Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Life style yangu ilinipotezea mwanamke mzuri

Ndio maana Sipendi mtoli kwasababu wanasema nyama utazikuta chini. Napenda nyama zionekane😅😅😅😅

Pamoja sana jirani 😍
Story imeishia pazuri sana niliandika hiyo comment huku nasinzia ujue😅😅ningeandika mautumbo sijui ningeweka wapi ID yangu hii
 
Screenshot_20240901-085725~2.jpg
 
Sehemu yoyote yenye makosa ya kiuandishi, mniwie radhi. Mazingira niliyopo yako tight sana, nakosa utulivu
Apostle, asante sana kwa simulizi. Wakati wote nimekuwa nikipendezwa na namna ya uandishi wako. Zaidi sana umekua ukiandika matukio halisi yaliyotokea kwenye maisha yako. Hakika inagusa na kupendeza sana.

Hata hivyo, kuna mambo machache kama ikikupendeza unaweza kuyaelezea japo kwa ufupi. Moja, ni namna mlivyomalizana na Trina, na la pili mlivyomalizana na Mzee KY kama alikutafuta kadri alivyoahidi.
Otherwise nakutakia kila la kheri katika mapambano ya maisha.
 
Apostle, asante sana kwa simulizi. Wakati wote nimekuwa nikipendezwa na namna ya uandishi wako. Zaidi sana umekua ukiandika matukio halisi yaliyotokea kwenye maisha yako. Hakika inagusa na kupendeza sana.

Hata hivyo, kuna mambo machache kama ikikupendeza unaweza kuyaelezea japo kwa ufupi. Moja, ni namna mlivyomalizana na Trina, na la pili mlivyomalizana na Mzee KY kama alikutafuta kadri alivyoahidi.
Otherwise nakutakia kila la kheri katika mapambano ya maisha.
Naungana nawe kwamba alete kipande cha kumalizia haya mawili yaliyoningininia.
 
Ahsante kwa simulizi nzuri yenye mafunzo ndani ya Mr. Amphibian aka Aposto... Analyse
 
Back
Top Bottom