Hata ukijiharishia hujavunja sheria ila tutakuambia hapa mtu mzima umejiharishia.Jamani!
Hiyo akili yangu nimeiumiza vipi?
Kutumia Uhuru wangu wa kutoa maoni yangu ndio kuumiza akili yangu?
Sijavunja sheria zozote za Nchi wala JF, tatizo ni nini?
Hivi kutoa maoni ndio kui police internet?! Since when?Hata ukijiharishia hujavunja sheria ila tutakuambia hapa mtu mzima umejiharishia.
Wewe inataka kui police internet kama Mtalibani. Huo ni ujima.
Maoni yako ni ya kuzuia watu wengine uhuru wao wa kutoa maoni yao mitandaoni.Hivi kutoa maoni ndio kui police internet?! Since when?
Kama ambavyo wewe umetoa maoni yako na Mimi nimetoa yangu, shida iko wapi?
Ama unataka wote tufanane kifikra?! Sio rahisi kihivyo!
matangazo ya biashara yana codes nyingi nimependa hizo lips za binti msomi mwenye namba yake naomba tafadhali
ππππAcha kupondea kila kitu, kwani ukungwi ni kitu kipya? Acha mrembo atoe elimu maana hizi pisi zinajisahau sana hususa ni hapo kwenye upande wa kushika mic kutuma salamu
Naungana na wewe kabisa. Ukungwi upo, ulikuwepo na utaendelea kuwepo. Ukioa mke hajapitia kwa kungwi ni tatizo kwenye ndoa. Huyu amekuja na ukungwi wa kudijitali kajiongezaAcha kupondea kila kitu, kwani ukungwi ni kitu kipya? Acha mrembo atoe elimu maana hizi pisi zinajisahau sana hususa ni hapo kwenye upande wa kushika mic kutuma salamu
Sometimes mtoto akishafika 18years,achana nae tuHabari wadau.
Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.
Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm
Amepata divisoon one form 4. Na amepata division one form 6.
Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.
Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo
Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Kazi hakuna ndio maana watu wanajichanganyaMoja matokeo mabaya ya social media, bila haya majukwaa watu wangetafuta kazi, zimeshalisha wajinga wengi kwa jina la influencers, na content creators.
Kiranga wewe kweli Una kiranga!Maoni yako ni ya kuzuia watu wengine uhuru wao wa kutoa maoni yao mitandaoni.
Halafu inaonekana hata hujaelewa hilo bado, ndiyo maana unasisitiza kwamba wewe unatoa maoni na mimi natoa maoni tu.
Wewe unatoa maoni ya kuzuia watu wengine kutoa maoni yao mitandaoni.
Hayo si maoni tu.
Hiyo ni censorship.
Ila naona huna uwezo wa kuelewa hilo.
Mkuu Coach Slamah HamadKiranga wewe kweli Una kiranga!
Wapi nimemzuia zaidi ya kusema sio Sawa kutoa elimu ya jinsi ya kufanya ngono (kunyonya uchi) hadharani (maana mtandaoni sio chumbani)?
Na kwa mila + desturi na tamaduni zetu hapa Tanganyika, hayo mambo ni taboo, sasa wapi nimemzuia?!
Kama ambavyo yeye anatoa elimu yake kuhusu namna ya kunyonya uchi wa mwanaume na Mimi natoa fikra zangu kwamba anachofanya sio sahihi.
Elimu hiyo kama wewe huitaki, achana nayo.Kiranga wewe kweli Una kiranga!
Wapi nimemzuia zaidi ya kusema sio Sawa kutoa elimu ya jinsi ya kufanya ngono (kunyonya uchi) hadharani (maana mtandaoni sio chumbani)?
Na kwa mila + desturi na tamaduni zetu hapa Tanganyika, hayo mambo ni taboo, sasa wapi nimemzuia?!
Kama ambavyo yeye anatoa elimu yake kuhusu namna ya kunyonya uchi wa mwanaume na Mimi natoa fikra zangu kwamba anachofanya sio sahihi.
Mimi nipo upande wa kila mmoja ku mind their own business.Kiranga kwahiyo wewe upo upande wa huyo dada au ,,,?
Mtu akitaka ligi na wewe ajipange sana.. πππMimi nipo upande wa kila mmoja ku mind their own business.
Huyo dada mnavyom discuss ndiyo mnazidi kumpandisha chati pengine bila kujua. Mnamfanyia matangazo ya bure hapa.
Mimi nilikuwa simjui nimekuja kumjulia hapa.
Namuunga mkono Lilian Lema kwa sababu, mahusiano mengi ya ndoa yanayumba kwa sababu ya wanandoa kushindwa kunyanduana inavyopaswa...Habari wadau.
Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.
Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm
Amepata divisoon one form 4. Na amepata division one form 6.
Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.
Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo
Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Sipo katika ligi.Mtu akitaka ligi na wewe ajipange sana.. πππ
ππππππππSipo katika ligi.
Nimestaafu sasa hivi na coach vijana tu.