Lipi ni sawa, kumfukuza kijana wako hapo kwako ili akaanze maisha yake au kumwacha azeekee hapo kwako?

Lipi ni sawa, kumfukuza kijana wako hapo kwako ili akaanze maisha yake au kumwacha azeekee hapo kwako?

Aki
Kwa jamii nyingi kijana akishapata umri basi anaonekana ameshakuwa mkubwa na hastahili tena kuwepo hapo kwako mzazi na mara ingine kama ataendelea kuwepo, basi atakereshwa almradi aondoke akaanze kujitegemea na s'tyms haya yanafanyika bila hata kujali kama mhusika ana ajira au la.

Wengi wanadai kumwondoa kijana kunaichangamsha akili yake kumfanya kijana ajitambue zaidi aache kujibweteka aongeze juhudi za kupambania maisha n.k.

Hii ni tofauti kwa jamii zingine hasa za kimwambao. Wao kijana hakui kwa mzazi. Mandhari mzazi yu hai basi mtoto atabaki kuwa mtoto tu, maisha yake yote. Huko kijana anaweza kuishi na wazazi hadi akapata wajukuu na pengine hata kuzeekea na hata kufia akiwa
hapohapo kwa wazazi.

Haya mambo wakuu yamekaaje?

Je, ungependa kumwona kijana wako katika taswira ipi kati ya izo mbili hapo juu?
Akili za kimaskini na kishenzi za ngedere weusi wanaoishi Afrika , waarabu ,wahindi na wengine wa Asia huko wangekuwa na akili kama hizi za kipuuzi wangekuwa hohehae kama majitu ya nchi za Waafrika weusi
 
Ni kukwepa kuwajibika ,wewe unazaa mtoto ila unakwepa majukumu yako ya kuandaa future yake ,
Shenzi kabisa ,na ningekuwa rais naeeka sheria kabisa ,kila anayetaka ni lazima atoe urithi wa mali na vitega uchumi kwa mtoto wake ambaye amefikia umri wa kujitegemea ,full support toka kwa huyo mzazi inakuwa lazima na si ombi .
Pumbavu sana
 
😆😆Inategemea aisee. kuna mzee alikuwa na vijana kibao hapo kwake sasa wakawa hawaelewani basi hapo home ikawa mambo vululuvululu. madogo walikuwa na varangati muda wowote kinawaka. kila wakati nyumba ya moto. mzee akaona hawa wanantania akawafukuza wote.
Wakileta fujo watimuliwe, naunga mkono maana wanakua wanawapanda wazazi kichwani
 
Mnazaa watoto kama panya hamuwapi malezi na matunzo bora na support za kiuchumi na guidance ili waweze kuthrive kwenye jamii wakiwa watu wazima ,mnajaza Lundo la panya roads wahuni ,machangudoa na kizazi cha ovyo Tu mitaani na , ninyi ni kuvua chupi zenu na suruali na kuunganisha hiyo mikia yenu na mashimo yenu machafu tu na kuzaa basi
Kuwajibika hamtaki
 
Na hizi akili fupi ndio kiini kikubwa cha tatizo la vicious cycle ya umasikini kwa jamii za watu weusi hasa wa Afrika , unakuta kitu linazaa watoto ,lina biashara au uwekezaji flani ,halikuwahi kuwashirikisha watoto wake ,lenyewe linaamua kuwafukuza ,waende kuwa machinga na vibaka huko mitaani kuranda randa kusaka maisha bila misingi yoyote , siku likifa na huo uwekezaji unaliwa na watu baki na kufirisika kabisa .

Ndio maana jamii za watu weusi haifanikiwi kiuchumi kwa sababu tuna mentality za kimaskini za kutaka kila mtu ajitaftie kivyake tena bila misaada ,wakati kwa kiasi kikubwa utajiri unaodumu ni utajiri wa familia ,yaani kila members WA famili wanashirikiana kujenga wealth na hiyo ndio sustainable way ya kujenga utajiri unaodumu vizazi na vizazi na kuondoa umasikini kwenye jamii .
Nenda kwa watu wa Asia na wengine wanafanya hivi hivi na wanafamilia sana ,hata hapa Bongo matajiri wakubwa akina dewji nk ,ile ni family wealth ambayo imejengwa vizazi na vizazi
Sasa haya mafala yanayozaa watoto waje wawe na bodaboda na waokota Makopo sijui ni akili za wapi hizi
 
Mnazaa watoto kama panya hamuwapi malezi na matunzo bora na support za kiuchumi na guidance ili waweze kuthrive kwenye jamii wakiwa watu wazima ,mnajaza Lundo la panya roads wahuni ,machangudoa na kizazi cha ovyo Tu mitaani na , ninyi ni kuvua chupi zenu na suruali na kuunganisha hiyo mikia yenu na mashimo yenu machafu tu na kuzaa basi
Kuwajibika hamtaki
daah hapa umenikumbusha huyu dogo
Screenshot_20250223-220117_Instagram Lite.jpg
 
Mimi nitahakikisha napata watoto na wakikua wanakuja kuendeleza miradi yangu ambayo nitakuwa nimewakuza wakiona kinachofanyika na wamefanya tangia wadogo , hii ndio principle ya waarabu ,wachina ,wahindi ,wayahudi nk
Ni muda muafaka watanzania wabadili mentality na kuangalia maisha kwa angle tofauti , hii ya kuzaa watoto mnawaachia mzigo serikali wawape ajira au waende kutangamana huko kuwa wakabaji na machangudoa sio kabisa .
Ni indicator ya kutojitambua na udumavu wa fikra
 
Back
Top Bottom