Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

Kwa ufupi tu
Nina Masters ya Sheria- Westminster University
Kama ndivyo,
1.unaonaje ukijibu hoja kwa hoja, Kama zilivyotanabaishwa katika waraka wa TEC ?

2.Je wewe ni wakili? Uko chini ya TLS au?

3.Kati yako Lord denning mwenye, Masters ya Westminster na Prof Shivji ni nani anaweza kuchambua vizuri Sheria?
Uchambuzi wako, haufananii hadhi ya Masters ya Westminster.
 
Jana eti wanasema sasa wataongelea katiba mpya! Wameona la bandari limebuma.
Sikutegemea kama umejaa ujinga kichwani namna hii Africa yangu ina safari ndefu sana.
Huwa Kuna wakati napiga magoti na kusujudu Naomba Mungu walau atupe Afya ya akili kiukweli inasikitisha sana kuona NCHI yetu ina wajinga wengi kupita kiasi na wewe ni mmojawapo.
Pole sana Mungu akujalie Afya ya akili
 
Samia ajifunze Kiingereza kwanza asisaini kumpa Mbarawa full powers za kusaini kwa niaba ya Tanzania na Dubai, kwenye hoja hajafika bado.

Ajifunze Kiingereza kabla ya kufika kwenye hoja.

Mwenyewe kajijua mtupu, ndiyo maana kagwaya kujibu.
Jifunze kusikiliza na kuelewa hata vile usivyopenda kusikia. Hiyo ndo maturity
 
Kwa maarifa tu. Ninayo kwa kiwango kikubwa sana
Hhhhhhhhhh
Yaani hata wewe una maarifa kweli nyani haoni +++++[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mtu anasimama kabisa na kusema, kuna upigaji ilhali, akijua wateuliwa wote ni PRO CCM. kama kuna upigaji hao TISS, TAKUKURU na vyombo kibao wanashindwaje kuchukua hatua?

Hapa ndipo utajua kwanini, CCM haifanyii kazi tipoti za CAG!
 
Unamsujudia papa?
 
Wewe ni mpuuzi
 
Nakuhakikishia mimi siye huyo mtu na wala sijawahi kuwa mtu.
Wewe kama siyo Mwashambwa, lakini kwa uhakika mnashabihiana sana katika uwezo wenu, unafiki, uchawa, na uandishi wa riwaya zisizo na hoja.

Prof. Shivji alijadili mkataba, akakosoa vipengere vya hovyo, TLS walienda kifungu kwa kifungu wakakosoa vipengere vya hovyo na wakatoa mapendekezo, Madeleka alifafanua vifungu vyote vya hovyo na athari zake, ndivyo walivyofanya Mwambukusi, TLS, Dr. Slaa, CHADEMA. Lakini Chongolo, Mwamshambwa, wewe, Faizafoxy na wajinga wengine wengi, wenyewe wanasema tu mkataba mzuri, utaongeza mapato, DP wana uwezo! Stupid!! Hakuna hoja, hakuna kifungu cha mkataba wanakofanyia reference.

Mwashambwa unapoteza muda wako, tafuta kazi, utaandika namba ya simu mpaka utachoka.
 
Kwanini ile Flight ONE ilikuwa ina trip za kimyakimya UAE?
Kwanini walioshutumiwa hawakujitokeza mara moja kutoa majibu?
Kwanini baadhi ya viongozi waandamizi wa serikali nao walipigwa butwaa kwa yaliyotendeka?
Kwanini wanasheria wasomi wabobevu na hata majaji wastaafu walilaani kitendo hicho?
Je wewe ni msomi kumzidi Pro. Shivji, Prof. Kabudi na ma Dr wa sheria nchi hii?
 
Unamsujudia papa?
Mimi si mtu wa mapokeo ya Dini Wala hakuna nilipoandika kuhusu Papa Wala upapa haunihusu, Mimi ni Mtanzania Mwafrika Ninatamani kuona Tanzania na Africa zikisonga mbele.
Issue ya Bandari ni zaidi ya utapeli tuipende NCHI yetu tusiwe watumwa wa wanasiasa Wezi.
 
Mjinga ni mjinga hata akizeeka bado ujinga haumtoki.
 
Hayo magoti yako uliyosema unapiga unampigia nani?
 
Zitto hauziki, ni bahati mbaya sana wanaume watanganyika wako domicile, wanatekwa, nchi na Urithi wa Mali Zao unaliwa na kikundi kidogo Cha watanzania walioko hapa hapa huku wakiendelea kuandika upuuzi kama huu, huku wao wakiwa katikati ya mapambano, huku wahaini wakiwa ndio watesi wao. Nataka kuona Tanganyika iliyopata uhuru Dec 9, 1961 mwaka huu. Ndipo nitakasena asante Mungu for the lives of the Sons' of our land 'Tanganyika'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…