Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakani dogo mtoto wa sister namtimua kwangu akajitegemee. Anapata hela lakini ameshindwa kujitambua kwa vile ana mahali pa kulala na kula! Hela anayopata anatumia ovyo ovyo tu! Naamini akiwa na kwake atafanya vizuri! Wazazi tuwe wakali kwa watoto wetu kijana miaka 30+ bado linaninginiza makend... home kufanya nini? Fukuza huo mfugo!Kwa maisha magumu na heka heka za kutokua na kazi maalum niliopitia baada ya kufukuzwa ,na Mzee kwangu nitakua tofauti sana, mwanangu wa kiume akae tu home hata akipata na vitukuu hapa sawa
Maisha ya kujitegemea bila kua na msaada au support yeyote kwa ndg mabaya sana unaweza kujikuta kibaka bila kupenda
Napenda sana mfumo wanaoutumia baadhi ya kabila kama wairaq kwao mtoto wa kiume akifikisha umri wa kuoa anakatiwa ngombe za kutosha then anaenda kujitafuta
Kumfukuza kijana ili akajitegemee bila ya kumwandalia vianzio ni unyanyasaji wa kijinsia.Kwa maisha magumu na heka heka za kutokua na kazi maalum niliopitia baada ya kufukuzwa ,na Mzee kwangu nitakua tofauti sana, mwanangu wa kiume akae tu home hata akipata na vitukuu hapa sawa
Maisha ya kujitegemea bila kua na msaada au support yeyote kwa ndg mabaya sana unaweza kujikuta kibaka bila kupenda
Napenda sana mfumo wanaoutumia baadhi ya kabila kama wairaq kwao mtoto wa kiume akifikisha umri wa kuoa anakatiwa ngombe za kutosha then anaenda kujitafuta
Lakini lazima kwanza viwe vimekwishaota mbawa na manyoya ya kuvihifadhi.Hata kuku akikuza vifaranga anavifukuza visimfate...
Baba ake atamfunza 🤣🤣Mmmh akiwa hajui na kushenyenta.
swadakta mkuuLakini lazima kwanza viwe vimekwishaota mbawa na manyoya ya kuvihifadhi.
Baba yako kakusomesha mpaka umehitimu bado unakaa nyumbani unangoja nini?Waseng£ mnajua kuzaa tu ,kutoa support kwa hao viumbe mnaowazaa hamtaki ,
huyo jamaa mpaka leo na kisasi naye japo simkumbuki tena aseeNimehisi mpk njaa.... Pole mkuu jamaa Hana ubinadamu hata kidogo. makutupora upo kijitonyama kwa kimaro au upo na huyu Bolotoba
Msamehe achana naye, inaumiza kiuhalisiahuyo jamaa mpaka leo na kisasi naye japo simkumbuki tena asee
shida NI UMASIKINI NDO MAANA TUNATIMUANA
nakazia
Ndo nyie mnazalisha vibaka na majambazi mtaani.Mi nitamfukuza akajitegemee ili akili zimkae vizuri.
duuh haya kiongoziFukuza!
Loh we kuweza?Fukuza!