Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

Lililoitwa Sakata la Bandari: Pumba zimeanza kujitenga na Mchele

Kwa ufupi tu
Nina Masters ya Sheria- Westminster University
Kama ndivyo,
1.unaonaje ukijibu hoja kwa hoja, Kama zilivyotanabaishwa katika waraka wa TEC ?

2.Je wewe ni wakili? Uko chini ya TLS au?

3.Kati yako Lord denning mwenye, Masters ya Westminster na Prof Shivji ni nani anaweza kuchambua vizuri Sheria?
Uchambuzi wako, haufananii hadhi ya Masters ya Westminster.
 
Jana eti wanasema sasa wataongelea katiba mpya! Wameona la bandari limebuma.
Sikutegemea kama umejaa ujinga kichwani namna hii Africa yangu ina safari ndefu sana.
Huwa Kuna wakati napiga magoti na kusujudu Naomba Mungu walau atupe Afya ya akili kiukweli inasikitisha sana kuona NCHI yetu ina wajinga wengi kupita kiasi na wewe ni mmojawapo.
Pole sana Mungu akujalie Afya ya akili
 
Samia ajifunze Kiingereza kwanza asisaini kumpa Mbarawa full powers za kusaini kwa niaba ya Tanzania na Dubai, kwenye hoja hajafika bado.

Ajifunze Kiingereza kabla ya kufika kwenye hoja.

Mwenyewe kajijua mtupu, ndiyo maana kagwaya kujibu.
Jifunze kusikiliza na kuelewa hata vile usivyopenda kusikia. Hiyo ndo maturity
 
Umesema kuna "watu walikuwa wananufaika na upigaji bandarini" Na, hao ndio hawataki kuona mwekezaji, anakuja, sasa swali langu kwako mkuu,
Hao, wapigaji, mbona hawakamatwi kama, wapo? Vyombo vyote vya uchunguzi kama police, takukuru, jwtz intelligence, TISS, vinaripoti kwa "mama" Na, vinaongozwa na makada wa ccm, sasa mbona havijawakamata hao "wapigaji"?
Kama wapigaji wapo, lakini mama na ccm yake wameshindwa kuwakamata, tukisema mama nchi imemshinda si tutakuwa sawa?
Viongozi waandamizi, wote wa TPA, ni makada wa, ccm na wanateuliwa na mama! Kama ni majizi basi ccm ndio majizi, yanayopiga bandarini,
Kwa jinsi unavyoelezea upigaji wa bandarini utafikiri bandari inaongozwa na chadema na mkurugenzi wake kateuliwa na Mbowe!
Kama kuna upigaji serikalini, unafanywa na ccm na wateuliwa na ccm! Bunge lote ni ccm, RC, DC, DASA, RAS, wote wameteuliwa na ccm! Idara zote nyeti zinaongozwa na wateuliwa wa, mama! Sasa kama ameteua majizi, tena raia bila kujua, ataweza, kweli kuwajua hao wawekezaji raia wa kigeni!?
Ccm choka mbaya, kwa, miaka 60,bandari inawashinda kuendesha.
Kilichpo bandarini, wapigaji wengi ni watumishi wa TPA, na makada wa ccm ngazi za kati, sasa hv, majizi, ya nchi hii, kikwete na samia, kinana, yameona fulsa,yakate mirija ya hawa juniors majizi, ili yaibe yenyewe.
Mtu anasimama kabisa na kusema, kuna upigaji ilhali, akijua wateuliwa wote ni PRO CCM. kama kuna upigaji hao TISS, TAKUKURU na vyombo kibao wanashindwaje kuchukua hatua?

Hapa ndipo utajua kwanini, CCM haifanyii kazi tipoti za CAG!
 
Sikutegemea kama umejaa ujinga kichwani namna hii Africa yangu ina safari ndefu sana.
Huwa Kuna wakati napiga magoti na kusujudu Naomba Mungu walau atupe Afya ya akili kiukweli inasikitisha sana kuona NCHI yetu ina wajinga wengi kupita kiasi na wewe ni mmojawapo.
Pole sana Mungu akujalie Afya ya akili
Unamsujudia papa?
 
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.


Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.
Wewe ni mpuuzi
 
Nakuhakikishia mimi siye huyo mtu na wala sijawahi kuwa mtu.
Wewe kama siyo Mwashambwa, lakini kwa uhakika mnashabihiana sana katika uwezo wenu, unafiki, uchawa, na uandishi wa riwaya zisizo na hoja.

Prof. Shivji alijadili mkataba, akakosoa vipengere vya hovyo, TLS walienda kifungu kwa kifungu wakakosoa vipengere vya hovyo na wakatoa mapendekezo, Madeleka alifafanua vifungu vyote vya hovyo na athari zake, ndivyo walivyofanya Mwambukusi, TLS, Dr. Slaa, CHADEMA. Lakini Chongolo, Mwamshambwa, wewe, Faizafoxy na wajinga wengine wengi, wenyewe wanasema tu mkataba mzuri, utaongeza mapato, DP wana uwezo! Stupid!! Hakuna hoja, hakuna kifungu cha mkataba wanakofanyia reference.

Mwashambwa unapoteza muda wako, tafuta kazi, utaandika namba ya simu mpaka utachoka.
 
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.


Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.
Kwanini ile Flight ONE ilikuwa ina trip za kimyakimya UAE?
Kwanini walioshutumiwa hawakujitokeza mara moja kutoa majibu?
Kwanini baadhi ya viongozi waandamizi wa serikali nao walipigwa butwaa kwa yaliyotendeka?
Kwanini wanasheria wasomi wabobevu na hata majaji wastaafu walilaani kitendo hicho?
Je wewe ni msomi kumzidi Pro. Shivji, Prof. Kabudi na ma Dr wa sheria nchi hii?
 
Unamsujudia papa?
Mimi si mtu wa mapokeo ya Dini Wala hakuna nilipoandika kuhusu Papa Wala upapa haunihusu, Mimi ni Mtanzania Mwafrika Ninatamani kuona Tanzania na Africa zikisonga mbele.
Issue ya Bandari ni zaidi ya utapeli tuipende NCHI yetu tusiwe watumwa wa wanasiasa Wezi.
 
Wataalamu wa siasa za nchi hii tuliposimama na Rais Samia kutetea uwekezaji wa Bandarini tulionekana sie ni machawa na tukasemwa sana.

Tuliposema kuwa hizi kelele za Bandari kuuzwa sijui nchi imeuzwa ni maneno ya chuki na uzandiki kukwamisha mipango mizuri ya Rais wetu kwenye uchumi wetu ili kuleta mapinduzi ya kiuchumi tulionekana sie tumehongwa na ni wapigaji tu.

Tulisema haya tukijua na tukiwa na ushahidi kuwa hawa watu wamekuwa wakinufaika na upigaji mkubwa ambao umekuwa unafanyika pale bandarini na wanafanya haya ili kutengeneza tension kwa muwekezaji huyu ili tu asije na waendelee kulila hili taifa letu.

Baada ya watu wenye akili kuujua ukweli na Kuanza kuelewa hoja zetu mambo yameanza kubadilika hakika

Walianza wasomi wachache, wakaja KKKT, sasa ACT Wazalendo wametuelewa na wamefanya uchambuzi murua kuunga mkono uwekezaji wa Bandarini.

Wale wengine ambao napenda kuwaita chuki fc ni kama hawasikilizwi tena. Wanaendelea kusoma waraka wao kila siku ila ni kama wamepuuzwa mazima na wananchi wanaojua kweli na wanafahamu kweli inawaweka huru.

Hayo yote tisa, kumi ni kikundi maslahi na chuki kinachotumiwa ili kumkwamisha Rais Samia. Kundi hili linaongozwa na mwanasheria Mwabukusi, mvuta bange Mdude Nyangali na aliyekimbia upadre Dkt Slaa.

Mara ya kwanza waliitisha maandamano kwa diasporas eti waandamane huko ughaibuni kwenye balozi za UAE, wakapuuzwa vibaya sana.

Jana wametoa eti siku 30 kwa serikali kuachana na Mkataba wa Bandari na walitegemea wataugwa mkono ila uzuri wamepuuzwa tena vibaya sana.


Narudia kusema humu. Ukweli una tabia ya kutembea taratibu sana ila uzuri wake ni kwamba lazima ufike tu.

Ukweli umeshafika na Watanzania wamejua kuwa hakuna Bandari iliyouzwa, IGA inahusu ushirikiano katika uwekezaji wa sehemu ndogo tu ya Bandari ya Dar es Salaam ambayo ni baadhi ya Gati za Terminal 1 tu na ndo mana Mamlaka ya Bandari imeendelea kutanganza tenda kwenye maeneo mengine.

Baada ya huu ukweli sasa naona hoja ya Bandari kuuzwa sijui kugawiwa kwa waarabu imeanza kufa rasmi.

Wale TEC na wazandiki wenzao ni kama wamekuwa machizi kung'ang'ania vitu ambavyo tayari ukweli umeshaamua mustakabali wake.

Poleni sana Wazandiki. Kweli Pumba zimeanza kujitenga na Mchele.

Hongereni kwa ushindi Team Wazalendo.
Mjinga ni mjinga hata akizeeka bado ujinga haumtoki.
 
Mimi si mtu wa mapokeo ya Dini Wala hakuna nilipoandika kuhusu Papa Wala upapa haunihusu, Mimi ni Mtanzania Mwafrika Ninatamani kuona Tanzania na Africa zikisonga mbele.
Issue ya Bandari ni zaidi ya utapeli tuipende NCHI yetu tusiwe watumwa wa wanasiasa Wezi.
Hayo magoti yako uliyosema unapiga unampigia nani?
 
Zitto hauziki, ni bahati mbaya sana wanaume watanganyika wako domicile, wanatekwa, nchi na Urithi wa Mali Zao unaliwa na kikundi kidogo Cha watanzania walioko hapa hapa huku wakiendelea kuandika upuuzi kama huu, huku wao wakiwa katikati ya mapambano, huku wahaini wakiwa ndio watesi wao. Nataka kuona Tanganyika iliyopata uhuru Dec 9, 1961 mwaka huu. Ndipo nitakasena asante Mungu for the lives of the Sons' of our land 'Tanganyika'.
 
Back
Top Bottom