Pinacoladee
JF-Expert Member
- May 22, 2023
- 858
- 1,120
Wewe ni nani kati ya jirani,ndugu au rafiki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ushawahi kuhoji mtu anayelipwa 1m kwa mwezi akakwambia maisha yake yapo vipi?Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka
KahabaHabari wadau.
Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.
Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm
Amepata division one form 4. Na amepata division one form 6.
Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.
Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo
Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Naomba namba yake basHabari wadau.
Huna binti anatred sana mtandaoni huyo hapo kwenye picha anaitwa LILIAN LEMA.
Huyu binti ana elimu nzuri tu na ana degree ya uchumi kutoka chuo kikuu cha taifa udsm
Amepata division one form 4. Na amepata division one form 6.
Baada ya kumaliza chuo kajiajiri kama kungwi mtandaoni anafundisha watu jinsi ya kupigana miti.
Imagine mzazi Mtu anapata mshahara wa 1 M kwa mwezi halafu analazimisha kulipa ada ya mtoto 3-4M kwa mwaka, huku pato lake kwa mwaka likienda 12M kabla ya kutoa kodi na matakataka mengine anajikuta zaidi ya 40% ya pato lake kwa mwaka analitumia kulipa ada, halafu baada ya kumaliza chuo mwanae huyo anaishia kuwa kungwi mtandaoni hapa ni lazima afe kwa msongo wa mawazo
Hili ni somo kubwa sana kwamba hichi kizazi cha kisasa Kuliko usomeshe mtoto shule za gharama kwa kujinyima sana bora asome shule za kawaida tu. Maana ajira za maana hakuna. Hata angesoma shule za serikali ukungwi angeumudu tu
Ni fursa kubwa sahvi,ukiwekeza kwenye ujinga ujinga,zungumzia pia mambo ya ktmbn kfln kuongeza dude na makalioHuenda hiyo kazi inamlipa kuliko kuwa Engineer wa mkoa
Frank maston sio shoga, alizaliwa na jinsia mbili wazazi wakachagua kumkuza kama wa kiumeMzazi unaweza kupambana mtoto apate Div. One na kusahau mambo mengine. Maisha sio division one peke yake. Kuna yula Frank Maston naye kasoma UDSM ila kwa sasa yupo USA na ni shoga ambaye hajifichi kiasi kwamba huvaa kabisa mavazi ya kike.
Umejuaje haya we wa Mtipimbi?Frank maston sio shoga, alizaliwa na jinsia mbili wazazi wakachagua kumkuza kama wa kiume
Baada ya kukua mtu kavunja ungo, matiti plus hormones x zimekua nyingi kuliko y
Yeye ni mwanamke
Wewe unamjua vizuri?Frank maston sio shoga, alizaliwa na jinsia mbili wazazi wakachagua kumkuza kama wa kiume
Baada ya kukua mtu kavunja ungo, matiti plus hormones x zimekua nyingi kuliko y
Yeye ni mwanamke
Wee kweli??Frank maston sio shoga, alizaliwa na jinsia mbili wazazi wakachagua kumkuza kama wa kiume
Baada ya kukua mtu kavunja ungo, matiti plus hormones x zimekua nyingi kuliko y
Yeye ni mwanamke