Uchaguzi 2020 Lipumba, Shibuda kutumika kumdhibiti Lissu asigombee Urais?

ukiona adui yako anafurahia au kukuacha ufanye jambo fulani ujue lina madhara kwako, polisi kumsindikiza lisu na kuruhusu mikusanyiko na kumuacha aihutubie wakati anatafuta wadhamini ni kielelezo tosha alianza kampeni kabla,
Give enough rope to a fool he will hange himself.



MAGUFULI4LIFE.
 
Mwaka 2020 watanzania wamebadilika usiwafananishe na zamani hata congo Somalia zamani ilikuwa kama Tanzania
 
Lissu kushindana na Magufuli ni lazima, kama Magufuli anamuogopa Lissu asubiri wananchi waamue. Wakimkata Lissu tutaingia barabarani nchi NZIMA. Siku zote za kampeni, tutakua barabarani KUDAI #tumehuruyaUchaguzi.
Safari hii hatutanii. Hapatatosha.
Wajaribu kumkata Lissu waone kama patakua na Uchaguzi.
Tutatapasuana matumbo tulane maini wenyewe kwa wenyewe kama Syria.
Miaka mitano ya MATESO na DHULMA imetosha. #SASABASI. #NIYEYE
#LISSURAIS2020
 
CCM wamewadharau watanzania hawajui kuwa hata Sudan, Tunisia Egypt walikuwa kama CCM siku wananchi walichoka mambo yalibadilika na jeshi kuwachenjia viongozi
 
juzi kwenye tamasha ilikua inawekwa audio ya magufuli akiomba kura tutaanzia hapo mwaga unga ni mwage mboga maji lazima muite mmma dadeki
We VIPI? Hata kama ni ushahidi, hizo audio kaweka mtu mwingine kwa matashi yake, huyo mwingine anahusika vipi? Mbona unakuwa mzito kuelewa haya mambo!?
 
CCM wamewadharau watanzania hawajui kuwa hata Sudan, Tunisia Egypt walikuwa kama CCM siku wananchi walichoka mambo yalibadilika na jeshi kuwachenjia viongozi
Nasikia kaharufu kauchochezi kwa nia na lengo la kuvunja amani yetu.
 
Mpango ungekuwa kila ukiwekewa pingamiza unaondolewa hata Jpm asingegombea, maana hats yeye anawekewa pingamizi
 
hilo tamasha liliendeshwa na pole pole ndio maana kila msanii alifata maelekezo ya kumuombea mzee baba kura haya ni lingine linakuja maaskofu na mashehe kesho kauudhurie basi mwna lumumba
We VIPI? Hata kama ni ushahidi, hizo audio kaweka mtu mwingine kwa matashi yake, huyo mwingine anahusika vipi? Mbona unakuwa mzito kuelewa haya mambo!?
 
hilo tamasha liliendeshwa na pole pole ndio maana kila msanii alifata maelekezo ya kumuombea mzee baba kura haya ni lingine linakuja maaskofu na mashehe kesho kauudhurie basi mwna lumumba
Tutakuwepo kwa sababu MUNGU KWANZA haya mengine yatafuata.
 
Sio kila mtu anaweza kuwa Rais wa nchi jamani,ingawa kila mtu ana haki ya kuchaguliwa,kwa nini hatuelewi?
 
Tutawaua haki ya nani! Wasicheze na sisi raia tuna jambo letu muhimu na Tundu Lissu
 
Idara ya Usalama Ingeshauri na kuhakikisha tunarudi kwenye mfumo wa chama kimoja tu, upuuzi wanaofanya kuisaidia CCM ni kuhujumu taifa
 
Huyu atakuwa mgombea wenu wa kudumu, nchi haiwezi ongozwa na wavuta bangi
Wewe Mbona unavuta Bangi kwa cyprian Musiba ambaye ni mshauri mkuu wa mtukufu mambo ya propaganda za kijinga jinga
 
Wewe ndiyo unapanga umri wa binadamu???
 
Hujaweka na namba ya simu upate uteuzi kabla ya uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…