Kulikua na haja ya kusema Ushoga upo? Ili iwejee?Lindi pamepoa sana is cool area
Hapo sehemu ambayo huwa naenda kutuliza Akili inaitwa Paris ni eneo zuri Sana
Usalama Lindi ni 99%
Ushoga upo
Kujiuza ni kwa Sana wana Entertain ngono guest house kila mahala.
Personally napenda miji Kama hiyo iliyotulia .
Then wakazi wengi hukaa nje ya mji huwa wanakuja mjini kufanya business na kuondoka.
Kulikua na haja ya kusema Ushoga upo? Ili iwejee?
Kwani wapi haupoo?
Wapo wanazungusha viuno kama feni... lazima ujishikilie vinginevyo utajikuta uvunguni!Kuhisi warembo vipi Mkuu?
Hahaaà!!!Tunakutana wapi kaka? Upo Lindi sehemu gani?
Ila sitaki malaya wanao jiuza. Nataka mademu wa nyumbani wale wa kutongoza.
Age zao please vipi?
Hayo mambo ya kuzungusha kiuno kwa mtwara hayana umri...we angalia tu usijekuta wana umri wa mama Samia maana 30 ni ya kufikia!!Powa powa mkuu. Wanakuwa kuanzia age ipi?
Hivi ushafikaga na Lindi lo. ! Namie siku unipeleke nikasafishepo macho eti
Maneno ya kihuni kama haya uwa yananipa vichekesho sana,wadada apa lindi watamu ataree...mbusus zina mnato na ankarii ya asilia
Unataka mke au malayaTunakutana wapi kaka? Upo Lindi sehemu gani?
Ila sitaki malaya wanao jiuza. Nataka mademu wa nyumbani wale wa kutongoza.
Age zao please vipi?
Nenda na hela zako, sio kudandia na kupiga mizinga wageni.Ngoja nije nikupe kampan
🚶🚶🚶
Wewe ni konda wa magari ya Buti la ZunguAtoto Lindi ya wapi mitwero, mnazi mmoja, fisi, wailes, saba saba, kariakoo, muhimbili? Raha leo? Mtanda?
Jitie dole harafu unuse, ili hasira zipungueMiji ya pwani maendeleo ni kufuga majini na kuigiza swala tano. Huwezi kupata starehe ya maana mji wowote wa waswahili.
mkuu unatia wsws km kweli utapata izo mbususu kama apa tu unashindwa kunyoosha maelezo ya hitaji lako ivi maake umezunguka sana kwenye maelezo yako adi watu wanataka wakulishe vitimoto na samaki[emoji1787]Mkuu Mimi sijaja Lindi kufuata Samaki. Mi nataka PAPUCHI tu mkuu. Au ulimaanisha Kula " kisamaki"?
Yaani kujua mitaa ya mkoa ninaoishi ndo kigezo nitakuwa kondaWewe ni konda wa magari ya Buti la Zungu
Huyo mshamba, hajui sisi watu wa Pwani tumejaariwa ustarabu, au wanafikiri sisi kama wao washamba wa mapenz na kuendejeza ushitikinaNi ngumu mno kusikia watu wakiuana Lindi.. Mimi Nina miaka minne Lindi sijawahi kuona watu wakirushiana hata ngumi.. Huku hata mtu kafumaniwa na mke wa mtu yanaisha Kwa amani sanasana watu watataka hela tu... Sio Kanda nyingine mtu hata demu ukimchukulia anakumaliza
Hahaaà!!!
We jamaa nilikuaga nakuchukulia mjanja kumbe bonge moja la Fala.
Eti nataka mademu wa nyumbani, wale wa kutongoza, kwani unadhani malaya wanaishi wapi? Sokoni?
Malaya ni hawa hawa dada zetu wanaoishi majumbani, malaya ni ile pili kali unayoiona mtaani na kujiuliza utaipata lini.
Cha ajabu na wateja wao ni hawa hawa dingi zetu, sisi wenyewe, mapadri na mashehe wetu, maboss wetu, kikubwa kinachotufelisha tusijuane ni Time na Location.
Ukiondoa dsm niambie kuna mji gani wa pwani wenye vibe.Jitie dole harafu unuse, ili hasira zipungue
Angalizo lindi kuna Ukimwi