Lijue tatizo jipya la kisaikolojia ambapo mtu aliyepata "mafanikio" kwenye maisha yake huamini kwamba watu wake wa karibu wanamchukia

Lijue tatizo jipya la kisaikolojia ambapo mtu aliyepata "mafanikio" kwenye maisha yake huamini kwamba watu wake wa karibu wanamchukia

Brother, I will try to kill a Judas cause he will hang himself.

Siwezi kumfuatilia kwa chochote cause I don't like his behaviour.

Kuhusu kutowahi kutoka nje ya Afrika hilo ndilo limemfanya anichukie mpaka leo kwa sababu Mimi nimewahi toka nje ya Afrika mara nyingi na sijaenda kimasomo.

Nimeenda nje ya Afrika before him so amejenga chuki kwa sababu akiamini yeye ndo alipaswa kuwa ameenda abroad before me.


Niliposikia kajenga ukweni kwao nilijisikia vibaya sana na Mimi nikajenga nyumba nje ya mji nokawapa zawadi wazazi wangu baba na mama waishi. Pamoja na kwamba baba na mama hawakuwa na shida ya nyumba lakini nilifanya hivyo kuwapa ile faraja " mtoto wetu katujengea nyumba"

He is hating on me for that mkuu haongei na Mimi toka 2019.

Ndio maana nikasema ukisha muwa na hii mentality is kudhani kwamba wewe umefanikiwa kushinda watu wengine na kwamba they envy on you u can end up being a witch when u realize that they are actually richer than you and they dont give a inch about you.

Kuna tajiri mmoja maarufu jijini Dar anatoka mkoa jina siutaji yeye ana ofisi kubwa sana hapo mjini. Na yeye ana tabia hii.

Yeye alicho kifanya ni kuwafunga ndugu zake wote walio Soma au wanao pambana kutoka.

Kuwafunga vipi?

Kawaajiri kwenye biashara na makampuni yake. Maana yake ni kwamba yeye ndo anaamua wapate hela kiasi gani kwa mwezi.


Ukionekana umepiga hatua kidogo kimaendeleo anasema unamuibia.


Mkuu Mimi kwa filosofi yangu ya maisha ni ngumu mno kumuonea wivu mtu kwa sababu naamini kwa vitendo:

1. Duniani tunapita( duniani tupo stendi)


2. We did not create this world it was rather given to us or forced upon us.


Yani nimuonee wivu wa kimaendeleo mtu ambae nimekutana nae stendi.
huyu jamaa aliyewafunga ndugu zake anatokea mkoa wa Kilimanajro wilaya ya Rombo, ana kiwanda cha ngozi na viatu salasala na maduka kariakoo bila shaka ndio yeye
 
Kwenye kutembea hapo nimecheka sana asante bro LIKUD

Umenikumbusha mbali kidogo , nimepata kitambi nikiwa chuo mwaka wa pili sasa utembeaji nikajikuta umebadilika kama vile nina kiriba tumbo .

Nikikutana na ndugu zangu wanasema nimeyapatia maisha kabla ya kazi mpaka mwendo umebadilika kumbe wasijue ongezeko la tumbo langu basi napata shida kutembea kama zamani .

[emoji3]

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye kutembea hapo nimecheka sana asante bro LIKUD

Umenikumbusha mbali kidogo , nimepata kitambi nikiwa chuo mwaka wa pili sasa utembeaji nikajikuta umebadilika kama vile nina kiriba tumbo .

Nikikutana na ndugu zangu wanasema nimeyapatia maisha kabla ya kazi mpaka mwendo umebadilika kumbe wasijue ongezeko la tumbo langu basi napata shida kutembea kama zamani .

[emoji3]

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣

Mwenzako anatembea hivyo lakini hana kitambi
 
ukijenga nyumba ukweni na kusomesha mashemeji lazima udharauliwe tu mkuu.


Tena kajenga nyumba mbili moja kwa baba mkwe ( kijijini) nyingine kwa mama mke( kijijini)

Source : Yeye mwenyewe anajisifu. Mtu kama huyu usipomdharau basi hutokuja kudharau mtu mwingine tena.
Kukali familia ya mke ndio kufanye udharauliwe inakuaje tena mbona kama watu mmezidiwa na roho mbaya yaani kujali familia ya mtu anayekupikia, kufulia, kukuzalia, kulea watoto na kukupa utamu ipi sababu ya kudharauliwa wakati inabidi apongezwe kwa kurudisha fadhila.
 
Yes I have more money than him kwa sababu pesa inaongea.

N.a. yeye mwenyewe ameshalijua hili mkuu ndio maana amesusa kuongea na Mimi tangu 2019.

Yeye pesa aliyokuwa nayo yote kajenga ukweni nyumba mbili moja nyumbani kwao na baba mkwe na nyingine nyumbani kwao na mama mkwe na nyingine kamjengea mke wake.

Sasa hivi amekuwa mlokole kutoka kwenye uislamu kafuata dini ya wakwe.

Kajiunga kwenye makanisa ya nitume na manabii( makanisa ya wacongo South Africa huko anaishi huko/ mliofika dizonga mnajua kwamba mitume na manabii wakicongo wenye makanisa SA wengi wao ni wachawi/waganga)

Wanampa story za Jacobo na Esau.

Wamemwambia kwamba eti Mimi na kaka angu ninae mfuatia tumechukua nyota yake.

Kaka angu ninae mfuatia alikataaga shule akiwa darasa la saba akaingia kwenye ufundi gereji ila ana nidhamu sana ya maisha na hela amejiweka vizuri . For more than 20 years alikuwa ana save sasa amefanya vitu vikubwa sana.


Mwanaume akishafikia hatua hii ya kuwa amini hawa mitume na manabii to extent of executing their orders basi jua amekuwa bogus kabisa.
"*Watu wanamchora wanamuona to bishoo kwa sababu some of us have more money than him.""

Sasa mtoa mada amejuaje ana hela kuliko kaka yake?

Kwani pesa ndiyo utajiri, au utajiri ni uwekezaji/mali?
 
Brother, I will never try to kill a Judas knowing that he will end up hang himself.

Siwezi kumfuatilia kwa chochote cause I don't like his behaviour.

Kuhusu kutowahi kutoka nje ya Afrika hilo ndilo limemfanya anichukie mpaka leo kwa sababu Mimi nimewahi toka nje ya Afrika mara nyingi na sijaenda kimasomo.

Nimeenda nje ya Afrika before him so amejenga chuki kwa sababu aliamini yeye ndo alipaswa kuwa ameenda abroad before me.


Niliposikia kajenga ukweni kwao nilijisikia vibaya sana na Mimi nikajenga nyumba nje ya mji nikawapa zawadi wazazi wangu baba na mama waishi. Pamoja na kwamba baba na mama hawakuwa na shida ya nyumba lakini nilifanya hivyo kuwapa ile faraja " mtoto wetu katujengea nyumba"

He is hating on me for that mkuu haongei na Mimi toka 2019.

Ndio maana nikasema ukisha kuwa na hii mentality ya kudhani kwamba wewe umefanikiwa kushinda watu wengine na kwamba they envy on you u can end up being a witch when u realize that they are actually richer than you and they dont give a inch about you.

Kuna tajiri mmoja maarufu jijini Dar anatoka mkoa jina siutaji yeye ana ofisi kubwa sana hapo mjini. Na yeye ana tabia hii.

Yeye alicho kifanya ni kuwafunga ndugu zake wote walio Soma au wanao pambana kutoka.

Kuwafunga vipi?

Kawaajiri kwenye biashara na makampuni yake. Maana yake ni kwamba yeye ndo anaamua wapate hela kiasi gani kwa mwezi.


Ukionekana umepiga hatua kidogo kimaendeleo anasema unamuibia.


Mkuu Mimi kwa filosofi yangu ya maisha ni ngumu mno kumuonea wivu mtu kwa sababu naamini kwa vitendo:

1. Duniani tunapita( duniani tupo stendi)


2. We did not create this world it was rather given to us or forced upon us.


Yani nimuonee wivu wa kimaendeleo mtu ambae nimekutana nae stendi.
Brother wewe ndio mchawi na hayo ni matokeo ya chuki dhidi yake unapata kile unachostaili kulingana na matendo yake kwake.
 
Aisee! Nimesikitika jinsi unavyomuonea wivu kaka ako, anatembea kawaida sema nyie wenye roho za korosho mnatafsiri ubishoo
Huyu jamaa atakuwa ana matunguli baada ya kufurahia kuwa katika familia ambayo wanajiweza anaanza kumdiss braza wake.. so kwa alichoandika ni wazi alitaka yeye ndio awe amefanikiwa katika family nzima ila aanze kudisrespect wakubwa zake
 
Kukali familia ya mke ndio kufanye udharauliwe inakuaje tena mbona kama watu mmezidiwa na roho mbaya yaani kujali familia ya mtu anayekupikia, kufulia, kukuzalia, kulea watoto na kukupa utamu ipi sababu ya kudharauliwa wakati inabidi apongezwe kwa kurudisha fadhila.
Acha utoto basi mkuu. Wewe unaweza kwenda kujenga nyumba kwa wakwe zako tena 2 moja kwao na baba mkwe nyingine kwao na mama mkwe? Halafu wazazi wako walio kulea unawapa elfu hamsini?

Najua unatania mkuu ila kama.una maanisha basi ni inna lilahi wa ina ilahyi rajuun
 
Acha utoto basi mkuu. Wewe unaweza kwenda kujenga nyumba kwa wakwe zako tena 2 moja kwao na baba mkwe nyingine kwao na mama mkwe? Halafu wazazi wako walio kulea unawapa elfu hamsini?

Najua unatania mkuu ila kama.una maanisha basi ni inna lilahi wa ina ilahyi rajuun
Wapo wanaofanya hivyo kweli ama ni porojo za vijiweni?
 
Wapo wanaofanya hivyo kweli ama ni porojo za vijiweni?
Kaka angu kafanya hivyo mkuu. My brother from the SAME FATHER mother.


1. Kajenga nyumba mbili ukweni kwao moja kwao mama mkwe nyingine kwao baba mkwe ( wazaa chema wake)


2. Nyingine ni nyumba yake mjini ambayo literally ni nyumba ya now wake..

Tembea uone ndugu yangu
 
Acha utoto basi mkuu. Wewe unaweza kwenda kujenga nyumba kwa wakwe zako tena 2 moja kwao na baba mkwe nyingine kwao na mama mkwe? Halafu wazazi wako walio kulea unawapa elfu hamsini?

Najua unatania mkuu ila kama.una maanisha basi ni inna lilahi wa ina ilahyi rajuun
Kwa hiyo brother kapigwa shuntama kwa kihaya kwa kiswahili fasaha limbwata[emoji23][emoji23].. kaa kwa kutulia ni wazi braza kaka ana hela kukuzidi kujenga nyumba mbili ukweni kunathibitisha hilo
 
Wewe unaesoma Uzi huu bila shaka :

1. Umewahi KUKUTANA na mtu mwenye tatizo kama hili. Au

2. Wewe mwenyewe una tatizo hilo ila hujui kama upo nalo.

Tatizo hili mara nyingi humkuta mtu ambae amepiga hatua kidogo kwenye maisha au amepata breakthrough kiuchumi jambo ambalo yeye analitafsiri kama mafanikio..


Mtu huyu ataanza kuamini kwamba watu waliomzunguka hususani watu wake wa karibu ambao yeye ana amini amewazidi ki maisha, wanamchukia ama wanamuonea wivu and he will start to act and behave accordingly.

Ninayo mifano hai miwili:

1. Mpangaji wetu mwaka 2003.

Huyu jamaa alikuwa ndo kamaliza shule pale udsm. Alikuja kupanga nyumbani kwetu. Mwanzoni maisha yake yalikuwa magumu sana alikuwa analala chini na alidumu katika hali hiyo for almost 2 months. Mbaya zaidi wapangaji wenzake walikuwa wanamtangaza kwa watu kwamba analala chini.

Alipopiga buu baa alinunua gari halafu pale kwenye chumba na sebule alichopanga akaweka tv Kali fenicha na Mziki mnene..

Mbaya zaidi akawa anapiga muziki kwa sauti ya juu. Wapangaji wenzake wakimwambia apunguze sauti akawa anawafanyia ukaidi. Wakamshitaki kwa mshua( baba mwenye nyumba) ambae yeye alikuwa haishi hapo.

Mshua alipozungumza na jamaa, jamaa akasema wanamuonea wivu tu.

Baada ya tabia ya jamaa kuendelea mshua akampa notice. Jamaa kaondoka na kwenda kupanga sehemu nyingine huku akiwa ana amini kwamba amefukuzwa kwenye nyumba kwa sababu watu wanamuonea husda " mafanikio" yake na sio kwa sababu ya usumbufu wake kwa majirani.


Mfano wa pili: my own brother.


1. He is my own brother from the SAME -FATHER MOTHER.

2. Tumezaliwa tumbo moja ila mimba mbalimbali.


3. He is the first born in our family. He was born in the 70s. Mimi namfuata mara ya 5 am the last born in the family.

4. Alikuwa mtu wa kwanza kwenye familia yetu na partly kwenye ukoo wetu;

I. Kufika chuo kikuu
ii. Kununua gari.
Iii. Kutoka nje ya Tanzania ( sio nje ya Afrika/ hajawahi toka nje ya Afrika).

iii. Kujenga nyumba.

iv. Kujenga nyumba ukweni( he will be the first and the last to do this kind of abomination)


Kwa sababu hiyo jamaa kwa muda mrefu sana amekuwa akiamini sana kwamba yeye ndio mtu mwenye mafanikio kuliko watu wote kwenye familia yetu na partly ukoo wetu.


Na amekuwa aki behave accordingly. Hata tembea yake akija kwenye vikao na matukio ya familia na ukoo huwaga anatembea kama mtu ambae ametoka kucheza mpira wa ndondo amechoka jambo ambalo tafsiri yake kisaikolojia ni kwamba anaamini ameshayamaliza na kwamba nyinyi watu wengine mnacheza...

Watu wanamchora wanamuona to bishoo kwa sababu some of us have more money than him.

Kama wewe unaesoma Uzi huu upo kwenye kundi hilo please wacha mara moja tabia hiyo kwa sababu mwisho wa siku watu wenye tatizo hili huwaga wanaishia kuwa wachawi hasa pale unapoona watu ambao unadhani wewe unapesa kushinda wao, wana mafanikio makubwa kushinda wewe and they dont act strangely as you do.

Ogopa sana mchawi wa namna hii kwa sababu yupo tayari hata kuchinja n'gombe mmoja kila siku ili usifanikiwe...

maoni hatari!

mtu akichukia umasikini na akapambana nao ndani na nje ya nchi kumbe huko ni kujiona bora?

Sisi ambao hatujatoka kiuchumi tuendelee na vita zetu tuone inawaje!
 
Yes I have more money than him kwa sababu pesa inaongea.

N.a. yeye mwenyewe ameshalijua hili mkuu ndio maana amesusa kuongea na Mimi tangu 2019.

Yeye pesa aliyokuwa nayo yote kajenga ukweni nyumba mbili moja nyumbani kwao na baba mkwe na nyingine nyumbani kwao na mama mkwe na nyingine kamjengea mke wake.

Sasa hivi amekuwa mlokole kutoka kwenye uislamu kafuata dini ya wakwe.

Kajiunga kwenye makanisa ya nitume na manabii( makanisa ya wacongo South Africa huko anaishi huko/ mliofika dizonga mnajua kwamba mitume na manabii wakicongo wenye makanisa SA wengi wao ni wachawi/waganga)

Wanampa story za Jacobo na Esau.

Wamemwambia kwamba eti Mimi na kaka angu ninae mfuatia tumechukua nyota yake.

Kaka angu ninae mfuatia alikataaga shule akiwa darasa la saba akaingia kwenye ufundi gereji ila ana nidhamu sana ya maisha na hela amejiweka vizuri . For more than 20 years alikuwa ana save sasa amefanya vitu vikubwa sana.


Mwanaume akishafikia hatua hii ya kuwa amini hawa mitume na manabii to extent of executing their orders basi jua amekuwa bogus kabisa.
Ninahisi unashindana na mtu ambaye hashindani. Halafu wewe ni ndugu lawama.

Huwezi kumpangia mtu namna ya kutumia mali yake. Tafuta zako mkuu ili uwe na amani.

Pole
 
Back
Top Bottom