Ligi ya mabingwa wa draft Tanzania aliyoibuka bingwa dogo sisco

Ligi ya mabingwa wa draft Tanzania aliyoibuka bingwa dogo sisco

Nitamsubiri bingwa nichuane nae

Yule mkulima wa online walimshindwa?
Kati yako wewe na bingwa atakayeshinda aje tupambane online.
Pia kama kuna mkali wa chess I'm ready 24/7, hapo ndiyo ninapojiamini zaidi.
Online battle.
 
Kama CR7 anamkwepa Sisco why hapo juu ulisema mtu wa kumzuia Sisco angekuwa CR7? Wakati CR7 ameshasanda mapema.
Anamkwepa kwa vipwngere vyake ,lkn kwa mechi zao nilizoona ,Ronaldo ndiye anaweza kumzuia
 
Nimefurahi sana kuona hii post, dsm ndio jiko la wacheza draft tz,sisko memjulia chabela dom.wanajua sana hawa wachezaj wa dsm
 
Habari zenu humu ,wale wapenzi wa DRAFT ,ilifanyika ligi ya MABINGWA wa draft unaowajua wewe hapa TZ ,pale Java Lounge

Bingwa aliibuka dogo SISCO

Mashindano yalianza na hatua za makundi

Katika ligi ya kufungua mwaka wa 2025 waratibu wamewathibitisha washiriki 48 watakaowania kuondoka na kitita cha shiringi milioni moja,

HAYA NDIO MAKUNDI
šŸ‘‡šŸ»šŸ‘‡šŸ»šŸ‘‡šŸ»šŸ‘‡šŸ»šŸ‘‡šŸ»šŸ‘‡šŸ»

GROUP A
Issa mamba
Dogo athumani
Master monsta
Mtapa
Kimune
Rilo

GROUP B
Dogo ally
Amanisiri
Dogo jafari
Heriman
Ambundo
Christopher

GROUP C
Simba wa dodoma
Ally white
John kipaji
Saidi maziwa
Makofia
Dogo hamisi

GROUP D
Noeli namaloe (bingwa wa tz)
Iwobi
Geoerge mchunguzi
Dogo fahimu
Montolivo
Tindi kali

GROUP E
Omary kiwembe
Master mjape
Messi
Bingwa wa majohe
Kiduku
Mkubwa beka

GROUP F
Dogo shukuru
Dogo janja
Hemedi gaidi
Master chaula
Cortinyo
General mboma

GROUP G
Nduli
Saiya
Mzee ngapu
Serenge kete
Dogo haji
Kingo

GROUP H
Dogo sisco
Dogo paulo
Mayai
Changu changu
Mjomba shiza
Star dinyo

Katika kila Group watapita wachezaji wawili ili kupata 16 bora Ikumbukwe bingwa wa ligi hiyo kuondoka na shiringi MILIONI MOJA


Maelezo mengine utayapata kwenye Comment
Nje ya mada.. Hivi hayajapewa jina la mama kweli!?
 
Huyo dogo Sisco nakumbuka kwenye ligi za ndani nimewahi kumtoa knock out,imekuaje ameweza kuwazuia wakongwe wa huo mchezo?
 
Habari zenu humu ,wale wapenzi wa DRAFT ,ilifanyika ligi ya MABINGWA wa draft unaowajua wewe hapa TZ ,pale Java Lounge

Bingwa aliibuka dogo SISCO

Mashindano yalianza na hatua za makundi

Katika ligi ya kufungua mwaka wa 2025 waratibu wamewathibitisha washiriki 48 watakaowania kuondoka na kitita cha shiringi milioni moja,

HAYA NDIO MAKUNDI
šŸ‘‡šŸ»šŸ‘‡šŸ»šŸ‘‡šŸ»šŸ‘‡šŸ»šŸ‘‡šŸ»šŸ‘‡šŸ»

GROUP A
Issa mamba
Dogo athumani
Master monsta
Mtapa
Kimune
Rilo

GROUP B
Dogo ally
Amanisiri
Dogo jafari
Heriman
Ambundo
Christopher

GROUP C
Simba wa dodoma
Ally white
John kipaji
Saidi maziwa
Makofia
Dogo hamisi

GROUP D
Noeli namaloe (bingwa wa tz)
Iwobi
Geoerge mchunguzi
Dogo fahimu
Montolivo
Tindi kali

GROUP E
Omary kiwembe
Master mjape
Messi
Bingwa wa majohe
Kiduku
Mkubwa beka

GROUP F
Dogo shukuru
Dogo janja
Hemedi gaidi
Master chaula
Cortinyo
General mboma

GROUP G
Nduli
Saiya
Mzee ngapu
Serenge kete
Dogo haji
Kingo

GROUP H
Dogo sisco
Dogo paulo
Mayai
Changu changu
Mjomba shiza
Star dinyo

Katika kila Group watapita wachezaji wawili ili kupata 16 bora Ikumbukwe bingwa wa ligi hiyo kuondoka na shiringi MILIONI MOJA


Maelezo mengine utayapata kwenye Comment
Kumbe Rooney(Haruni) ni kitoko tu hayupo kundi lolote lile
 
Back
Top Bottom