Lighter Touch: Ule uvumi ungenoga hivi leo

Lighter Touch: Ule uvumi ungenoga hivi leo

Even in China where there is only single political party,divisions do exist bro.
There is nothing wrong for a country to be polarized. That is the nature of politics and government. You would not expect the whole country to be of single mindedness like automatons! Politics by its very nature is disruptive and divisive. I don't have any problem for people opposing Magufuli or not liking his leadership style or ideas.. that is part of politics! The only way we can have an "almost" united nation is to be like China or Cuba... single party, single leader, single direction.. no dissent, no divisions...
 
Watatoa taarifa ngapi ?kwa kila uzushi wa mpumbavu aliezaliwa hata hamjui baba yake.
Mkuu katika hili bila kumung'unya maneno wajinga ni kurugenzi ya mawasiliano kushindwa kutoa taarifa sahihi kwa wakati na kuruhusu tetesi kuzaa uhasama na njozi mbaya.
Kwani tokea juzi wangejibu kiaina yote haya yangetokea?
Kurugenzi isafishwe na kuwekwa wenye utaalamu sio wanaofanyakazi kama idara ya Polepole.
 
Are you the one, i dont believe this words.
There is nothing wrong for a country to be polarized. That is the nature of politics and government. You would not expect the whole country to be of single mindedness like automatons! Politics by its very nature is disruptive and divisive. I don't have any problem for people opposing Magufuli or not liking his leadership style or ideas.. that is part of politics! The only way we can have an "almost" united nation is to be like China or Cuba... single party, single leader, single direction.. no dissent, no divisions...
 
Mpaka sasa Ikulu haijasema chochote kama alikuwa mgonjwa au la sasa unapowalaumu hawa wabongo mbona hueleweki
Mambo mengine ni ujinga kuelezea kila kinachoenezwa isivyo sahihi. Ikulu itasema mangapi?
 
Mkuu katika hili bila kumung'unya maneno wajinga ni kurugenzi ya mawasiliano kushindwa kutoa taarifa sahihi kwa wakati na kuruhusu tetesi kuzaa uhasama na njozi mbaya.
Kwani tokea juzi wangejibu kiaina yote haya yangetokea?
Kurugenzi isafishwe na kuwekwa wenye utaalamu sio wanaofanyakazi kama idara ya Polepole.
Majibu yalitolewa kwa wakati. Kuna taarifa mbili zilitoka, uteuzi na kuapishwa kwa walioteuliwa. Hayo yalikuwa majibu tosha sema kwa kuwa siku hizi tunaamini wazushi hatukutaka kuamini kinachosemwa kurugenzi ya habari ikulu.
 
Bado nashangazwa na upole wa hii serikali, hivi kwa zile post za lema na wale vijana wa bavicha akina hilda na vitus, serikali inashindwa nn kuwatia nguvuni??
Kwa hili nawalaumu serikali sana
Hujui kuwa familia moja inaweza kuwa na watoto kadhaa wa kambo?
 
Ule uvumi umetufundisha mambo mengi; lakini kubwa ni kuwa mashine ya kuchakatia uzushi ilichakata sana jana.. lakini leo imeshindwa kuendelea. Baada ya Rais wa Watu kutokea leo akiwa na afya njema na kufanya kitu ambacho watu walitakiwa kukidhania kingefanyika (baada ya kufanya uteuzi) basi ule uvumi ulitakiwa ubadilike na kunogeshwa namna hii...

Kwa mfano,

Huyu wa leo siyo Magufuli ni double wake. Si unajua kila Rais ana "double" wake yaani mtu anayefanana naye kwa kila namna. Na huyu double tunaweza kusema alienda akafanyiwa "plastic surgery" huko Cuba na amekuwa akitumika mara kwa mara...

Kwamba, baada ya kuugua alikimbizwa Afrika ya Kusini, ambako alipanda ndege ya mwendo kasi hadi Ujerumani alikofanyiwa matibabu, halafu akapandishwa ndege nyingine ya haraka na kurudi Ikulu Dar ambako alipokelewa kwa njia ya siri kupitia mlango ulioko baharini - akitokea meli ya nyambizi (submarine)..

Kwamba, tukio la leo kwa kweli halikuwa "live" ila lilirekodiwa kabla hajaugua na kuwa limeunganishwa vipande vipande kidigitally. Rais mwenyewe ameendelea mapumzikoni huko pembezoni mwa Milima ya Alps, Uswisi.

Yaani, ukishaamua kutunga uongo usiishie njiani, endelea nao hadi uonekane ni ujinga na watu wachukulie kama ni burudani fulani. Nje ya hapo jambo kubwa la kujifunza ni kuwa Rais Magufuli ule ulinzi labda hautoshi... kuna watu siyo tu wanaweza kuwa wanapanga mabaya, lakini wanayaombea, wanayasubiria, na kila waendapo kulala wanayaotea...

Ila ule uzushi ungenoga kama leo ungeendelea kidogo kuleta mantiki maana nilivyoona anashabikia sambusa na wasaidizi wake kama kuna kuumwa basi labda alipiga chafya tu kubwa watu wakashtuka na "kiwanda cha uvumi" kikaingia kazini.. Yaani, mtu hata kiungulia asipate.. na hakuna aliyefikiria hata ile connection ya suala la DPP uzito wake?

Sasa rais jamani hata chafya asipige. "Tuambiwe haraka alipiga chafya kubwa kiasi gani" , "Ni raisi wetu sote tunataka kujua kwa haraka... "

We unaonaje huu uvumi ungenoga noga vipi leo baada ya Jeuri ya Rais kuonekana leo..?
Binafsi naamini Magu ni mgonjwa, ni vema akajipa Mtu wa kupumzika apiganie afya yake vinginevyo utaratibu wa kuhutubia kwa dakika 5 Kama Jana utaendelea kwenye kampeni za Uchaguzi mkuu mwakani, tukumbuke huyu ni Mzee wa kuongea pumba mingi za dk.60 Hadi 90
 
Wee nawe umekuwa mshakunaku Kama mwanamke wa kizaramo anayeishi Buguruni.

Yaani unavyoongea unafikiri Rais ni babako.
 
Ule uvumi umetufundisha mambo mengi; lakini kubwa ni kuwa mashine ya kuchakatia uzushi ilichakata sana jana.. lakini leo imeshindwa kuendelea. Baada ya Rais wa Watu kutokea leo akiwa na afya njema na kufanya kitu ambacho watu walitakiwa kukidhania kingefanyika (baada ya kufanya uteuzi) basi ule uvumi ulitakiwa ubadilike na kunogeshwa namna hii...

Kwa mfano,

Huyu wa leo siyo Magufuli ni double wake. Si unajua kila Rais ana "double" wake yaani mtu anayefanana naye kwa kila namna. Na huyu double tunaweza kusema alienda akafanyiwa "plastic surgery" huko Cuba na amekuwa akitumika mara kwa mara...

Kwamba, baada ya kuugua alikimbizwa Afrika ya Kusini, ambako alipanda ndege ya mwendo kasi hadi Ujerumani alikofanyiwa matibabu, halafu akapandishwa ndege nyingine ya haraka na kurudi Ikulu Dar ambako alipokelewa kwa njia ya siri kupitia mlango ulioko baharini - akitokea meli ya nyambizi (submarine)..

Kwamba, tukio la leo kwa kweli halikuwa "live" ila lilirekodiwa kabla hajaugua na kuwa limeunganishwa vipande vipande kidigitally. Rais mwenyewe ameendelea mapumzikoni huko pembezoni mwa Milima ya Alps, Uswisi.

Yaani, ukishaamua kutunga uongo usiishie njiani, endelea nao hadi uonekane ni ujinga na watu wachukulie kama ni burudani fulani. Nje ya hapo jambo kubwa la kujifunza ni kuwa Rais Magufuli ule ulinzi labda hautoshi... kuna watu siyo tu wanaweza kuwa wanapanga mabaya, lakini wanayaombea, wanayasubiria, na kila waendapo kulala wanayaotea...

Ila ule uzushi ungenoga kama leo ungeendelea kidogo kuleta mantiki maana nilivyoona anashabikia sambusa na wasaidizi wake kama kuna kuumwa basi labda alipiga chafya tu kubwa watu wakashtuka na "kiwanda cha uvumi" kikaingia kazini.. Yaani, mtu hata kiungulia asipate.. na hakuna aliyefikiria hata ile connection ya suala la DPP uzito wake?

Sasa rais jamani hata chafya asipige. "Tuambiwe haraka alipiga chafya kubwa kiasi gani" , "Ni raisi wetu sote tunataka kujua kwa haraka... "

We unaonaje huu uvumi ungenoga noga vipi leo baada ya Jeuri ya Rais kuonekana leo..?
Mzee Mwanakijiji ana like 16 mpaka muda huu??!!!!!! Kweli uzushi unanguvu kuliko ukweli wa MMM dunia hii duara
 
kigogo aliingizwa chaka,kwa technology ya sikuhizi hakuna flight ya ndege isionekane kama ndege haijaficha identity yake makusudi,yeye alishindwa hata kuconfirm na flightrad traker kujua ndege ya mh iko wapi
 
Kwamba, tukio la leo kwa kweli halikuwa "live" ila lilirekodiwa kabla hajaugua na kuwa limeunganishwa vipande vipande kidigitally. Rais mwenyewe ameendelea mapumzikoni huko pembezoni mwa Milima ya Alps, Uswisi.
Wameshanena yanayofanana na haya kule Twitter
 
Si la kucheka ila kuna watu wamebobea kuvumisha... na wanaochekesha ni washabiki wa uvumi...

Hasa Sky Eclat alitoa hadi na tarehe na salam.

Akajitahidi kuspin ila kwa sasa pengine yupo chini ya uvungu wa kitanda anahesabu nyota kwenye shimo refu lenye giza.

Hana la kusema zaidi ya kujutia credibility na reputation yake if she cares.

Halima Mdee Huyo?
 
Katika ujasusi,unapokua unatafuta mole,kwa maana ya kidudumtu anaevujisha taarifa,standard procedure ni kuleakisha fake information to a few selected suspects na kuangalia kama zitaleak na kumfikia adui,na ikitokea basi mole anakuwa kishapatikana kiulaini sana
 
Hao mafala walisema amekufa, hadi lema akapost kumuonya gerson msigwa eti taarifa ya utauzi ni fake!
Nitafurahi nikisikia hao watu wameshikishwa adabu, sijui kwa nini wanawalea hao wajinga
Bora Lema amekuwa mpole, saib tweet zake anasifu uhodari wa DC Athumani, na TISS. Ukiona chalii wa R anakubali kaingizwa mkenge. uwona uweliwe
 
Mkuu katika hili bila kumung'unya maneno wajinga ni kurugenzi ya mawasiliano kushindwa kutoa taarifa sahihi kwa wakati na kuruhusu tetesi kuzaa uhasama na njozi mbaya.
Kwani tokea juzi wangejibu kiaina yote haya yangetokea?
Kurugenzi isafishwe na kuwekwa wenye utaalamu sio wanaofanyakazi kama idara ya Polepole.
Kurugezi haiwezi kufanyia kazi habari za uzushi. Kwa nini waanzisha uzushi hawakwenda kupata taarifa rasimi kutoka kurugezi ya mawasiliano.!? Kurugezi ya mawasiliano ina majukumu yake rasimi.....!!!
 
We can come up with all kinds of scenarios, assumptions, and what ifs, or justifications, but deeply the nation is polarized and there is such a need for a national dialogue instead of mockery. Denial ain’t a solution at all.
Aliyempiga risasi Lissu ni unknown.
Na kama ni serikali basi possibly ilikuwa na sababu za muhimu....
Na ndio maana mimi ni mpinzani nisiyetegemea kuonewa na sijawahi kuonewa.
 
kila uzushi utahitaji national dialigue...
nice one... good english too...
We can come up with all kinds of scenarios, assumptions, and what ifs, or justifications, but deeply the nation is polarized and there is such a need for a national dialogue instead of mockery. Denial ain’t a solution at all.
 
Back
Top Bottom