Lini ilikuwa mara yako ya mwisho kuhudhuria kwenye nyumba ya ibada?

Lini ilikuwa mara yako ya mwisho kuhudhuria kwenye nyumba ya ibada?

Mtu anaye kwenda kanisani huyo moja kwa moja ni ana upumbavu fulani ...kanisa siyo nyumba ya ibada ...kwanza hakuna nyumba ya ibada ya mungu wa kweli ambayo watu wanaingia na viatu au wakiwa najisi hii nitoka kale....kwa mujibu wa torati na injili siku inabadilika jioni hivyo ikiwa umepanga kwenda kwenye nyumba ya bwana inabidi hata usiku usishiriki tendo la ndoa na mkeo au mumeo au yeyote ....ukisoma kitabu cha samweli daudi alipo mtoroka sauli alikwenda kwenye nyumba ya ibada na kuomba chakula yeye na watu alio toroka nao kiongozi wa hiyo nyumba alimwambia...chakula kilichopo nikile kilicho wekwa mezani mwa bwana ambacho awawezi kukila kama wamelala na wanawake ..ndipo daudi akasema hakika sisi ni safi atujalala na wanawake usiku .....lakini leo hii watu wanakula chakula cha bwana huku usiku wametoka kudinyanya na wake au waume au mahawara zao ....wanaingia na viatu nyumba wanayo dai ni ya bwana ! Msingi wa makanisa haya ya sasa haukua nyumba za ibada bali nyumba za kukutania ili.kujulishana na kukumbushana neno la Mungu tatizo likaja baada ya kugeuzwa kanisa kuwa nyumba ya ibada badala ya nyumba ya kukutania tu...kwenye nyumba za kukutania watu uingia na viatu hakuna shida yoyot

Mtu anaye kwenda kanisani huyo moja kwa moja ni ana upumbavu fulani ...kanisa siyo nyumba ya ibada ...kwanza hakuna nyumba ya ibada ya mungu wa kweli ambayo watu wanaingia na viatu au wakiwa najisi hii nitoka kale....kwa mujibu wa torati na injili siku inabadilika jioni hivyo ikiwa umepanga kwenda kwenye nyumba ya bwana inabidi hata usiku usishiriki tendo la ndoa na mkeo au mumeo au yeyote ....ukisoma kitabu cha samweli daudi alipo mtoroka sauli alikwenda kwenye nyumba ya ibada na kuomba chakula yeye na watu alio toroka nao kiongozi wa hiyo nyumba alimwambia...chakula kilichopo nikile kilicho wekwa mezani mwa bwana ambacho awawezi kukila kama wamelala na wanawake ..ndipo daudi akasema hakika sisi ni safi atujalala na wanawake usiku .....lakini leo hii watu wanakula chakula cha bwana huku usiku wametoka kudinyanya na wake au waume au mahawara zao ....wanaingia na viatu nyumba wanayo dai ni ya bwana ! Msingi wa makanisa haya ya sasa haukua nyumba za ibada bali nyumba za kukutania ili.kujulishana na kukumbushana neno la Mungu tatizo likaja baada ya kugeuzwa kanisa kuwa nyumba ya ibada badala ya nyumba ya kukutania tu...kwenye nyumba za kukutania watu uingia na viatu hakuna shida yoyote.
Tazama, saa yaja ambayo waabuduo halisi watamwabudu Mungu katika roho na kweli. Lakini pia Mungu haishi kwenye majumba yaliyojengwa na wanadamu.
 
we jamaa kama una umaarufu katika jamii inayokuzunguka usije ukaipa taabu familia yako wakuzike kwa taratibu gani. Siku hizi wasioenda makanisani/misikitini wakifa huzikwa ki namna bila ibada za kidini. Labda kama una uanachama wa chama fulani wanachama wenzako watakuja kukuzika kwa heshima ya chama chenu. Kama huna kikundi chochote cha imani au itikadi za kisiasa utazikwa kimyakimya labda kama una mila zenu utazikwa kimila. Uwe unahudhuria misimba ya watu mbalimbali ujionee vituko mazishini
Hakuna kituko kwenye maziko, hizo standards mmeziweka wenyewe kwa misingi ya dini na vyama vyenu vya kufa na kuzikana, swali langu ni moja tu kama ifuatavyo, marehemu ananufaika na nini akizikwa hivyo unavyosema?

Hiyo heshima ina maana kwenu mlio hai ila sio kwa aliekufa kwa sababu hatambui chochote kinachoendelea.
 
Hakuna lolote, hata ukizikwa na wahuni haibadilishi chochote.

Cha msingi ni mzoga kufukiwa.

Cc: Extrovert
Kweli kabisa wanataka kusema wahadzabe na wapori pori wengine wasiozikwa na dini hawana umuhimu/thamani?

Ukishakataa ugali jambo la msingi ni kurudishwa mavumbini tu hayo mengine ni mbwembwe.
 
Kweli kabisa wanataka kusema wahadzabe na wapori pori wengine wasiozikwa na dini hawana umuhimu/thamani?

Ukishakataa ugali jambo la msingi ni kurudishwa mavumbini tu hayo mengine ni mbwembwe.
Tena ni ujinga wa kutisha kuna watu now wananitishia habari ya kuzikwa huwa nawacheka sna
 
Mtu anaye kwenda kanisani huyo moja kwa moja ni ana upumbavu fulani ...kanisa siyo nyumba ya ibada ...kwanza hakuna nyumba ya ibada ya mungu wa kweli ambayo watu wanaingia na viatu au wakiwa najisi hii nitoka kale....kwa mujibu wa torati na injili siku inabadilika jioni hivyo ikiwa umepanga kwenda kwenye nyumba ya bwana inabidi hata usiku usishiriki tendo la ndoa na mkeo au mumeo au yeyote ....ukisoma kitabu cha samweli daudi alipo mtoroka sauli alikwenda kwenye nyumba ya ibada na kuomba chakula yeye na watu alio toroka nao kiongozi wa hiyo nyumba alimwambia...chakula kilichopo nikile kilicho wekwa mezani mwa bwana ambacho awawezi kukila kama wamelala na wanawake ..ndipo daudi akasema hakika sisi ni safi atujalala na wanawake usiku .....lakini leo hii watu wanakula chakula cha bwana huku usiku wametoka kudinyanya na wake au waume au mahawara zao ....wanaingia na viatu nyumba wanayo dai ni ya bwana ! Msingi wa makanisa haya ya sasa haukua nyumba za ibada bali nyumba za kukutania ili.kujulishana na kukumbushana neno la Mungu tatizo likaja baada ya kugeuzwa kanisa kuwa nyumba ya ibada badala ya nyumba ya kukutania tu...kwenye nyumba za kukutania watu uingia na viatu hakuna shida yoyote.
Muwa mnajitahidi kuficha tupu zenu mbele za watu.
 
Hakuna kituko kwenye maziko, hizo standards mmeziweka wenyewe kwa misingi ya dini na vyama vyenu vya kufa na kuzikana, swali langu ni moja tu kama ifuatavyo, marehemu ananufaika na nini akizikwa hivyo unavyosema?

Hiyo heshima ina maana kwenu mlio hai ila sio kwa aliekufa kwa sababu hatambui chochote kinachoendelea.
ukizikwa vibaya mzimu wako utasumbua ndugu zako ukidai hukuzikwa kwa heshima unayostahili
 
Jana tuu.. Mimi imani yangu haiendeshwi na mijadala na mikanganyiko ya wengine.. Najua kwa hakika kwanini niliamua kuifuata
Uko sahihi kabisa. Naungana nawe kwa jibu lako. Hata mimi jana nilikuwa kanisani; si kwa sababu nafikiria nani pia amekwenda kanisani, au nitaonekanaje mbele ya macho ya walimwengu kwenda kanisani.
 
nyie msioenda kanisani mnapokufa mnazipa utata familia zenu ziwafanyie mazishi ya namna gani. Itabida mzikwe kimya kimya tu bila ibada ya dini
Sio kila Kifo lazima uzikwe,,Unaweza teketea Kwa Moto,,, Kwenye maji na maiti isionekane,,kutafunwa na wanyama wakali nk.
 
Back
Top Bottom