Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye zama hizi za intanet,hakuna siri tena.Tanzania hatuna usiri wa vitu nyeti kama hivi?.
Vitani mtaenda wenyewe watanganyika mufe zanzibr haituhusu hiyo vita.
Lakini twende mbele na kurudi nyuma.
Inflation rate sasa hivi sijui 15% tukienda vitani si itafika 30%
La muhimu hapa kuweka mipango ya muda mrefu ili tuweke rais wetu hapo Rwanda kama vile tulivyofanya Burundi na Condo.
Niko tayari kufa kwa ajili ya Nchi yangu
Rwanda hawawezi kutunyima Usingizi
Hizo taarifa za lini Inflation sasa hivi imeshafika kwenye single digit.
Mwanajeshi gani kavujisha siri kamwambia Mwanakijiji mipango ya Jeshi letu.
Wanajeshi wanamna hii ni hatari kwa kutoa siri wanaweza hata kusaidiana na maadui zetu kutuhujumu.
Mkuu wa majeshi kuwa makini na vijana wako.
Tukiingia vitani nitavaa kombati na kwenda mstari wa mbele, sio kwasababu napenda vita la hasha, sio kwasababu ninamuunga mkono Mr dhaifu hata kidogo, sio kwasababu ninawachukia wanyaranda hapana ila kwasababu naipenda Tanzania.
Moja Tayari tutakuwa na vita ngumu sana kwani Kagame amesha-mpbilize Kenya na Rwanda sijui Burundi wako upande gani, na ukweli tatizo sio kauli ya Jk kuhusu waasi, utakuwa ni mpango wa Muda mrefu wa maadui zetu.
Kwa sasa naomba kila Mtanzania tuwe wamoja, acheni siasa na acheni mzaha, vita inahusu nchi na haihusu mtu, wakiweza kutuchapa atakayeathirka ni sisi. Usalama wa Taifa jamii uanze mara moja, kila mgeni ambaye hujui katokea wapi mripoti mara moja kitua cha polisi, bila kujali ni Mkenya, Mganda, Mnyarwanda au Mrundi. Kagame atawaingiza kwa kutumia njia mbali mbali. Kipindi cha kupima uzalendo na uzawa ni wakati wa vita.
Wamesema mengi na wanafanya mengi. I hate this. Walituchezea mchanga 1977 tukaachwa mbaya, na sasa wanataka tena kutuchezea cheusi chekundu.
Mwisho busara na uwezo wote utumike kuepusha vita , iwe ni suluhisho la mwisho, ila tusisubiri kutiwa vidole vya macho. Tayari nimeanza kufua kombati zangu na buti. Haya kama inabidi tuanze mapema kuchangia chakula na maji ya wanajeshi wetu tuambiwe mapema, tujiandae vizuri. Hatuji aadui ni wangapi ila tunao wengi, hasa mabebru wanaotaka gesi na madini.
zikitoka izo nafasi za kujitolea naomba niwe wakwanza kujiandikishaa.. Nimechoka kucheza game za mission kwenye ps3 yangu, nataka kiukweliukweli....
kwa mchezo waliokuwa wanaufanya kule mtwara usikute wanatamani kwenda kubaka vimwana wa kwa KAGAME..
Mie nawashangaa sana nyie mnaohubiri vita hii ya kujitakia!Kama kweli hii vita itakuwapo basi mie naiita vita ya kipropaganda zaidi!Mmeshindwa kutimiza ahadi zenu sasa mnajaribu kutuingiza kwenye vita ili mpate kisingizio cha kutotimiza ahadi zenu!Tumepiga kelele mara kadhaa kwamba mkamate mafisadi mmekataa!
Tumeimba msinyang'anye ardhi kutoka kwa wazawa kuwapa wageni mmenyamaza!
Tumewaambia muwakamate wauza madawa ya kulevya mmegoma!
Tumetaka muwakamate walioua waandishi wa habari mmewapandisha vyeo!
Tumewataka muwakamate walioiba twiga wetu mmetushambulia!
Tumewata muwajibike kwa kuvunja katiba ya nchi kwa kusema 'wapigwe tu' mmetudharau!
LEO HII MNATUAMBIA TUWE WAZALENDO!!!!!?
UZALENDO MY **ASS**!!?
Kapiganeni ninyi,wake zenu,wanenu na hao WEZI wa mali zetu MNAOWALINDA!
HII NAYO NI KAZI YA JESHI?msiwe wepesi wa kwenda mtwara kubaka dada zetu nendeni mkabake wanyarwanda..
Mie nawashangaa sana nyie mnaohubiri vita hii ya kujitakia!Kama kweli hii vita itakuwapo basi mie naiita vita ya kipropaganda zaidi!Mmeshindwa kutimiza ahadi zenu sasa mnajaribu kutuingiza kwenye vita ili mpate kisingizio cha kutotimiza ahadi zenu!Tumepiga kelele mara kadhaa kwamba mkamate mafisadi mmekataa!
Tumeimba msinyang'anye ardhi kutoka kwa wazawa kuwapa wageni mmenyamaza!
Tumewaambia muwakamate wauza madawa ya kulevya mmegoma!
Tumetaka muwakamate walioua waandishi wa habari mmewapandisha vyeo!
Tumewataka muwakamate walioiba twiga wetu mmetushambulia!
Tumewata muwajibike kwa kuvunja katiba ya nchi kwa kusema 'wapigwe tu' mmetudharau!
LEO HII MNATUAMBIA TUWE WAZALENDO!!!!!?
UZALENDO MY **ASS**!!?
Kapiganeni ninyi,wake zenu,wanenu na hao WEZI wa mali zetu MNAOWALINDA!