Lijue Jeshi la North Korea - Uwezo wake na Nguvu zake. Kwanini USA wanaliogopa?

Lijue Jeshi la North Korea - Uwezo wake na Nguvu zake. Kwanini USA wanaliogopa?

Nani kakuambia neno nianze linasadifu kushindana?

Mimi nimekuachia nafasi uandike kila kitu ili nisije nikauliza swali ambalo ukaonekana bado ulikuwa hujamaliza kutoa sifa za hiyo silaha.

So peaceful, kama umemaliza niambie ili namimi niku challenge hizo sifa za silaha unazomsifia North Korea.
Punguza mbwembwe mdogo wangu. Umesema tuoneshe specifications na wewe utaweka majibu. Naona unaendelea kulalamika tu
Hwasong-13
1695034071422.png

Length
16 m PVB 18 m longer (12 to ± 20 m, improvements can be longer (RS-24\RT2PM2 dimensions))
Diameter 1.8 m (1.60–1.87 m) (if enlarged, like Hwasong-7 and other missiles)
Warhead nuclear
Engine Liquid, like the Hwasong-10
Propellant Liquid propellant
Hydrazine UDMH with IRFNA AK
TG02
NTO N204
Operational range
  • minimum 5,500km
  • 1,500–6,000 km (with IRFNA AK TG02)
  • 3,000–12,000 km (with other propellants, like NTO UDMH or LOX Kerosene)
 
Okay kwa hiyo latest series ya Hwasong ndio ilikuwa ile ya 18?

Maana yake vinavyofuata chini yake havijaweza kufika uwezo wake si ndio?
Malalamiko yameisha?

Hwasong-12​

1695034367608.png


Mass 24.7 tons
Height 16.5 m
Diameter 1.5 m
Warhead
  1. Conventional & nuclear
  2. Warhead weight 500-650 kg
Engine Liquid-propellant rocket, single chamber variant of Paektusan
464.1 kN total
Propellant Hypergolic combination of unsymmetrical dimethylhydrazine (UDMH) as fuel, and either Dinitrogen tetroxide (N
2O
4)
Operational range 3,700–6,000 km
 
Ninaanza na Strategic Weapon Kwanza sawa?

HWASONG-18 ICBM​

View attachment 2753394

Mass: 55-60 tons (estimated)
Length: 25 m
Diameter: 2 m
Warhead: nuclear weapon, possibly MIRV
Warhead weight: 2.25 - 2.5 t
Engine : three stage solid fuel rocket motor 140 t
Propellant: solid fuel
Operational range: 15,000 km
Flight altitude: 6,648 km
Source ya hii ni wapi?
 
Source ya hii ni wapi?
Naanza TACTICAL MISILE

KN-23​


1695035106913.png


Mass 3,415 kg (7,529 lb)
Length 8.7 m (29 ft) (early)
9.8 m (32 ft) (late)
Diameter 0.9 to 1.1 m (3 ft 7 in)
Warhead 500 kg (1,100 lb), nuclear and conventional
Engine solid composite propellant
Operational range
450 km (280 mi) (initial version, standard payload)
600 km (370 mi) (larger version, standard payload)
Guidance system Inertial navigation system (INS), possible satellite navigation
 
Kwahiyo wewe ndio umetumia kichwa chako kuandika huu upupu wako hapa? Acha kukaza fuvu kiazi wewe.
Mpaka hapa wewe ndio unakaza fuvu kizembe..... Wengine woote waliopitia hili bandiko hawajaona hiyo salamu!!?? Wewe ndio una chembechembe za udini na inaonyesha wazi unapokaza fuvu ..... Andika wewe salamu unayoona inakufaa.
 
Sio kwamba USA anamuogopa NK.....
1. Wao north Korea walishasema kama watachokozwa Kijeshi na USA, wao Kwa majibu ya fasta fasta wataanza na South Korea na Japan kwasababu wao ndio wanaomkaribisha huko rasi ya korea. Haijalishi kama wao wanamchango katika chokochoko hizo

2. Kwakua inajulikana wazi kabisa kua Russia ndiye baba mzazi wa NK. Marekani anajiuliza je vita itakapoanza baba huyu mzazi atakaa na kufunga mikono nyuma huku akiangalia mwanae akichapika. Vipi kuhusu baba mlezi ambaye ni china naye ataangalia tu??
3. Wamarekani Bado wana maswali mengi juu ya balance of power in Korean peninsula na southern china sea kama NK ataivamia Japan na South Korea.
Wamarekani sio mafwala
Huo ubaba uneanza lini kila nchi inashida zake kibao.
 
Ninaanza na Strategic Weapon Kwanza sawa?

HWASONG-18 ICBM​

View attachment 2753394

Mass: 55-60 tons (estimated)
Length: 25 m
Diameter: 2 m
Warhead: nuclear weapon, possibly MIRV
Warhead weight: 2.25 - 2.5 t
Engine : three stage solid fuel rocket motor 140 t
Propellant: solid fuel
Operational range: 15,000 km
Flight altitude: 6,648 km
Hakuna ICBM ya North Korea yenye kufika uwezo kwenye hii LGM-30G Minuteman intercontinental ballistic missile (ICBM)
1695036181543.png


1695035990129.png
 
Mpaka hapa wewe ndio unakaza fuvu kizembe..... Wengine woote waliopitia hili bandiko hawajaona hiyo salamu!!?? Wewe ndio una chembechembe za udini na inaonyesha wazi unapokaza fuvu ..... Andika wewe salamu unayoona inakufaa.
Wewe kama unaishi kwa kuangalia wengine basi endelea na huo undezi wako,kwahiyo kila kitu mtu anatakiwa asubiri kwanza kuona wengine wanasemaje au wanaonaje? ulifanya vizuri sana kujiita Mtoto wa nzi
 

Mzee nataka nianze kuongelea Tactical Missile kama upo na swali uliza haraka nikusaidie
Kwa hiyo zile specs ulizoweka pale ulikuwa umejitngia? Maana kwenye source yako hakuna maelezo hayo ynayoelezea sifa za hiyo ICBM

1695036792236.png
 
Weka proof mzee. Haya yote uliyoyaandika tunayajua since Korean War
Nyie ndiyo wale mnaamini kitu kinaitwa utafuti na unakataa uhalisia unao onekana hapa unataka ngonjera nyingi zisizo naaama, kiufupi America na Korea ni sawa uwapambanishe ulingoni Antony Joshua na Matumula au Mandonga, watapigwa wafe
 
Nyie ndiyo wale mnaamini kitu kinaitwa utafuti na unakataa uhalisia unao onekana hapa unataka ngonjera nyingi zisizo naaama, kiufupi America na Korea ni sawa uwapambanishe ulingoni Antony Joshua na Matumula au Mandonga, watapigwa wafe
Mzee kama umeshindwa discussion ni bora ukae kimya. Huwezi kutupangia cha kuonge.
 
Back
Top Bottom