Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?

Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?

Swali. Bibilia kwanini mgumu kuihifadhi?
Hakuna hitaji linalotaka tukariri. Yesu alijua kuandika na kusoma na hivyo hivyo kwa mitume na manabii wote wa kwenye biblia. Kwa hiyo kwa nini wakariri wakati ujumbe waliotaka kuufikisha waliweza kuandika?

Kuna mtume tunaambia hakujua kusoma wala kuandika. Hii ni changamoto kwake. Njia pekee ya kusambaza mawazo yake ilikuwa kukariri na kuhadithia. Mtume huyu hayupo kwenye biblia. Mtume huyu ni pekee mwenye sifa ya kutokujua kusoma na kuandika. Yaani hata Budha, Mizra Gulam, Zoroaster walijua kusoma na kuandika isipokuwa huyo mmoja tu😅
 
Kuna jamaa mmoja hapa jukwaan hujiita Malaria 2 ni jamaa ambaye anapenda kuanzisha thread za dini, na mara nyingi zikiwa za uchokozi, lengo kuu ni kuusifia uislamu(kitu ambacho sina shida nacho kabisa kwasababu kila mtu ana haki ya kusifia dini yake) na sometimes kuupondea ukristo(again, sina shida na yeye kuupondea ukristo kwasababu we're different individuals, tofauti za kifikra ni jambo la kawaida).
It's okay to have different opinions, but can you back them up?

But leo nime-interact nae kweny uzi aliyoanzisha Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?
View attachment 3083675
View attachment 3083676
View attachment 3083677
I don't mind debates, a debate started one of the biggest country known as United States of America.
I love it when people start arguing about what is objectively True, that's when misunderstood topics and real lies emerges and are cleared, once and for all.

Broo Malaria 2 acha majibu ya kijinga, kwa jinsi ulivokuwa mstari wa mbele kuanzisha thread kama hizi za kichokozi nilidhani utakuwa mstari wa mbele kukubali, na hii itakuwa inafaida kwako kwasababu huwez jua maybe utanishinda na watu wakiona maybe utapata wafuasi watakabadili dini na mm nikiwemo, hutaki hio bahati??
Naomba niwepo kweny hio debate
 
Faida ya kuhifadhi tunaijua sisi waislam, waliosilimu kutoka kwenye dini nyegine wakifika katika uislam hutaka kulia, wanasema wamepoteza muda wao bure huko walipotoka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna jamaa mmoja hapa jukwaan hujiita Malaria 2 ni jamaa ambaye anapenda kuanzisha thread za dini, na mara nyingi zikiwa za uchokozi, lengo kuu ni kuusifia uislamu(kitu ambacho sina shida nacho kabisa kwasababu kila mtu ana haki ya kusifia dini yake) na sometimes kuupondea ukristo(again, sina shida na yeye kuupondea ukristo kwasababu we're different individuals, tofauti za kifikra ni jambo la kawaida).
It's okay to have different opinions, but can you back them up?

But leo nime-interact nae kweny uzi aliyoanzisha Lini kutakuwa na Mashindano ya kusoma Biblia kama ilivyokuwa Quran?
View attachment 3083675
View attachment 3083676
View attachment 3083677
I don't mind debates, a debate started one of the biggest country known as United States of America.
I love it when people start arguing about what is objectively True, that's when misunderstood topics and real lies emerges and are cleared, once and for all.

Broo Malaria 2 acha majibu ya kijinga, kwa jinsi ulivokuwa mstari wa mbele kuanzisha thread kama hizi za kichokozi nilidhani utakuwa mstari wa mbele kukubali, na hii itakuwa inafaida kwako kwasababu huwez jua maybe utanishinda na watu wakiona maybe utapata wafuasi watakabadili dini na mm nikiwemo, hutaki hio bahati??
Hana cha kujibu, unapoteza muda, wenzako tunamjua tulishampuuza siku nyingi sana
 
UNAZINGUA
Screenshot_20240831-192942~2.png
 
Lini Mashindano ya kusoma Biblia? kama ilivyokuwa Quran?

Au ni vigumu kuihifidhali?

Wadau wanaosoma biblia hebu watwambie.

Hichi kitabu kinahifadhika?
Kusoma Bibilia! Unataka kuleta taflani we, bibilia si anasoma anaendesha Ibada pale mbele si inatosha!
 
Kuna mtume tunaambia hakujua kusoma wala kuandika. Hii ni changamoto kwake. Njia pekee ya kusambaza mawazo yake ilikuwa kukariri na kuhadithia. Mtume huyu hayupo kwenye biblia. Mtume huyu ni pekee mwenye sifa ya kutokujua kusoma na kuandika. Yaani hata Budha, Mizra Gulam, Zoroaster walijua kusoma na kuandika isipokuwa huyo mmoja tu
Muhammad was a self appointed prophet of God. Apart from Muhammad's claim, there is no evidence whatsoever to support his prophethood.

Muhammad impersonated God by fabricating revelations and then attributing them to God. These so-called revelations have permanently brainwashed and intellectually retarded the Muslims. It is no wonder Muslims are so backward.
 
Sunday school hakuna viboko kukaririsha watoto kwa lazima. Imani ni kuielewa na kuipenda na sio kuogopeshwa kwa vifo vya kikatili
 
Mleta mada umekuwa serious sana na kiumbe ambacho hutakiwi kukichukulia serious, hao sampuli ya Malaria 2 wako wengine kina faiza foxy big show Ritz kahtaan so ukiwaona hao ujue tu umewaona wafia dini, ila upeo wao sio wa kuwachukulia serious.
Umemsahau Jagina

Huyu mada itasema hivi yeye atasema vile alimradi anajikurupusha kama Ngiri pori
 
Mfahamu kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein AS ambaye hakunyonyeshwa na mama yake Fatima kwasababu babu yake Mtume Muhammad alikataa Pindi tu alipozaliwa akamtwaa na kumnyonyesha kwa ulimi wake .

Imam Hussein kwa muda wa miaka miwili hakunyonya titi la mama yake bali alinyonya ulimi wa mtume. Ndio maana kipenzi chetu cha dhati anatukuzwa.
Duh,
Alikuwa anashiba nini baada ya kunyonya ulimi?
 
Back
Top Bottom