Lindi: Zitto Kabwe na Sulemani Bungara (Bwege) wakamatwa na Polisi

Wanaogopa yasije kutokea tena ya mwaka 2015
 
CCM sasa inaamini polisi, kubambikia kesi na kutesa watu. chama cha wakulima na wafanyakazi kilicho asisiwa na Baba Mwalimu Nyerere sasa hakina hoja kabisa ndio maana kinatumia polisi.
 
Hao wahuni kina zito wakamatwe tu hatutaki siasa chafu
Semeni ukweli. Membe anawatesa mno. Bado hajaamua anagombea kupitia chama gani yewezekana ikawa ccm lkn ninyi mnaweweseka na kuhangaika na kina Zitto mkifikiri walikuwa wanafanya maandalizi ya kumpokea Membe.

Lengo la kuanzisha Act Wazalendo ilikuwa ni kupunguza kura za Upinzani. Sasa kama nyoka mlimfuga wenyewe chumbani keshakuwa mkubwa na hawezi kutoka tena mle chumbani. Kila atakaegusa mlango lazima ajeruhiwe.
 
ati Tunakwenda kuwa na uchaguzi HURU na HAKI - viashiria ndiyo hivi vishaanza kwamba hata mikutano ya ndani hairuhusiwi kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…