeni daaaaaaaah!!!!!!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwaka flani hv nimeenda zangu maeneo kumtembelea sister,siku hyo sister kasafiri nimebaki na anko 2,ilikuwa wikiend nikaenda zangu kucheki mpira narudi zangu mida kama ya saa 5 hv uck,narudi geti limefungwa,namgongea anko nae kalala kinouma nimekaa kama nusu SAA hv nagonga hakuna kufungua,nikaamua kufungua dirisha nipitie hapo,vile vidirisha vya zamani vinakuwa na nondo katikati aisee,so nikapiga hesabu nikaona kupita na nguo haiwezekani so nikavua nguo nikaziingiza ndani nikabaki na chupi 2 nikajua si napita fasta,

Ile kuanza kupitisha kichwa hakipiti kumbe ni padogo ,kasheshe likaanzia hapo,hangaika wapi, hangaika wapi nikaona jau hili,nikamkumbuka jamaa yangu anakaa mtaa wa pili,ikabidi nitoke pale kwa spidi kali nipo na kichupi 2 nakatiza mtaaan,wikiendi ile mitaa watu wanacjelewa sana kulala so nilikutana na watu wanacheka walijua nimetoka kufumaniwa so nakimbia soo,ile nafika kwa jamaa,jamaa kafungua kunikuta vile anacheka kishenzi,kwa soo lile sikukaa sana ilibidi nirudi home 2

[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji3][emoji3][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji4][emoji56][emoji56][emoji23][emoji23][emoji28][emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Niliwahi kushikwa tumbo la kuharisha ukweni
Ilikuwa hivi:
Kuna binti nkikuwaga namnyandua enzi hizo na alikuwaga ananisaidia mambo mengi sana miaka hiyo maana nilikuwa na maisha magumu kiaina
Sasa mahusiano yetu yakafikia binti kutaka akanitambulishe kwao ilikuwa wilaya tofauti.
Siku ikafika mwanaume huyo mpaka ukweni nafika naandaliwa msosi tukaanza kula
Kosa kubwa walilofanya kunipa maji ya kunywa yaliyowekwa water guard (enzi hizo ilikuwa dawa maarufu ya kuweka kwenye maji ya kunywa) sasa hiyo kitu huwa sipatani nayo nilipokunywa tu hayo maji nikasikia tumbo linaunguruma kama nimemeza chura wa bwawani!
Kilichofuata ni maumivu makali ya tumbo yakiambatana na kichefuchefu cha makalio(kubanwa kunya)
Nilijizuia nikashindwa kabisa ikabidi nimuombe binti anielekeze chooni ikabidi kustop kula nikanawa mikono haraka bahati nzuri sebureni tulikuwa tumeachwa watatu tu ndo tunakula nilikuwa mimi, binti na kidogo chao cha kiume hivyo tulitoka na binti ili anipeleke chooni ilikuwa choo cha uani.
Ile tunatoka nje ya nyumba kufika kule uani ambako ndiko kuna choo na vyumba vingine vya wapangaji tukakuta mama mkwe amekaa na wanawake wengine kama wanne nahisi ni wapangaji halafu walikuwepo na mabinti wengine mashemeji kama watatu yaani mbaya zaidi wamekaa pale pale karibu na mlango wa kuingia chooni wanasukana hapo na kupiga umbea waliponiona walijikausha nikapita kuingia chooni huku binti akibaki nao hapo nje ile nafunga mlango wa chooni tu nilisikia vicheko vya kisirisiri kwa nje nikajipa moyo kwamba ntavumilia tu hii aibu maana ishatokea
Mbaya zaidi ile nachuchumaa tu chooni niliharisha kinoma kiasi kwamba yalikuwa kama yanamwagika maji huku zinasikika sauti za mripuko kama radi nilijaribu kujibana nizuie hizo sauti za kujamba lakini zikawa kama ndo naongeza wakati huo huko nje nasikia vicheko vya wazi wazi kabisa iliniuma sana nilitamani nitokee juu ya paa nipotee kabisa eneo lile lakn haikuwezekana.
Nilimaliza kujisaidia naanza kujisafisha kulikuwa na maji kidogo kwenye ndoo yakaisha nikajaribu kufungulia bomba maji hayatoki nahisi yalikuwa yamekatika halafu hapo sijamwaga maji kwenye sinki la choo kinyesi kimejaa na kutapakaa kwenye sinki ikabidi nijitoe aibu nivae tu nitoke nikamuite binti pembeni nimwambie maji chooni hakuna ikiwezekana anisaidie kwenda kumwaga maji kabla hawajastukia lakn cha ajabu ile natoka tu nawakuta wale wadada wamekaa ila mamkwe na mchumba wangu sikuwakuta nahisi walikuwa ndani ikabidi nizame ndani huku nyuma bado nasikia vicheko watu wanacheka mpaka wanaanguka chini!
Nafika ndani namkuta yule dogo bado anakula nikamuuliza dadake yuko wapi akasema ameenda dukani mama mkwe naye sikumuona nahisi alijifungia chumbani kwa aibu!
Nikarudi pale uani ili nijitoe ufahamu niwaombe wanisaidie maji lakn kabla sijafanya hivyo namuona binti mmoja kati ya wale mashemeji zangu anatokea mule chooni na ndoo mkononi akapitiliza ndani akachota maji na kurudi chooni akaanza kusafisha chooni!
Ile kitendo ilinifanya nijiskie aibu ambayo sijawahi kuona!!!!
Kufupisha story nilijikuta nje ya geti ambako nilimuona mchumba wangu anarudi na kibahasha cha dawa mkononi akanipa eti alienda duka la dawa kuninunulia vidonge vya kuzuia kuharisha nilivimeza pale pale mlangoni nikaondoka sikutaka tena kurudi ndani maana sio kwa aibu ile.
Daah pole sana bro[emoji26][emoji26]
 
Ilitokea nimekuja Dar kwa ndugu yangu aliepanga chumba maeneo ya uswahilini Temeke, nyumba ilikuwa na vijana na mama mwenye watoto wa kike pale, sasa ilitokea siku moja usiku nimeenda kuoga mida ya usiku nikaona sio mbaya nitoe na haja kubwa kabisa, kumbe nimemaliza kujisaidia na maji nimemwaga yalikuwa machache, asubuhi si ndo akaja mwenye zamu kufagia choo akaukatana nayo, kila akimwagia maji mzigo hausogei mbele ikabidi aulize tu ni nani alikuwa wa mwisho si ndo nikatajwa mimi.. daaahh ilikua fedheha kwa watoto wa kike wale maana mama alikazia neno 'Alafu yule kaka ni mwembamba ila ana mavi magumuuuuu' sikumsalimia mpaka namaliza likizo naondoka
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
1. Nilikuwa naenda interview posta huko Amani place, sasa ile milango yao ya kuzunguka ilinitia ushamba plus macho mabovu huku nimevaa glasses niliparamia kioo mzima mzima aibu na ndani kuna watu wameniona.

2. Niliwahi kualikwa na jirani yetu nyumbani kwake kula iddi ya 2021. Kufika pale kuna mazagazaga ya kila aina. Nili serve 2 rounds nikashusha na juisi tumbo ndiiii... Na haikupita ata muda nikaanza kujihisi vby kutapika hewa nzito, nikasema nitoke nje sikumaliza ata hatua mbili nilitapika kila kitu kwenye ngazi na walisikia ila nikasepa kimya kimya baada ya kusafisha.
 
Moja kwa moja niende katika mada.

Leo asubuhi kama kawaida yangu kuna mahali huwa naenda kunywa chai, ni mgahawa wa jamaa yangu mmoja wa karibu, nimekunywa chai, nilipomaliza nikaona kuna funguo juu ya meza, ambazo ninafahamu ni za jamaa yangu(Nimeshazitumia mara kadhaa kukatia kucha kwa maana zina nail cutter), nikatumia katika kukata kucha.

Nilipomaliza kukata kucha nilipigiwa simu, nikasogea pembeni kuzungumza na simu, nikazungumza na simu kwa muda mrefu, hivyo sikuona umuhimu wa kurudi pale tena maana nimemaliza kunywa chai, kumbe wakati huo nimesahau funguo zile nimeziweka mfukoni, nilipofika nyumbani nimeendelea na shughuli zangu bila kuelewa chochote wala kukumbuka, nimekuja kupigiwa simu na binti kuwa kumbe zile funguo zinahitajika, ndio nikakumbuka kujisachi najikuta na funguo kuwa ninazo mfukoni, na kumbe si za jamaa yangu, kumpigia simu anasema si zake kweli, ni za binti anayefanya kazi hapo mgahawani, ni kwamba zimefanana, tukio hili limeniachia fedheha na aibu kubwa maana moja kwa moja nimeonekana kama nilikuwa nina hila mbaya, na hakuna yoyote ninayeweza kumueleza akaniamini, imebaki kuniuma mwenyewe rohoni, maana ningehusishwa na wizi.

Katika maisha kuna mambo ambayo yanatukuta kwa bahati mbaya bila sisi kutarajia, hayo mambo huwa yanapelekea aibu na fedheha ambayo haistahili kwa kweli, na hata haielezeki kwa mtu kirahisi.

Kama na wewe una kisa chochote tupe hapa tupate funzo kidogo.
Wewe jamaa sio mstaarabu kabisa. Unatumiaje nail cutter ya mtu mwingine kukatia kucha zako??? 😡😡 kuandika huu uzi ni jambo lingine lililokutia aibu. Umenikera kinoma.
 
Back
Top Bottom