Lijue tatizo jipya la kisaikolojia ambapo mtu aliyepata "mafanikio" kwenye maisha yake huamini kwamba watu wake wa karibu wanamchukia

Lijue tatizo jipya la kisaikolojia ambapo mtu aliyepata "mafanikio" kwenye maisha yake huamini kwamba watu wake wa karibu wanamchukia

ukijenga nyumba ukweni na kusomesha mashemeji lazima udharauliwe tu mkuu.


Tena kajenga nyumba mbili moja kwa baba mkwe ( kijijini) nyingine kwa mama mke( kijijini)

Source : Yeye mwenyewe anajisifu. Mtu kama huyu usipomdharau basi hutokuja kudharau mtu mwingine tena.
Hapa kuna kosa gani??
Kama amezaa na huyo mwanamke wake huoni kama ni vema sana hayo aliyoyafanya??
Mm nazani ameandaa mazingra mazuri ya watoto wake pindi watakapokuwa wanatembelea babu na bibi yao.

Unajisikiaje mjini mkae sehemu safi lkn kijijin ambako niko kwenye asili yenu kuko ovyo??
Mm binafsi nampongeza jamaa KWa kuweka mazingira rafiki KWa wanawe hapo mbeleni
 
Hapa kuna kosa gani??
Kama amezaa na huyo mwanamke wake huoni kama ni vema sana hayo aliyoyafanya??
Mm nazani ameandaa mazingra mazuri ya watoto wake pindi watakapokuwa wanatembelea babu na bibi yao.

Unajisikiaje mjini mkae sehemu safi lkn kijijin ambako niko kwenye asili yenu kuko ovyo??
Mm binafsi nampongeza jamaa KWa kuweka mazingira rafiki KWa wanawe hapo mbeleni
Okay
 
Binafsi sikubaliani na hoja yako!

Na mimi ntatoa tu mfano mmoja kati ya michache niliyonayo...!

Nimezaliwa na kukulia Uswahilini, kama unavyojua Uswahili huwa kuna Vijiwe tofauti tofauti, ambavyo uhusisha watu wanaofahamiana, yani Mtu ataenda Mishe zake, ama mihangaiko yake, na ikifika mida flani unakuta kijiwe kimejaa, hawa wakipiga story hizi hapa, hawa wanaongea kuhusu hili n.k...!

Nilikua miongoni mwa Vijana wadogo kwenye Kijiwe hiki, na wengi wao walikua Ma brother!

Kuna siku anapita Brother akiwa na Usafiri, ndo Usafiri wake wa kwanza, kapaki kijiweni akashuka na kusalimia kila mtu, baadaye akaanza kumwambia Brother mwingine ambaye alikua Best yake sana, kwamba mbona hawatafutani, amtafute basi wapeane michongo, jamaa akamwambia u busy ndo unachangia (Japo hakuwa na issue yoyote, kula kulala).

Brother mwenye gari anamwambia yeye anaenda kumcheki Bi mkubwa wake kama vipi aje home kwao, jamaa akamwambia soon atakuja, basi yule Brother mwenye usafiri akaondoka, Kijiweni wakaanza kumjadiri, kwamba anafanya issue gani mpaka kanunua gari!?

Mwingine akaleta taarifa kijiweni tu kuwa sio gari tu, kanunua na Nyumba Mbezi Beach!

Mmoja akamwambia yule best yake wa muda mrefu kuwa aende home kwao, si kaambiwa kuwa atapewa Mchongo, jamaa akajibu "Aaah, siendi, ataona kama najikomba kwake..!"

Nikashuhudia mara nyingi jamaa akipita kijiweni kwenda kumsalimia Bi. Mkubwa wake lazima asimame ashushe Kioo cha gari asalimie, lakini kuna Mabrother pale kijiweni wengine wanajifanya hawajamuona au kusikia salamu yake, akipita yanaanza maneno, Jamaa atakua anajiskia sana sasa hivi n.k..!

Baada ya yule Brother kugundua kwamba watu pale Maskani ya Mtaa ambao amezaliwa kama vile hawajari hata salamu yake, akawa akipita anapiga tu Hodi... Mwendo.... Baadaye akawa hata Honi hapigi, anapita zake tu kwenda kumcheck Bi. Mkubwa wake...!!

Kuna watu hasa Waswahili mtu wa karibu akipiga hatua, wao ndo wanakua wa kwanza kujiweka mbali nae, halafu huku pembeni wanaanza kuongea maneno yasio na maana!!!

Badala ya kuendelea kuwa karibu nae ili kupata maujanja how come from no where jamaa kapata pesa....!

Na watu ambao wanajiweka mbali nawe, na wewe kaa mbali nao, coz ukilazimisha, wanaweza kukushusha kwa njia zozote zile ili muendelee kuwa level moja...!
 
Wewe unaesoma Uzi huu bila shaka :

1. Umewahi KUKUTANA na mtu mwenye tatizo kama hili. Au

2. Wewe mwenyewe una tatizo hilo ila hujui kama upo nalo.

Tatizo hili mara nyingi humkuta mtu ambae amepiga hatua kidogo kwenye maisha au amepata breakthrough kiuchumi jambo ambalo yeye analitafsiri kama mafanikio..


Mtu huyu ataanza kuamini kwamba watu waliomzunguka hususani watu wake wa karibu ambao yeye ana amini amewazidi ki maisha, wanamchukia ama wanamuonea wivu and he will start to act and behave accordingly.

Ninayo mifano hai miwili:

1. Mpangaji wetu mwaka 2003.

Huyu jamaa alikuwa ndo kamaliza shule pale udsm. Alikuja kupanga nyumbani kwetu. Mwanzoni maisha yake yalikuwa magumu sana alikuwa analala chini na alidumu katika hali hiyo for almost 2 months. Mbaya zaidi wapangaji wenzake walikuwa wanamtangaza kwa watu kwamba analala chini.

Alipopiga buu baa alinunua gari halafu pale kwenye chumba na sebule alichopanga akaweka tv Kali fenicha na Mziki mnene..

Mbaya zaidi akawa anapiga muziki kwa sauti ya juu. Wapangaji wenzake wakimwambia apunguze sauti akawa anawafanyia ukaidi. Wakamshitaki kwa mshua( baba mwenye nyumba) ambae yeye alikuwa haishi hapo.

Mshua alipozungumza na jamaa, jamaa akasema wanamuonea wivu tu.

Baada ya tabia ya jamaa kuendelea mshua akampa notice. Jamaa kaondoka na kwenda kupanga sehemu nyingine huku akiwa ana amini kwamba amefukuzwa kwenye nyumba kwa sababu watu wanamuonea husda " mafanikio" yake na sio kwa sababu ya usumbufu wake kwa majirani.


Mfano wa pili: my own brother.


1. He is my own brother from the SAME -FATHER MOTHER.

2. Tumezaliwa tumbo moja ila mimba mbalimbali.


3. He is the first born in our family. He was born in the 70s. Mimi namfuata mara ya 5 am the last born in the family.

4. Alikuwa mtu wa kwanza kwenye familia yetu na partly kwenye ukoo wetu;

I. Kufika chuo kikuu
ii. Kununua gari.
Iii. Kutoka nje ya Tanzania ( sio nje ya Afrika/ hajawahi toka nje ya Afrika).

iii. Kujenga nyumba.

iv. Kujenga nyumba ukweni( he will be the first and the last to do this kind of abomination)


Kwa sababu hiyo jamaa kwa muda mrefu sana amekuwa akiamini sana kwamba yeye ndio mtu mwenye mafanikio kuliko watu wote kwenye familia yetu na partly ukoo wetu.


Na amekuwa aki behave accordingly. Hata tembea yake akija kwenye vikao na matukio ya familia na ukoo huwaga anatembea kama mtu ambae ametoka kucheza mpira wa ndondo amechoka jambo ambalo tafsiri yake kisaikolojia ni kwamba anaamini ameshayamaliza na kwamba nyinyi watu wengine mnacheza...

Watu wanamchora wanamuona to bishoo kwa sababu some of us have more money than him.

Kama wewe unaesoma Uzi huu upo kwenye kundi hilo please wacha mara moja tabia hiyo kwa sababu mwisho wa siku watu wenye tatizo hili huwaga wanaishia kuwa wachawi hasa pale unapoona watu ambao unadhani wewe unapesa kushinda wao, wana mafanikio makubwa kushinda wewe and they dont act strangely as you do.

Ogopa sana mchawi wa namna hii kwa sababu yupo tayari hata kuchinja n'gombe mmoja kila siku ili usifanikiwe...
Mimi nina pinga kichwa cha uzi wako,siyo ugonjwa bali ndio ukweli uko hivyo.
 
Utajiri wa ukubwani huwa una matatizo yake tofauti na ule wa kuukuta na kukua nao. Tajiri wa ukubwani hata ukimsalimia anaona unataka kumuomba hela
 
Sio kila sehemu kuna maeneo ambayo lazima uongee tu...

Sio kila sehemu kuna maeneo ambayo lazima uongee tu...

Mt 20:15 SUV​

Si halali yangu kutumia vilivyo vyangu kama nipendavyo? Au jicho lako limekuwa ovu kwa sababu ya mimi kuwa mwema?

Stori yako haitofautiani na majibu haya ya Yesu.

Mtu kama hafanyi uhalifu wala dhambi katika matumizi yake usimuingilie.
Hata ajenge maelfu ya nyumba Ukweni sio kosa kisheria za dini, nchi na popote pale.

Thamani unayoiona ya mzazi wako sio lazima yeye aione.
 
Hahahahahaha anatembea kama katoka kucheza ndondo....
Hapo kama namuona kwapa kalitanua kidogo kama ana vijipu uchungu vileee kwenye kwapaa
Miguuni kaunda tege flani hivi anadindika kama kangaroo
 
Wewe unaesoma Uzi huu bila shaka :

1. Umewahi KUKUTANA na mtu mwenye tatizo kama hili. Au

2. Wewe mwenyewe una tatizo hilo ila hujui kama upo nalo.

Tatizo hili mara nyingi humkuta mtu ambae amepiga hatua kidogo kwenye maisha au amepata breakthrough kiuchumi jambo ambalo yeye analitafsiri kama mafanikio..


Mtu huyu ataanza kuamini kwamba watu waliomzunguka hususani watu wake wa karibu ambao yeye ana amini amewazidi ki maisha, wanamchukia ama wanamuonea wivu and he will start to act and behave accordingly.

Ninayo mifano hai miwili:

1. Mpangaji wetu mwaka 2003.

Huyu jamaa alikuwa ndo kamaliza shule pale udsm. Alikuja kupanga nyumbani kwetu. Mwanzoni maisha yake yalikuwa magumu sana alikuwa analala chini na alidumu katika hali hiyo for almost 2 months. Mbaya zaidi wapangaji wenzake walikuwa wanamtangaza kwa watu kwamba analala chini.

Alipopiga buu baa alinunua gari halafu pale kwenye chumba na sebule alichopanga akaweka tv Kali fenicha na Mziki mnene..

Mbaya zaidi akawa anapiga muziki kwa sauti ya juu. Wapangaji wenzake wakimwambia apunguze sauti akawa anawafanyia ukaidi. Wakamshitaki kwa mshua( baba mwenye nyumba) ambae yeye alikuwa haishi hapo.

Mshua alipozungumza na jamaa, jamaa akasema wanamuonea wivu tu.

Baada ya tabia ya jamaa kuendelea mshua akampa notice. Jamaa kaondoka na kwenda kupanga sehemu nyingine huku akiwa ana amini kwamba amefukuzwa kwenye nyumba kwa sababu watu wanamuonea husda " mafanikio" yake na sio kwa sababu ya usumbufu wake kwa majirani.


Mfano wa pili: my own brother.


1. He is my own brother from the SAME -FATHER MOTHER.

2. Tumezaliwa tumbo moja ila mimba mbalimbali.


3. He is the first born in our family. He was born in the 70s. Mimi namfuata mara ya 5 am the last born in the family.

4. Alikuwa mtu wa kwanza kwenye familia yetu na partly kwenye ukoo wetu;

I. Kufika chuo kikuu
ii. Kununua gari.
Iii. Kutoka nje ya Tanzania ( sio nje ya Afrika/ hajawahi toka nje ya Afrika).

iii. Kujenga nyumba.

iv. Kujenga nyumba ukweni( he will be the first and the last to do this kind of abomination)


Kwa sababu hiyo jamaa kwa muda mrefu sana amekuwa akiamini sana kwamba yeye ndio mtu mwenye mafanikio kuliko watu wote kwenye familia yetu na partly ukoo wetu.


Na amekuwa aki behave accordingly. Hata tembea yake akija kwenye vikao na matukio ya familia na ukoo huwaga anatembea kama mtu ambae ametoka kucheza mpira wa ndondo amechoka jambo ambalo tafsiri yake kisaikolojia ni kwamba anaamini ameshayamaliza na kwamba nyinyi watu wengine mnacheza...

Watu wanamchora wanamuona to bishoo kwa sababu some of us have more money than him.

Kama wewe unaesoma Uzi huu upo kwenye kundi hilo please wacha mara moja tabia hiyo kwa sababu mwisho wa siku watu wenye tatizo hili huwaga wanaishia kuwa wachawi hasa pale unapoona watu ambao unadhani wewe unapesa kushinda wao, wana mafanikio makubwa kushinda wewe and they dont act strangely as you do.

Ogopa sana mchawi wa namna hii kwa sababu yupo tayari hata kuchinja n'gombe mmoja kila siku ili usifanikiwe...
Hii psychology inanisumbua mie mno buy infact I have $250k kwenye akaunti
 
Back
Top Bottom